Kwanini wanawake tunaojimudu tunaogopeka?

Kwanini wanawake tunaojimudu tunaogopeka?

Hiyo sentensi ya mwisho ndio jibu...
Mwanamke akikusaidia kidogo atakusuta hadi unuke barabarani. ...
 
unaweza kumfanya mwanamke awe jinsi unavyotaka ww ht km amekuzidi kipato,,its just a matter of hw smart u ar
NB: sio wanaume wote wanaweza hili
 
Wapo wanaokubali, ila kwa mwanaume aliye kamili hawezi kukubali.
watatkuwa na matatizo ikiwa just for a short time sina tatizo huku mwanaume unajipanga lakini sio ndo yawe maisha ya kila siku alafu huna habari unaona ni kitu cha kawaida unakuwa ni ulimbukeni huo
 
Kama una maisha yako na una uwezo wa kulipa bills zote bila matatizo, hela za mwanamke hazikuhusu ila kama atataka kutoa mchango wake kwanini uogope?
Au kama wewe una uwezo wa kuwapeleka watoto shule na yeye akasema ataongezea ili waende shule bora zaidi kuna tatizo gani?
Mwanamke hawezi kukudharau kama anaona kuwa una uwezo wa kujikimu. Huwa wanadharau kama yeye analipia startimes, luku, misosi na kila kitu halafu wewe unapozi na remote huku umepiga msuli mkono mmoja unakuna korodani.
Hapo ndiyo dharau inapoanza.
nahicho ndicho nilichokikusudia kama umenifuatilia vizuri post zangu,kuna baadhi ya watu kuzidiwa na mwanamke kila kitu na kuwa comfortable ni kitu cha kawaida na wengine huongeza hata wake wa pili ilhali wanakaa nyumbani kwa mke wake na maisha anaona yako sawa tu,trust me hili swala kuna mtu nimemkuta analo na hana habari
 
watatkuwa na matatizo ikiwa just for a short time sina tatizo huku mwanaume unajipanga lakini sio ndo yawe maisha ya kila siku alafu huna habari unaona ni kitu cha kawaida unakuwa ni ulimbukeni huo

Lakini pia, mwanaume akiwa anajipanga ili kunyanyuka kwa kutegemea mgongo wa mwanamke, ni sawa na yule anayekubali tu kuishi na mwanamke akiwa amemzidi kipato, kwani hata akifanikiwa bado itaonekana kwa nguvu ya mke, kwahyo atakuwa ameshindwa kuonesha uanaume wake.
 
hata wanaume wengine wapo hivo pia

May be wapo... but characteristically mwanaume anakuwa proud kumsapot mwanamke. Ila mwanamke akikupa senti yake... ataikumbushia hadi baasi... japo kuna wachache hawapo hivo
 
1397398197948.jpg
 
tatizo huwa liko kwenye management, who will be the voice?.. always a man will force to be, but how? the sterling is under the woman side, can you bark to her?. wont you be pushed out?!

???????????
 
Poverty mentality hizi eti ukiwa na gari unaogopwa...gari si kama viatu tu? Zamani wabongo hata simu tuliona ni asset na ujiko tumezoea sasa..bado magari..

Waulize wanaoogopa magari ya wanawake na nyumba na kazi nzuri au biashara wanazomiliki wakina Dada!
 
Mwanamke akishika pesa anakuwa na dharau na anasahau kuwa ni mwanamke hvo wanaume ambao wanatamani kuwa na familia bora hupenda wanawake wanaotambua kuwa baba ni msimamizi mkuu wa familia na ndiye mwamuzi wa mwisho. MWANAMKE anayebisha hili Kwa namna yoyote Ile hafai kuwa mke wa mtu kwkuwa hakubali nafasi yake.. Hiyo ni order toka Kwa MUNGU ukibisha kumbatia ushetani wa mwanamke kuishi ki free "mason"
Japo siyo wote lakini uzoefu unanionesha wengi wapo hivo

Tunarudi kwenye nature! Mwanaume ili awe powerful ni lazima awe the main provider! otherwise ukisubiri mke then accept to be ruled by a woman!
 
Mbona bahati kama hizi huwa hazipiti huku mtaani kwangu.

Yani mwanamke nikuogope kisa unamali huu ni udhaifu wa miaka mia moja...

Wanaume wa hivyo hawastahili sifa ya uanaume..

Mwanaume wa kweli hujiamini kwenye kila jambo.

Mwanaume asiyejua kitu kinacho control akili za mwanamke ndo utakuwa muoga kwenye jambo hilo.

Mwanamke mwenye mali zake ananifaa sana mi mwanaume bahili...

Tatizo utatumia mali za mkeo kuchepukia na kuleta watoto kibao wa nje!
 
Hiyo ni kawaida dada hata mimi huwa nawaogopa ingawa kiukweli hata mm bonge la hb,lakini angalizo mwanamke mzuri sana ni ngumu kupata mwanaume mwenye mapenzi ya kweli maana huwa tunaamini mnatakwa na wengi,hayo ni mawazo yangu

Hapa si mwanamke mzuri sana anayeongelewa ni mwenye hali nzuri ya maisha/ kipato kikubwa kuliko mwanaume anaye mdate!
 
wengi huogopa kutupiwa virago nje afu mara nyingi madume cc hupenda kumkoromea mwanamke kwa mwenye cash ukjaribu tu unaambiwa njia nyeupeeeeee sepa

Unamkoromea mwanamke kwa kupenda???? Mi nafikiri ninyi ni wababe na wajeuri tena you are unjusty!
Mfano wewe ndiye umekosea halafu unaleta ubabe, hutaki Ku apologize, hutaki kuacha kosa unalolitenda, unataka uishi unavyotaka wewe huku ukimsononesha mkeo au mpenzio!
Utaacha kufukuzwa? Mbona wanaume wenye maadili, tabia njema na upendo wa dhati wanaishi vizuri na wanawake waliowazidi kiuchumi?
 
Back
Top Bottom