Kwanini wanawake tunaojimudu tunaogopeka?

Kwanini wanawake tunaojimudu tunaogopeka?

this is very complicated ila mwanamke akishakuwa na mihela ni shidaa, anataka kukaa utosini na hakuna mwanaume anayetaka kukaliwa na mwanamke
 
Well waendelee kuogopa tu na inferiority complex zao. If they cant take the heat they shd stay out of the kitchen! Ukishafikia level fulani u are allergic to bullshit... mtakuta mnaanza vizuri, unamheshimu, unampenda na humnyanyasi hela mnatumia pamoja. Sasa issue inakuja hapa: zile hela unazotoa mjenge maisha yenu jamaa anamhongea mchepuko... mara jitu linakuja halikujali lina wanawake kila kona. Mara wewe ndo umekuwa mbaya! Aaah wapi nakutimua I wont know what has hit u!
 
Ndo maana hamuolewi.mxxxx

correction:
ndo maana hatuolewi na loosers.
kama kuolewa kutafanya maisha yangu yarudi nyuma basi ni asavali nikae single. kuwa mwanaume siyo "ukuni" peke yake, a man has to provide!
 
Da pole sana kama umempata mwenye hofu hiyo,binafsi namwogopa sana mwanamke ambae hata hela ya chumvi anataka mm ndo nimpe.
 
Me ninadukuduku, Sielewi kwanini vijana wengi wa sasa wakikuona mwanamke ukishakuwa unaweza kujimudu wanakuwa wanakuogopa......
Mfano: Wakikuona una gari ye hana gari

Akikuona umepanga au una nyumba ye hana nyumba ....Basi inakuwa taabu tupu ikitokea umempenda..huwa wanahisi kama hujampenda kweli , Mwanaume akiwa na wewe atakuwa na wewe si kidhati,anakuwa na wewe huku yupo na mwingine, ye mawazo yake yanakuwa kukutumia tuu..........
Sielewi kwanini wanakuwa na fikra potofu hivi?

Mwanamke unapokuwa unajitahidi kutafuta maisha unatafuta pia ukijua utakuja kuwa na mwenzio...So mwanaume ukipendwa jiamini...ila tu jitahidi na wewe kimaisha sio uwe wa kula kulala...
Umekutana na masharo baro!tupo ambao hatuogopi wanawake hata kama wewe ni Joyc Banda
 
mbona mm wife kanizidi kila kitu lakini huwa anapiga magoti kuomba msamaha anaponizingua.....kuna wanaume wengine tuliumbwa vibaya haijalishi una nini au ukoje ,status ya mume na mke iko palepale huwa sileagi ujinga kabisa na kuna kituinatwa Attraction...ATTRACTION HAS NO CHOICE
Mwana unafanana kla ktu ktk maisha ya ndoa Kama mm nimeipenda hii... Mwme hutakiwi kulea ujnga kamwe no matter how much money ya wife own. Tena Hapo ktk attraction kuna ile ---- ATTRACTION... Ndo mpango mzma. We kdume ukjilet down yourself ksa Malaya anazo atakurudia Na mieanamume ya kazn kwake kla uchao. Cheza Nate michezo yote ya hatar hata iktokea analeta blah blah unasepa bla hill.
 
Me ninadukuduku, Sielewi kwanini vijana wengi wa sasa wakikuona mwanamke ukishakuwa unaweza kujimudu wanakuwa wanakuogopa......
Mfano: Wakikuona una gari ye hana gari

Akikuona umepanga au una nyumba ye hana nyumba ....Basi inakuwa taabu tupu ikitokea umempenda..huwa wanahisi kama hujampenda kweli , Mwanaume akiwa na wewe atakuwa na wewe si kidhati,anakuwa na wewe huku yupo na mwingine, ye mawazo yake yanakuwa kukutumia tuu..........
Sielewi kwanini wanakuwa na fikra potofu hivi?

