Kwanini wanawake wanapenda ‘bad boys’?

Kwanini wanawake wanapenda ‘bad boys’?

handsome boy wa jf

Senior Member
Joined
Jan 2, 2022
Posts
163
Reaction score
350
Wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale

Napenda kujua kwanini wanawake wengi wanapenda sana kudate na bad boys.

Wanawake wengi warembo huwaambii kitu kwa wanaume bad boys au wanaume wahuni. Shida ni nini?

Mfano mzuri kuna rafiki yangu mmoja ni muhuni kweli anavuta bangi kinoma lakini kuna mtoto shombe shombe wa kiarabu kamganda jamaa.

Je, anampendea nini?
 
Mwanaume akishakua bad boy maana yake anajua how to trick women, wanawake wanapenda mtu wa kuwadanganya danganya na kucheza na akili zao. Sasa huwezi kujua kucheza na akili za wanawake kama umekomaa na mwanamke mmoja.

So kadri unavyocheza na akili zao ndio unajikuta unawafahamu na kuwajua zaidi, wanawake 90% wanafanana isipokua tofauti ndogo ndogo sana. Sasa bad boys tayari with time and experience wanawajua wanawake vizuri na ni rahisi kuwa win.

Tabia za bad boys ni unyenyekevu, usikivu, lugha nzuri anapokua na mwanamke, hawana lugha harsh kwa wanawake na pia vitu kama hivyo ambavyo wanawake wanapenda.

Wanawake ukishawaelewa ni watu poa sana, ukijua kucheza na akili zao na hisia zao hawana shida, hata akikushika na mwanamke Mwingine as long umejua akili yake ni rahisi wewe ku win akili yake na akakusamehe kiurahisi tu.

Mwisho, bad boys pia hujua kuhonga, huwezi kua bad boy kama ni bahili mkono wa sweta, wanawake wanapenda vizawadi zawadi, kuhongwa nk. Kama hufanyi hayo wanawake utaishia kuwaona kwa wanaume wenzio.
 
Mwanaume akishakua bad boy maana yake anajua how to trick women, wanawake wanapenda mtu wa kuwadanganya danganya na kucheza na akili zao. Sasa huwezi kujua kucheza na akili za wanawake kama umekomaa na mwanamke mmoja.
Pamoja na mbwembwe zote hizo bado tangu dunia iumbwe hajatokea Me yeyote aliyewahi kuelewa Ke wanataka nini, na hata Ke wenyewe hawaelewi akili zao zinataka nini haswa ili ziridhike 100%
 
Mwanaume akishakua bad boy maana yake anajua how to trick women, wanawake wanapenda mtu wa kuwadanganya danganya na kucheza na akili zao. Sasa huwezi kujua kucheza na akili za wanawake kama umekomaa na mwanamke mmoja.
Hakuna badboys mnyenyekevu wala anaetoa vizawadi.hizi ni sifa za Magud boys ( Average frustrated Champs)
 
Iko hivi, kumwelewa mwanamke ni swala la psychology tu,yani unatakiwa kujua psychology ya wanawake ilivyo.

Wanawake muda wote wapo na wasiwasi,all the time wako hivyo,Ukishalijua hili kazi yako kama Mwanaume ni kujua jinsi ya kutumia wasiwasi wake au wao kama advantage kwako.

Huo wasiwasi wao unaitwa Competition Anxiety, mwanamke ana wasiwasi wa kushindana na na wanawake wenzie kila mda,angalia akinunua nguo,viatu,simu, life style,hadi wanaume wakua nae yote ni competition tu.

Sasa badboys wanatumiaje hyo nafasi? Simple badboys au alpha males wanatumia wasiwas huo huo kumgalagaza mwanamke,Yani wanafanya ku double au ku triple ile hali ya wasiwasi kwa wanawake,Kumbuka mwanamke ana wasiwasi mda wote,imagine na ww ukamuongezea wasiwasi sasa .

Badboys wanawaongezeaje wasiwas wanawake na kutumia kama siraha kwao?
Well kama nilivyosema awali, mwanamke unatakiwa kumpa wasiwasi,Then competition anxiety itaanza kumtesa na kufanya aanze kukunga'ngania mwenyew,How Sasa?

