Poverty mentality hizi eti ukiwa na gari unaogopwa...gari si kama viatu tu? Zamani wabongo hata simu tuliona ni asset na ujiko tumezoea sasa..bado magari..
huwa wanaogopa kauli kama hiyo hapo kwenye blue na zingine zinazofanana na hizo.
Nahuu ndio ukweli wenyewe wakubali wakatae ni wachache sana ambao hawako hivi,ukiongeza na elimu yake tena ndo usiseme!tatizo baadhi wanawake wengi wenye kipato cha juu ni wajeuri. Viburi .zarau.michepuko na kila aina ya balaa
tatizo huwa liko kwenye management, who will be the voice?.. always a man will force to be, but how? the sterling is under the woman side, can you bark to her?. wont you be pushed out?!
Yaani umempa cheupe peee...! Alianza vizuri, ila kauri yake ya mwisho hata mie ilinichefua!huwa wanaogopa kauli kama hiyo hapo kwenye blue na zingine zinazofanana na hizo.
tatizo huwa liko kwenye management, who will be the voice?.. always a man will force to be, but how? the sterling is under the woman side, can you bark to her?. wont you be pushed out?!
Kumbe tupo wengi.. Inabidi mwanaume akianza kukutongoza unamuuliza kwanza kipato chake na asset zake ili ujue kama yuko juu yako ndio umkubali... Mbona majanga!!!
hakuna mwanaume anayependa dharau hata siku moja tatizo lenu mkishashika visenti jeuri zinakuwa nyingi na michepuko ya kutoshaMe ninadukuduku, Sielewi kwanini vijana wengi wa sasa wakikuona mwanamke ukishakuwa unaweza kujimudu wanakuwa wanakuogopa......
Mfano: Wakikuona una gari ye hana gari
Akikuona umepanga au una nyumba ye hana nyumba ....Basi inakuwa taabu tupu ikitokea umempenda..huwa wanahisi kama hujampenda kweli , Mwanaume akiwa na wewe atakuwa na wewe si kidhati,anakuwa na wewe huku yupo na mwingine, ye mawazo yake yanakuwa kukutumia tuu..........
Sielewi kwanini wanakuwa na fikra potofu hivi?
Mwanamke unapokuwa unajitahidi kutafuta maisha unatafuta pia ukijua utakuja kuwa na mwenzio...So mwanaume ukipwndwa jiamini...ila tu jitahidi na wewe kimaisha sio uwe wa kula kulala...
tatizo baadhi wanawake wengi wenye kipato cha juu ni wajeuri. Viburi .zarau.michepuko na kila aina ya balaa
illuh mpenzi anayekuogopa hakufai, ukimchunguza sana atakua na tabia za kibabe, kupenda kuabudiwa, jeuri na dharau kwa wanawake......
Mwanaume anayejielewa na kujitambua ataendelea kuheshimika na mke wake katika hali yoyote (awe na elimu au asiwe nayo, awe na mali au asiwe nazo ataheshimika tuu) na wala mwanamke hatoona kwamba amemzidi kwa chochote