Kwanini wanawake wanapenda ‘bad boys’?

Kwanini wanawake wanapenda ‘bad boys’?

Kumbe!
Aiseee!
Haya madini kuyaweka hapa kama post tu ni kutoyatendea haki.
Hii inafaa kuwa uzi kabisaa ili ijadiliwe
Haha siku nikitulia nitaweka hapa uzi kabisa..kuna meng ukiyajua basi hawakusumbui.. mfano kuna siri kubwa tu hata kweny umri wa wanawake..ukishajua timeframe yao ilivyo basi kwisha habari yao
 
hawajui kuweka mambo rohoni

hawana visasi

wananuka jasho la kiuanaume

wanamarafiki wakiume wengi kuliko wakike

wakipenda wanapenda haswa labda tu akutamani

wanagenge la kusaidiana matatizo sio wale umedondoka kwenye maji anakuselfie apost wavuvi waje wakuokoe

wanakauli msisitizo sio wale wa ndiyohapana

hawana mda wa kuwasikiliza majirani

kikubwa zaidi hawana mda wa kutweta na ndugu zao juu ya uhusiano wenu (kwa wale mawifi na mashemeji wenye chokochoko)

akikupenda na akajua unampenda kweli bila kumsaliti yupo radhi akukabidhi mshahara wake hii ni kwavile genge lake ni watu wa kusaidiana so huofia huenda atazimalizia huko.
 
hawajui kuweka mambo rohoni

hawana visasi

wananuka jasho la kiuanaume

wanamarafiki wakiume wengi kuliko wakike

wakipenda wanapenda haswa labda tu akutamani

wanagenge la kusaidiana matatizo sio wale umedondoka kwenye maji anakuselfie apost wavuvi waje wakuokoe

wanakauli msisitizo sio wale wa ndiyohapana

hawana mda wa kuwasikiliza majirani

kikubwa zaidi hawana mda wa kutweta na ndugu zao juu ya uhusiano wenu (kwa wale mawifi na mashemeji wenye chokochoko)

akikupenda na akajua unampenda kweli bila kumsaliti yupo radhi akukabidhi mshahara wake hii ni kwavile genge lake ni watu wa kusaidiana so huofia huenda atazimalizia huko.
Tunajua kuwabebisha na pia tuna msimamo, sio watu wa kupelekeshwa hovyohovyo na wanawake.
Nikimkuta kavaa vinguo vya ajabu ajabu nampiga mikwara ya maana "we mke wa mtu unavaaje nguo za namna hio, kama umeshindwa kujiheshimu basi niheshimu mimi mumeo"

Hapo basi bichwa hilo ashajiona tayari ni mke wa mtu lazima abadilike.
Kuna zile commands za kiume nnataka hiki na hiki sitaki lazima zizingatiwe.
Unawawekea mazingira hata akitaka kutoka kwenda sehemu lazima akutaarifu, na safari nyingine zisizo na maana ukimwambia no ni no kweli hamna kwenda.

Kama mkristo kila jumapili lazima nimsisitize kwenda kanisani na kama haendi lazima awe na sababu maalumu itakayokubalika, kama ni muislam ndio kabisaaa maana kila siku lazima aulizwe kama amesali.
Akizingua unampiga matukio yeye mwenyewe anarudi kwenye mstari.
Sema kwa upande mwingine hua wananishukuru kwa kuwasaidia kuwarudisha kwenye mstari wa maadili, kuanzia mavazi ya staha mpaka suala zima la kua watu wa Ibada.

Kikubwa mwanaume unatakiwa ujue kumbebisha mwanamke mpaka anahisi hakuna mwanaume mwingine atakaempenda zaidi yako, ukishaweza kucheza na akili zao utaweza kuwakommand na kwa hiari yao watafanya chochote unachokitaka na wataacha yote usiyoyapenda.

Akili mtu wangu bila kusahau kusimamia show ya kiwango cha standard gauge.
 