Jiulize ni mara ngapi girlfriend wako akija simu unafuta picha zote za wanawake wengine,unadelete message zote za michepuko,una block na namba zao kabisa ili uwe clean uzidi kuonekana mwaminifu ili upendwe zaidi,kuna muda hata kumpost mwanamke mwingine kweny status unaogopa,Sasa hili ndo tatizo lenyew linalo wacost magud boys

Iko hivi, mwanamke tumesema anawasiwasi mda wote, wasiwas wa competition,Ikitokea ww unamuondolea wasiwasi huu basi automatically anaku over power kadri siku zinavyoenda.Tunakosea sana pale tunavyo ficha sms, picha,block wanawake wengine ili tu ulie nae akuamin na akupende,tumesema dawa ni kudouble au ku triple kabisa wasiwas wake.

Mwanamke anapojua wazi kua kwako hayupo peke yake au kuna wasichana wengine wanakutaka automatically ume double wasiwasi wake,itaanza kumfanya akugande mda wote akiogopa competition huenda ikamtupa nje ya mchezo..kumbuka Competition anxiety itamfanya aendelee kukushikilia hata iweje.

Ndio mana wahuni siku zote hugandwa na hawa wanawake.Muhuni hafichi sms,muhun hablock namba za wanawake wengine akisa na girlfriend wake,tena simu ikiita anapokea palepale,muhun hafichi hata picha za utupu alizo mpiga Aisha kisa jack akija ataziona,akizona ndio competition anxiety inazidi kumjaaa.

Jiulize ni mara ngap manzi anajua huyu muhun ni malaya lakin habanduki? Mar ngapi muhun anafumaniwa lakin kesho mwanamke anarud tena? Competition anxiety ndio jibu, mwanamke hatoweza kuondoka kirahisi coz anajua wazi akisha Mucha kirahis jamaa wenzie watakuja , basi automatically akikumbuka hivyo tu basi kesho anarudi.

Hivyo basi wahuni ndiomana wnagandwa kwasababu wana triple wasiwasi uliopo ndani ya wanawake kisha wanautumia kwa faida yao,kuna muda muhun anamwambia Mwanamke kama hauji nimuite Angel,na huyo bibie anajua kabisa jamaa hatanii hata kidgo,asipoenda basi angel ataenda kukalia punda mapema,kuogopa competition basi ataenda haraka haraka.

Hivyo basi ukitengeneza mazingira ya wasiwasi una nafasi kubwa kwa huyo mwanamke akaendelea kukuganda,jitahid hata mara moja moja akute hata sms imekuita baby,yani we jitumie hata kwa namba yako nyingne tu sms ya Baby umekula? Alafu aje aione,utakua ume triple competition anxiety na kumfanya aanze kukung'ang'ania .

HAKUNA KITU KINAWAUMIZA KICHWA NA AT THE SAME TIME WANAKIPENDA WANAWAKE KAMA KUA NA MWANAUME AMBAE KILA MWANAMKE ANATAMANI KUA NAE,NA KILA MWANAUME ANATAMAN KUA KAMA MWANAUME HUYO.

Nafikir niishie hapa,bila shaka ushajua kwanini wahuni wanapendwa sana,hiyo ni Reason moja kubwa..sijataka kutoa sababu zingine ambazo zipo kwa sababu ya mda imebid niseme hiyo moja ambayo ni kubwa sana lakin nilichoongea pia ni psychology research imefanyika na mtalamu wa psychology based on behaviorism ziaid ya miaka 15.Kwaiyo hizo ni psychology findings,heshima kwake Rollo Thomass.
 
Iko hivi, kumwelewa mwanamke ni swala la psychology tu,yani unatakiwa kujua psychology ya wanawake ilivyo.
Wanawake muda wote wapo na wasiwasi,all the time wako hivyo,Ukishalijua hili kazi yako kama Mwanaume ni kujua jinsi ya kutumia wasiwasi
😂😂😂 Kumbe!
Aiseee!
Haya madini kuyaweka hapa kama post tu ni kutoyatendea haki.
Hii inafaa kuwa uzi kabisaa ili ijadiliwe
 
Mwanaume akishakua bad boy maana yake anajua how to trick women, wanawake wanapenda mtu wa kuwadanganya danganya na kucheza na akili zao. Sasa huwezi kujua kucheza na akili za wanawake kama umekomaa na mwanamke mmoja.