Mwanamke unapokuwa unajitahidi kutafuta maisha unatafuta pia ukijua utakuja kuwa na mwenzio...So mwanaume ukipendwa jiamini...ila tu jitahidi na wewe kimaisha sio uwe wa kula kulala...

Hamia Kwenye Ndoa ya Jinsia moja huko ndio Mpango mzima, fulli kuheshimiana kwa maana kila Mtu anajua Mwenzake anataka/anapenda nini!

 
Me ninadukuduku, Sielewi kwanini vijana wengi wa sasa wakikuona mwanamke ukishakuwa unaweza kujimudu wanakuwa wanakuogopa......
Mfano: Wakikuona una gari ye hana gari

Akikuona umepanga au una nyumba ye hana nyumba ....Basi inakuwa taabu tupu ikitokea umempenda..huwa wanahisi kama hujampenda kweli , Mwanaume akiwa na wewe atakuwa na wewe si kidhati,anakuwa na wewe huku yupo na mwingine, ye mawazo yake yanakuwa kukutumia tuu..........
Sielewi kwanini wanakuwa na fikra potofu hivi?

Mwanamke unapokuwa unajitahidi kutafuta maisha unatafuta pia ukijua utakuja kuwa na mwenzio...So mwanaume ukipendwa jiamini...ila tu jitahidi na wewe kimaisha sio uwe wa kula kulala...
GARI UNALO HAPO NA NYUMBA UNAYO... jamani na bado vijana wanazembea kama hujapata ni check
 
a man should have a voice kwa maana hiyo lazima uwe na msimamo na hoja za msingi
utakuwa na msimamo wakati huna hela my dia?? we mwenyewe kila siku unasema hela mbele kama tai uanaume utatoka wapi na kila kitu mwanamke kakukzidi hata mwenyewe ukitaka kucommand unashiindwa!! mwanaume wa kweli haiwezekani kila siku ikawa ni mtu wa kupewa tu hataka kama mkeo kakuzidi inabidi na wewe uwe na chochote kitu,
 
ingekuwa ukitongoza huonekani tofauti...angalao ungeangalia mwanaume unayempenda ukampa darasaaa wkt unamtongoza...Ila kwa vile wanaume ndio wanatongoza basi inabidi tutulie tuwasubirie waje hata km ni miaka kumi...Wanaoogopa kukutongoza sababu uwaache tuu..
wanawake wengi hufurahia mapenzi pindi waletewapo vijizawadi vidogovidogo toka kwa waume zao, vile vile mwanaume hufurahi sana pindi anunuapo zawadi kwa ajili ya mkewe/mpenziwe, sasa itakuaje ukigeuza ubao, si ndio mwanaume suruari hayo, hakuna raha kuishi na mwanamke anayekuzidi kipato labda unizidi elimu lakin kwenye pesa hiyo haiko vizuri
 
utakuwa na msimamo wakati huna hela my dia?? we mwenyewe kila siku unasema hela mbele kama tai uanaume utatoka wapi na kila kitu mwanamke kakukzidi hata mwenyewe ukitaka kucommand unashiindwa!! mwanaume wa kweli haiwezekani kila siku ikawa ni mtu wa kupewa tu hataka kama mkeo kakuzidi inabidi na wewe uwe na chochote kitu,
u can not have a voice while u dont have power for sure... money is every thing
 
hatuwaogopi ila mna dharau sana, ukianzia hata elimu, ukute wewe una master na mume ana dilpoma, ni shiida ndani manake mkikorofishana unaanza mwanaume gani hata degree huna, mambo gani hayo, mtabaki hivyo hivyo kugegedwa na kutemwa, sis ni maskini jeuri bana
 
Tatizo wanaume wengi tunaamini ukiona mwanamke kafanikiwa basi ujue kuna mwenzio anagharamia.
 
u can not have a voice while u dont have power for sure... money is every thing

so in other side we men have the right to fear at least a little big girls wanaojimudu mwanamue huwezi kuzidiwa kila kitu na m-ke wako alafu uishi comfortably
 
Back
Top Bottom