OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Ok..basi ndio maana mahusiano mengi siku hizi hayadumu. Mimi msichana akiwa anaangalia vitu vyangu huwa sivutiwi nae kwan najua anataka kunifanya project..Kupanda na kushuka kiuchumi ni janga la dunia nzima hata serikali tajiri kama US huwa zinakumbwa na janga hili, sasa kama mimi nikishuka na huyu mdada alikuja sababu ya hivyo vilivyopungua unadhani atabaki na mimi? Bora waangalie my content..nina nini kichwani, je ni mpiganaji au mzembe tu? wakifanya hivi nadhani tutafika pazuri.
Kila ninapokuambia "kundi bora" hii ndio moja ya tafsiri zake, hao wanaodaiwa wanaogopwa huwa wanawinda hiki kitu, kama unacho baaas ashakum si matusi unaweza kufungua NGO ya kutatua shida zao.........!!!!!!!