Kwanini wanawake tunaojimudu tunaogopeka?

Kwanini wanawake tunaojimudu tunaogopeka?

Inawezekana labda huna viwango vyao. Na si unajua mwanaume ni kama fisi, hakatai nyama. Pesa zako hazimaanishi unakuwa ndoto ya kila mwanaume
Saaafi kaka yaani wakiwa na senti wanajiona ma queen sana jamani hela iko bank kama huna mvuto huna tu! !!!!!

Saa nyingine sio mnaogopwa ni kiwa hamtakiwi!!!
 
Aaaanh sijawahi kuogopa mwanamke hata siku moja!!!!!
Hata awe na nini nikimzimika akikaa kwenye mingo ataitikia chorus tu!!!!!!!
Likewise.
Mimi huwa hata haiingii akilini. Tena wanapendaga zawadi za kitoto sana.
Easy!
 
sasa mwanaume unataka uwe na sauti wakati hata hela ya mboga huwezi kuacha! kama huna just kuwa mpole, simple!
 
Poverty mentality hizi eti ukiwa na gari unaogopwa...gari si kama viatu tu? Zamani wabongo hata simu tuliona ni asset na ujiko tumezoea sasa..bado magari..

Sasa Boss hiyo poverty mentality iko kwa huyu mwanamke mwenye gari au kwa mwanume asiye nalo? We unaona gari ni kama viatu lakini wenzio wakiona gari hata kama ni la serikali akili zinawaruka. It is a status symbol. Hata viatu havifanani. Vaa basi yebo yebo au R.I.O na mwenzio avae viatu vizuri (bahati mbaya sijui designers wa vitu vya kiume ukiacha kelvin clain) muwe na sifa zinazofanana halafu mpeane muda sawa wa kutongoza uone nani atawahi kufanikiwa).

Wanaume ndo waliokuwa wamezoeleka kuwa na magari ya kuwazuzulia wanawake. Sasa wanawake nao wana magari, nao wana shahada, vyeo, biashara, mali n.k. Haya mabadiliko unafikiri yamerahisisha maisha? Wanaume wamepoteza identities na wanawake pia. Nadhani umeshasikia neno "mwanaume suruali", "iron ladies" n.k. Ni vigumu mwanamke aliyejitanabaisha na "vitu vya wanaume" kuendelea kuonekana ni mwanamke yule yule. Wanawake wenye magari nao wanawazuzua vijana wasio nayo. Wanaume waoga wapo, wanajishuku kuwa wataonekana kapuku kama hawana magari na nyumba kama wanawake zao kwani uanaume wao wameuambatisha kwenye hivyo vitu. Wanawake wenye hela pia wana matatizo kama ya wanaume wenye hela. Wanafatwa na wengi kiasi kwamba hawajui nani kafata mapendo, nani kafata kulelewa. kazi yake inakuwa ngumu kuliko yule asiye navyo. Ni wanaume wanaojitambua tu wanaweza kuanzisha mahusiano mazuri na ya kudumu na wanawake wa aina hii wanaojitambua pia.
 
Men! Dont blame us 4 ur failures. We have equal opportunities za mafanikio.
Napenda man mwenye confidence yz kunimiliki hata kama nimefanikiwa kuliko yeye.
 
umeanza vizuri ukamalizia vibaya

"...............sio uwe wa kula kulala.........." hapa ndipo tatizo liliko.

hahahahaaaaaaa................ Unakumbuka idadi ya threads zinazoletwa na wanaume juu ya wanawake wanaowaomba hela na vitu? Hii inakata kote kuwili. Kutegemewa na mtu mzima mwenzio ambaye hana ulemavu ni mzigo mzito. Hoja hapa ni kama huna gari wala nyumba unakaribishwa ila kwa kigezo cha "ujue kuchakarika". Nani akulee?
 
Me ninadukuduku, Sielewi kwanini vijana wengi wa sasa wakikuona mwanamke ukishakuwa unaweza kujimudu wanakuwa wanakuogopa......
Mfano: Wakikuona una gari ye hana gari
Akikuona umepanga au una nyumba ye hana nyumba ....Basi inakuwa taabu tupu ikitokea umempenda..huwa wanahisi kama hujampenda kweli , Mwanaume akiwa na wewe atakuwa na wewe si kidhati,anakuwa na wewe huku yupo na mwingine, ye mawazo yake yanakuwa kukutumia tuu..........
Sielewi kwanini wanakuwa na fikra potofu hivi?

Mwanamke unapokuwa unajitahidi kutafuta maisha unatafuta pia ukijua utakuja kuwa na mwenzio...So mwanaume ukipwndwa jiamini...ila tu jitahidi na wewe kimaisha sio uwe wa kula kulala...
Mi kinachonikwaza/kuniogopesha ni pale nimerudi home nipo chicha/tumepishana kauli unaanza masimango ambayo mimi ctaweza kuyakubali niki-react nijuavyo mademu utanitimua.Kitu kingine ni inferiority complex.Kwa ujumla ni chungu kumeza ila ikibidi hakuna jinsi.
 