So kadri unavyocheza na akili zao ndio unajikuta unawafahamu na kuwajua zaidi, wanawake 90% wanafanana isipokua tofauti ndogo ndogo sana. Sasa bad boys tayari with time and experience wanawajua wanawake vizuri na ni rahisi kuwa win.

Tabia za bad boys ni unyenyekevu, usikivu, lugha nzuri anapokua na mwanamke, hawana lugha harsh kwa wanawake na pia vitu kama hivyo ambavyo wanawake wanapenda.

Wanawake ukishawaelewa ni watu poa sana, ukijua kucheza na akili zao na hisia zao hawana shida, hata akikushika na mwanamke Mwingine as long umejua akili yake ni rahisi wewe ku win akili yake na akakusamehe kiurahisi tu.

Mwisho, bad boys pia hujua kuhonga, huwezi kua bad boy kama ni bahili mkono wa sweta, wanawake wanapenda vizawadi zawadi, kuhongwa nk. Kama hufanyi hayo wanawake utaishia kuwaona kwa wanaume wenzio.
Umemaliza kila kitu,ila hasara yao ni kuwa kuoa au kudumu kwenye mahusiano kwao huwa ni mtihani hawa bad boys,roho ya zinaa inakuwa imewaganda,kwahiyo ni watu wanao ongoza kuwatenda wanawake,wao kila wakati wanawaza kuwa na mwanamke mpya,hii ni hasara kubwa kwa upande wao.Fuatilia/Chunguza kwa makini,maisha yao pia baadaye huwa yanaambatana na mikosi na mabalaa mengi sana...
 
Umemaliza
Iko hivi, kumwelewa mwanamke ni swala la psychology tu,yani unatakiwa kujua psychology ya wanawake ilivyo.
Wanawake muda wote wapo na wasiwasi,all the time wako hivyo,Ukishalijua hili kazi yako kama Mwanaume ni kujua jinsi ya kutumia wasiwasi wake au wao kama advantage kwako.
Huo wasiwasi wao unaitwa Competition Anxiety, mwanamke ana wasiwasi wa kushindana na na wanawake wenzie kila mda,angalia akinunua nguo,viatu,simu, life style,hadi wanaume wakua nae yote ni competition tu.
Sasa badboys wanatumiaje hyo nafasi? Simple badboys au alpha males wanatumia wasiwas huo huo kumgalagaza mwanamke,Yani wanafanya ku double au ku triple ile hali ya wasiwasi kwa wanawake,Kumbuka mwanamke ana wasiwasi mda wote,imagine na ww ukamuongezea wasiwasi sasa .

Badboys wanawaongezeaje wasiwas wanawake na kutumia kama siraha kwao?
Well kama nilivyosema awali, mwanamke unatakiwa kumpa wasiwasi,Then competition anxiety itaanza kumtesa na kufanya aanze kukunga'ngania mwenyew,How Sasa?jiulize ni mara ngapi girlfriend wako akija simu unafuta picha zote za wanawake wengine,unadelete message zote za michepuko,una block na namba zao kabisa ili uwe clean uzidi kuonekana mwaminifu ili upendwe zaidi,kuna muda hata kumpost mwanamke mwingine kweny status unaogopa,Sasa hili ndo tatizo lenyew linalo wacost magud boys
Iko hivi, mwanamke tumesema anawasiwasi mda wote, wasiwas wa competition,Ikitokea ww unamuondolea wasiwasi huu basi automatically anaku over power kadri siku zinavyoenda.Tunakosea sana pale tunavyo ficha sms, picha,block wanawake wengine ili tu ulie nae akuamin na akupende,tumesema dawa ni kudouble au ku triple kabisa wasiwas wake.
Mwanamke anapojua wazi kua kwako hayupo peke yake au kuna wasichana wengine wanakutaka automatically ume double wasiwasi wake,itaanza kumfanya akugande mda wote akiogopa competition huenda ikamtupa nje ya mchezo..kumbuka Competition anxiety itamfanya aendelee kukushikilia hata iweje.Ndio mana wahuni siku zote hugandwa na hawa wanawake.Muhuni hafichi sms,muhun hablock namba za wanawake wengine akisa na girlfriend wake,tena simu ikiita anapokea palepale,muhun hafichi hata picha za utupu alizo mpiga Aisha kisa jack akija ataziona,akizona ndio competition anxiety inazidi kumjaaa.
Jiulize ni mara ngap manzi anajua huyu muhun ni malaya lakin habanduki? Mar ngapi muhun anafumaniwa lakin kesho mwanamke anarud tena? Competition anxiety ndio jibu, mwanamke hatoweza kuondoka kirahisi coz anajua wazi akisha Mucha kirahis jamaa wenzie watakuja , basi automatically akikumbuka hivyo tu basi kesho anarudi.
Hivyo basi wahuni ndiomana wnagandwa kwasababu wana triple wasiwasi uliopo ndani ya wanawake kisha wanautumia kwa faida yao,kuna muda muhun anamwambia Mwanamke kama hauji nimuite Angel,na huyo bibie anajua kabisa jamaa hatanii hata kidgo,asipoenda basi angel ataenda kukalia punda mapema,kuogopa competition basi ataenda haraka haraka.Hivyo basi ukitengeneza mazingira ya wasiwasi una nafasi kubwa kwa huyo mwanamke akaendelea kukuganda,jitahid hata mara moja moja akute hata sms imekuita baby,yani we jitumie hata kwa namba yako nyingne tu sms ya Baby umekula? Alafu aje aione,utakua ume triple competition anxiety na kumfanya aanze kukung'ang'ania .

