ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,765
- 3,596
Natamani nipate mwanaume alienizidi kila kitu,kuanzia umri,elimu na pesa....
Otherwise huwa najisikia kuna kitu sio okay..
Tupo sawa ..anipite kwa kila kitu hapo ntakuwa na furaha
Natamani nipate mwanaume alienizidi kila kitu,kuanzia umri,elimu na pesa....
Otherwise huwa najisikia kuna kitu sio okay..
Me ninadukuduku, Sielewi kwanini vijana wengi wa sasa wakikuona mwanamke ukishakuwa unaweza kujimudu wanakuwa wanakuogopa......
Mfano: Wakikuona una gari ye hana gari
Akikuona umepanga au una nyumba ye hana nyumba ....Basi inakuwa taabu tupu ikitokea umempenda..huwa wanahisi kama hujampenda kweli , Mwanaume akiwa na wewe atakuwa na wewe si kidhati,anakuwa na wewe huku yupo na mwingine, ye mawazo yake yanakuwa kukutumia tuu..........
Sielewi kwanini wanakuwa na fikra potofu hivi?
Mwanamke unapokuwa unajitahidi kutafuta maisha unatafuta pia ukijua utakuja kuwa na mwenzio...So mwanaume ukipwndwa jiamini...ila tu jitahidi na wewe kimaisha sio uwe wa kula kulala...
sawa sawa, wapo easy sana si kwamba akikukubali fasta ndo unaona et kama wapo eeasy, ni sababu wanaume wengi wanawaogopa kuwatongoza. yaan mtu anakaa miez 6 hajawahi tongozwa. sasa we ukitia neno anaona kama bahati vile fasta anakubali.Hayo ya kizamani. Wanawake vibosile wapo easy sana, ukimtokea kama anakuzimia huwa hana time ya kukupiga chenga.
They know what they want and not afraid of failure. Thats why they are bossy.
Tupo sawa ..anipite kwa kila kitu hapo ntakuwa na furaha
Me ninadukuduku, Sielewi kwanini vijana wengi wa sasa wakikuona mwanamke ukishakuwa unaweza kujimudu wanakuwa wanakuogopa......
Mfano: Wakikuona una gari ye hana gari
Akikuona umepanga au una nyumba ye hana nyumba ....Basi inakuwa taabu tupu ikitokea umempenda..huwa wanahisi kama hujampenda kweli , Mwanaume akiwa na wewe atakuwa na wewe si kidhati,anakuwa na wewe huku yupo na mwingine, ye mawazo yake yanakuwa kukutumia tuu..........
Sielewi kwanini wanakuwa na fikra potofu hivi?
Mwanamke unapokuwa unajitahidi kutafuta maisha unatafuta pia ukijua utakuja kuwa na mwenzio...So mwanaume ukipwndwa jiamini...ila tu jitahidi na wewe kimaisha sio uwe wa kula kulala...
Veri truu. Wanaume kubalini mabadiliko. Sote tunahangaika huko vibaruani kujiendeleza. Mkitupenda msiangalie hayo mambo
Kupotezeana muda ndiyo kunakera.sawa sawa, wapo easy sana si kwamba akikukubali fasta ndo unaona et kama wapo eeasy, ni sababu wanaume wengi wanawaogopa kuwatongoza. yaan mtu anakaa miez 6 hajawahi tongozwa. sasa we ukitia neno anaona kama bahati vile fasta anakubali.
lakin mwanamke mzuri anaetongozwa kila siku hawez kukubali kirahisi. kalaghabaho
Kawaida ya mwanaume yoyote anakawaida ya kuangalia hadhi yake na mwanamke anaetaka kumtongoza. na mwaume hapendi xana kudhalilika mfano wanawake ambao ni shida kuwatongo (1) alikuzidi kipato (2) mke wa mtu (3) mzuri sana hofu ni kuzalilishwa japokuwa tupo wanaume wachache sana majasiliMe ninadukuduku, Sielewi kwanini vijana wengi wa sasa wakikuona mwanamke ukishakuwa unaweza kujimudu wanakuwa wanakuogopa......
Mfano: Wakikuona una gari ye hana gari
Akikuona umepanga au una nyumba ye hana nyumba ....Basi inakuwa taabu tupu ikitokea umempenda..huwa wanahisi kama hujampenda kweli , Mwanaume akiwa na wewe atakuwa na wewe si kidhati,anakuwa na wewe huku yupo na mwingine, ye mawazo yake yanakuwa kukutumia tuu..........
Sielewi kwanini wanakuwa na fikra potofu hivi?
Mwanamke unapokuwa unajitahidi kutafuta maisha unatafuta pia ukijua utakuja kuwa na mwenzio...So mwanaume ukipwndwa jiamini...ila tu jitahidi na wewe kimaisha sio uwe wa kula kulala...
Me ninadukuduku, Sielewi kwanini vijana wengi wa sasa wakikuona mwanamke ukishakuwa unaweza kujimudu wanakuwa wanakuogopa......
Mfano: Wakikuona una gari ye hana gari
Akikuona umepanga au una nyumba ye hana nyumba ....Basi inakuwa taabu tupu ikitokea umempenda..huwa wanahisi kama hujampenda kweli , Mwanaume akiwa na wewe atakuwa na wewe si kidhati,anakuwa na wewe huku yupo na mwingine, ye mawazo yake yanakuwa kukutumia tuu..........
Sielewi kwanini wanakuwa na fikra potofu hivi?
Mwanamke unapokuwa unajitahidi kutafuta maisha unatafuta pia ukijua utakuja kuwa na mwenzio...So mwanaume ukipwndwa jiamini...ila tu jitahidi na wewe kimaisha sio uwe wa kula kulala...
Natamani nipate mwanaume alienizidi kila kitu,kuanzia umri,elimu na pesa....
Otherwise huwa najisikia kuna kitu sio okay..
I conquer with u...