Me ninadukuduku, Sielewi kwanini vijana wengi wa sasa wakikuona mwanamke ukishakuwa unaweza kujimudu wanakuwa wanakuogopa......
Mfano: Wakikuona una gari ye hana gari
Akikuona umepanga au una nyumba ye hana nyumba ....Basi inakuwa taabu tupu ikitokea umempenda..huwa wanahisi kama hujampenda kweli , Mwanaume akiwa na wewe atakuwa na wewe si kidhati,anakuwa na wewe huku yupo na mwingine, ye mawazo yake yanakuwa kukutumia tuu..........
Sielewi kwanini wanakuwa na fikra potofu hivi?

Mwanamke unapokuwa unajitahidi kutafuta maisha unatafuta pia ukijua utakuja kuwa na mwenzio...So mwanaume ukipwndwa jiamini...ila tu jitahidi na wewe kimaisha sio uwe wa kula kulala...
...umezungukwa na wasiojiamini...hama!
 
Aaaanh sijawahi kuogopa mwanamke hata siku moja!!!!!
Hata awe na nini nikimzimika akikaa kwenye mingo ataitikia chorus tu!!!!!!!
Ww unaongelea mwanamke wa kusex nae bac lakini c wa kum weka ndani kama ke atakusumbua tu
 
Likewise.
Mimi huwa hata haiingii akilini. Tena wanapendaga zawadi za kitoto sana.
Easy!
Thanks kaka kumbe tuko wengi asee!!!!!
Hata zawadi zenyewe ni "give and take" kutimiza tu mkuu wanataka mtu mwenye msimamo na.anayejitambua baaas kwisha habari yao!!!!!

Yaani pamoja na yote uwe na gut ya kusema "hapana" pale unapoona hivyo,sio kila asemalo mtu yumo tu hata kama ina compromise mambo mengine! !!!!
 
Ww unaongelea mwanamke wa kusex nae bac lakini c wa kum weka ndani kama ke atakusumbua tu

Hebu toa mfano wa anavyoanza kunisumbua!!!!!!
Kwani hata huko ndani mnaenda kupika keki???!!!!
Tatizo lenu moja kubwa huwa hamuoneshi misimamo tangu mwanzo,mara umsindikize saluni,mara utumwe kupeleka kitenge kwa fundi,sijui pita kwa nani atakupa hela nipelekee dukani utapewa weaving haoqfu mpelekee fulani! !!!!!!

Misele yote mtu mzima unazungushwa kisa gari ya mwanamke na mafuta kaweka yeye...miteremko ndio inaua kujiamini, sasa hapo hata ukioa si anaendelea tu na hiyo tumatuma
yake!!!!!

Kuwa na misimamo tangu mwanzo ili akiamua kuzama ndichi ajue hapo ni sometimes Paris sometimes Torabora ila yeue ndio anachagua mji aupendao!!!%
 
Yawezekana kuwa nawe una bahati mbaya ya kukutana na wanaume suruali ambao kichwani ni hamnazo! aidha yawezekana wewe unawatongoza wao ambapo ki saikolojia unakuwa umemfanya mateka wako. Kwa hali hiyo hawezi kufurukuta. ni PM nikupe darasa kwani wapo wengi waliokuwa na mtazamo lakini walipata ukweli.
 
Yawezekana kuwa nawe una bahati mbaya ya kukutana na wanaume suruali ambao kichwani ni hamnazo! aidha yawezekana wewe unawatongoza wao ambapo ki saikolojia unakuwa umemfanya mateka wako. Kwa hali hiyo hawezi kufurukuta. ni PM nikupe darasa kwani wapo wengi waliokuwa na mtazamo lakini walipata ukweli.

Wanakutana na wavulana wenye umri mkubwa!!!!
 
Saaafi kaka yaani wakiwa na senti wanajiona ma queen sana jamani hela iko bank kama huna mvuto huna tu! !!!!!

Saa nyingine sio mnaogopwa ni kiwa hamtakiwi!!!

Wanatusumbua tu hawa, wakianza kuvaa designers na mawigi ya Brazilian na high heels na wakiendesha Freelanders wanajiona washakuwa keki......

The truth is, sijawahi tishwa na mwanamke as long as namtaka nitampata tu na kazi anayofanya au kipato chake won't really matter.

Lakini kitu cha kwanza, unanifaa??

Wanawake wanatafuta a successful man, and I don't blame them, that's the way nature has set them up. Lakini wanaume tunatafuta someone who is attractive and beautiful and can make a good mother, not an Oprah Winfrey. Sasa mwanamke akiwa na hela zake, ajiulize pia hizo quality nyingine anazo?
 
Back
Top Bottom