Iko hivi, kumwelewa mwanamke ni swala la psychology tu,yani unatakiwa kujua psychology ya wanawake ilivyo.
Wanawake muda wote wapo na wasiwasi,all the time wako hivyo,Ukishalijua hili kazi yako kama Mwanaume ni kujua jinsi ya kutumia wasiwasi wake au wao kama advantage kwako.

Umemaliza kila kitu kaka mkubwa.
Heshima kwako.
 
Tunajua kuwabebisha na pia tuna msimamo, sio watu wa kupelekeshwa hovyohovyo na wanawake.
Nikimkuta kavaa vinguo vya ajabu ajabu nampiga mikwara ya maana "we mke wa mtu unavaaje nguo za namna hio, kama umeshindwa kujiheshimu basi niheshimu mimi mumeo"
😄 kweli mpo sema wazazi wetu ni wakianalogy sasa akijuona unadate na mwanaume asokota rasi tyr anaitwa muhuni ndo sawa na mtoa mada eti mvuta bangi ni mhuni daah.
 
Iko hivi, kumwelewa mwanamke ni swala la psychology tu,yani unatakiwa kujua psychology ya wanawake ilivyo.
Wanawake muda wote wapo na wasiwasi,all the time wako hivyo,Ukishalijua hili kazi yako kama Mwanaume ni kujua jinsi ya kutumia wasiwasi wake au wao kama advantage kwako.
MKUU HAPA UMEMALIZA KILA KITU, KAMA NI MTIHANI NINGEKUPA 100% NA YA SODA JUU.
 
Iko hivi, kumwelewa mwanamke ni swala la psychology tu,yani unatakiwa kujua psychology ya wanawake ilivyo.
Wanawake muda wote wapo na wasiwasi,all the time wako hivyo,Ukishalijua hili kazi yako kama Mwanaume ni kujua jinsi ya kutumia wasiwasi wake au wao kama advantage kwako.
Hao ni Wasichana si Wanawake, utambue kuna tofauti kubwa sana kati ya Wasichana na Wanawake.

Wanawake wakifikia hatua ya kusema sasa basi, ni basi kweli hata waje watu wote duniani akishachukia sababu ya uvumilivu kufika kikomo haina jinsi.
 
Kinachowafanya wanawake kuwapenda hao unaowaita Bad Boys ni 'Kutokujali'. Kutokujali ni sifa inayowafanya wanaume kufanikiwa sana kwenye mahusiano.

Ni kutojali ikiwa mwanamke atakubali kutoka na wewe au la. Ni kutojali iwapo atajibu meseji zako au hajibu. Ni kutojali ikiwa ataghairisha kukutana dakika ya mwisho kabisa baada ya kuwa mlikubaliana kufanya hivyo.

Unakuta mwanaume anatuma meseji moja haijajibiwa anakaa kuangalia simu yake muda wote akisubiri notification ya meseji. Baada ya dakika chache anatuma nyingine kama vile "Mbona kimya?" au "Mbona hujibu dear?". Tabia hii inaifanya akili ya mwanamke kukuona huna thamani na hakuna watu wanaopenda kuwa na wewe na ndio maana unatumia nguvu kutafuta ukaribu na mwanamke. Mvuto wako kwa mwanamke unapotea.

Mwanamke akionesha hana muda na wewe kwa wakati husika fanya mambo mengine. Kuna video games, kusikiliza muziki, kuangalia movie na vitu vingine vya kukupa furaha. Hao Bad Boys wana sifa hizi. Hawana muda wa kulilia mapenzi na ndio maana warembo huvutiwa nao.
 
Siku nyingine kuwa na adabu, sio kila mvuta Bangi ni muhuni wengine ni watu wenye shughuri zetu za kutuingizia hela ya kula zinazotufanya tuishi mjini

Narudia tena kuwa na adabu
 
Back
Top Bottom