Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

sio wanwake pekee hata mimi mwenyewe Condom huwa sizielewi naona zinanichanganya tu.
Nakumbuka niliwah tumia mara mbili tu na zote sikumaliza nazo nlizivulia mbali nkapiga mwendo wa nyama kwa nyama.

Nakumbuka cku 1 nlijarib kwa manzi wang nlivyomsukumia jiti km mapigo mawili akasema nilivue na nikiwa nayy hataki nivae Condom.

Ila uzur ni kwamba ni mpimaj mzr tu wa afya yang mara kwa mara
Ndiyo unajidanganya hivo au sio?? Ukimwi upo ndugu acha ngono zembe
 
Hamna mwanamke next level wanawake wanaigiza mkuu. Mwanamke ukiona anajifanya next level ujue ni biashara au 1st approach yako ndio imekuponza ukijifanya matawi anakutreat hivyo hivyo. Hakikukubali utakua unaringa wewe. Kuna unawaona wewe matawi kuna vidume vimetuliwa vinabembelezwa hili kidume kipige game . Jiongeze usikubali drama
Approach ndio huwa inatugharimu sana wanaume.
 
mwanamke YEYOTE ukifanya nae na CONDOMS elewa yupo mtu anafanya nae bila KINGA ,, yale MAJI unayomwagia ndy YANAYOMALIZA HAMU YAKE....kama upo kwenye mahusiano na MPENZI na CONDOM elewa hauaminiki...na yupo anayeaminiwa.....ndy maana wanaleta sababu nyingi za visingizio ili condoms zisitumike,,,pia kuna wanawake wengine wakishaona DUSHE tu akili zinaruka.....kauli inakata.....UKISHAMALIZA kumtafuna ndy akili inarudi....kwahyo jukumu la kuamua kutumia condoms ni lako mwanaume,, YUPO DADA MMOJA aliwahi kunambiya hawezi kuridhika kwa CONDOMS.....nikitaka aridhike nivue condom....nilipata wakati mgumu sana ktk mahusiano yangu na yeye..alikuwa haridhiki hata nipige usiku kucha....hamwagi....
Mkuu hata mimi kuna dada nilikuwa namgegeda alikuwa hapendi kabisa condom..yaani umeongea ukweli mtupu
 
sio wanwake pekee hata mimi mwenyewe Condom huwa sizielewi naona zinanichanganya tu.
Nakumbuka niliwah tumia mara mbili tu na zote sikumaliza nazo nlizivulia mbali nkapiga mwendo wa nyama kwa nyama.

Nakumbuka cku 1 nlijarib kwa manzi wang nlivyomsukumia jiti km mapigo mawili akasema nilivue na nikiwa nayy hataki nivae Condom.

Ila uzur ni kwamba ni mpimaj mzr tu wa afya yang mara kwa mara
Kiukweli condom hazina ladha
 
wengi ambao nmeshawapitia hawapendi kondomu...hkn aliywah kuniulza suala la kondomu...mwingne uyo ndo kbsa ilikua nikimwambia leo tunatumia kinga kwsbbu yuko kwny cku za hatari anakasirikaa yn anaona bora anywe dawa za kuzuia mimba kuliko kutumia kondomu
[emoji2] [emoji2]
 
Hili ni kweli kabisa, kuna demu nimeanza naye mahusiano hivi karibuni, nimemgonga mara1, game ya pili kakataa katakata hadi tukapime ili tuwe tunapiga kavu, sasa mtihani ni hapo kwenye kupima na nyapu naitaka[emoji87]
Dry ni tamu sana mkuu
 
Wawawake wakavu kondom zinawaumiza, yaani zinawachubua. Imajini inasugua raba kwenye ngozi yako kavu, itakuchubua tu. Ila kama kei inajimbichisha vya kutosha, wanapenda ndom.
 
Wawawake wakavu kondom zinawaumiza, yaani zinawachubua. Imajini inasugua raba kwenye ngozi yako kavu, itakuchubua tu. Ila kama kei inajimbichisha vya kutosha, wanapenda ndom.
Mkuu ulivoelezea utadhani wewe una K na unajua hio hali[emoji2] [emoji2]
 
Back
Top Bottom