cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Sana sana utajizeesha tu au kujipatia magonjwa tu, Ke B 5 wote duniani utawamaliza?Wakati huo miamba tunamove on kwa mwingine, pisi kali maradufu!
Wewe huyo...true definition ya bad boyKwasababu "We don't care at all".
Wanawapendea nini: Love doesn't ask why, awe shombe shombe au Cheusi Mangala sie tunapiga Machine, Aaf unapita hivi.
We don't praise color or pussy we just do at best what supposed to be done at present and forget. That's all.
Welcome to the CLUB.
Sina haja ya kuwala wote, nahitaji kuwala wale ninaowataka.Sana sana utajizeesha tu au kujipatia magonjwa tu, Ke B 5 wote duniani utawamaliza?
Bad boys wa mchongo labdaHata mi nimeshangaa bad boys na zawadi wap na wap

Tupo pamoja mkuu,nitasaka mda nishushe nondo za kuwajua hawa watu ili wasikusumbue ,watu wanateseka sana mkuuMKUU HAPA UMEMALIZA KILA KITU, KAMA NI MTIHANI NINGEKUPA 100% NA YA SODA JUU.
Mzee nitakuja siku na somo la sexual market value,hapa nitakuchambulia wanawake age to age...Hili nililosema ni la wanawake na wasichana wote...kanuni ni zile zile ,unachotakiwa kujua ni psychology behind women basi.Hao ni Wasichana si Wanawake, utambue kuna tofauti kubwa sana kati ya Wasichana na Wanawake.
Wanawake wakifikia hatua ya kusema sasa basi, ni basi kweli hata waje watu wote duniani akishachukia sababu ya uvumilivu kufika kikomo haina jinsi.
Kuna kitu kinaitwa plate theory,kuwa na wanawake wengi haimaanishi utembee nao wote.. it's all about options,ni kama mvuvi utavua wengi utachagua wawil watatu wazur the rest utawarudisha bwawani...hapa point ni option na hii ndio kiboko ya wanawake..muoneshe una options.Sana sana utajizeesha tu au kujipatia magonjwa tu, Ke B 5 wote duniani utawamaliza?