HAKUNA KITU KINAWAUMIZA KICHWA NA AT THE SAME TIME WANAKIPENDA WANAWAKE KAMA KUA NA MWANAUME AMBAE KILA MWANAMKE ANATAMANI KUA NAE,NA KILA MWANAUME ANATAMAN KUA KAMA MWANAUME HUYO.

Nafikir niishie hapa,bila shaka ushajua kwanini wahuni wanapendwa sana,hiyo ni Reason moja kubwa..sijataka kutoa sababu zingine ambazo zipo kwa sababu ya mda imebid niseme hiyo moja ambayo ni kubwa sana lakin nilichoongea pia ni psychology research imefanyika na mtalamu wa psychology based on behaviorism ziaid ya miaka 15.Kwaiyo hizo ni psychology findings,heshima kwake Rollo Thomass.
 
Katika miaka yangu michache nimedate na wanawake wazuri sana kimuonekano na wa kawaida. The most common thing nimegundua ni wanawake wanapenda a confident man anaejua anachotaka na yuko tayari kukichukua.

Kwa experience yangu ukigundua kuwa msichana ana chembechembe ya attraction kwako inabidi utoe vibe kama tayari ni wako na ioneshe katika maneno yako na eventually matendo yako. Flirt with her, take her out, give her an experience ambayo hajaizoea kwa kumtease (push) kisha kuweka vionjo vya kumpenda (pull) kiasi. Ajikute haelewi kinachoendelea mpaka umefika lengo lako la kumbebisha au kulala nae.

Ukiwa na juhudi ya kujaribu hili consistently utaend up kuwa vizuri sana na wasichana watakuwa wanakuambia hawajui umewapataje wakati huwa wanawasumbua wanaume wengine sana. Kuwa na msichana karibu yeyote itakuwa rahisi sana kwako.

Si kwa ubaya ila kama una issues na confidence nashauri ufanye hivi kama uko katika relationship tayari. Attractive vibe kwa mwanaume inakuwepo almost naturally akiwa katika relationship kwa sababu anakuwa hapatikani kirahisi na there is nothing to lose. Ukiweza kumpata wa pili then wa tatu itakuwa rahisi zaidi. Kama ukipenda unaweza ukawa unawazungusha wawili watatu wakati mmoja ili any one of them asipate hisia kuwa anakumiliki. Later on ukimaster attraction vibe (au abundance mindset kwa jina lingine) unaweza ukawa na mmoja kwa wakati kama unapenda hivyo.

Cha ziada ni vizuri kuwa na a different factor kwako ili kikufanye kuwa unique. Nishakubaliwa na msichana kwa sababu ya nywele, Kuongelea crypto na hata hali ya utulivu niliyonayo.

Na mwisho kabisa kuwa na pesa is a good bonus to have.
 
Back
Top Bottom