Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia condom?

Ni kweli kuna wanawake wengi hawana ujasili Wa kusema tutumie kondomu lakini ni muhimu kutumia kwa unaweza kufa kijinga kwa starehe ya sekunde.
 
UKIMWI ungekua kama unavyosemwa asingelikuwepo mzima hata kidogo.subilini siku jamaa wakiamua kubadilisha gear angani ya biashara mtakuja kushangaa kua mlikosa raha duniani
Haah, sasa ukiona wat wankufa skuiz unaambiwa ni presha unaamini. Endlea.
 
Mimi demu akishasema no condom.naahirisha hata kama.nimevua na hamu nae inakata kuanzia siku hiyo. Yaani hawaogopi kabisa
 
Hata ukivaa kondom utakufa tu au kondom za siku hizi zina uzima wa milele
Ni kweli kila mtu atakufa, na hakuna sjuwae atakufa kifo gani, lakini kuna vitu tunavyo viepuka kwa kuwa tunajuwa vinasababisha kifo. Mfano Sumu, risasi, moto , Ukimwi nk. Ni ujinga sana kujisababishia kifo kupitia njia hizi wakati zinafahamika. Ili usife kwa Ukimwi unaoambukiza kupitia ngono, ni lazima mpenda ngono wewe ujikinge kwa kuvaa Kondomu kama unakutana na KE/ME asiye mwanandoa mwenzako. Vinginevyo itabaki story kabla ya siku zako halali za kuwepo hapa duniani. Hayo maneno ya Kondomu hazina uzima wa milele IPO siku utajutia sana msimamo wako huu.
 
Ujanja vuta subira kapime kula kitu kavu kavu, na nilifanya maamuzi baada ya kugundua kuwa wanaume wengi wanaopenda kutumia condom ni malaya a.k.a viwembe ikabidi nitoke kwenye group la kiwembe na njia pekee nilochagua ni kula nyama kwa nyama baada ya kupima
 
Hili jambo nimekutana nalo mara nyingi,gud thng nampga bby mama full blood picha b4 cjadumbukiza njunju kavukavu,most niliokua nao walikua wanagomeaga condom,nilikua nawaambia firmly sawa mama ila method za kuzuia mimba juu yako ukizaa utalea mwenyewe napiga show rim ikitiririkaa uterezini!!
 
Kuomba condom manake yupo willing msex wkt wanawake wengi uwaga wanapendaga waonekana hawapendi sex ingawa uwaga wanapenda...kwahy njia ya kutupa mzigo wa lawama ni kukuachia ww uamue mnk wakisema that means wamekubali.....na wengine wanatumia lugha ya kike ntapata mimba huku wanabana mapaja wakiwa na maana tufanye ila tumia kondom ila men tunashindwaga kuelewa lugha..
 
Back
Top Bottom