dangadunguri
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,276
- 1,310
VampireIli virandane nilitakiwa niandikeje?
VampireIli virandane nilitakiwa niandikeje?
Sijaongelea swala la kumsomesha mdg mtu... nmeongea general.Kwahiyo kukwambia usimsomeshe mdogo wako ndio kujali familia yenu? Kuna kufa utapata mwingine aijali hiyo familia lakini dogo hawezi pata kaka mwingine amsomeshe
Hata mwanao hatopata baba mwingine wa kumsomesha.Kwahiyo kukwambia usimsomeshe mdogo wako ndio kujali familia yenu? Kuna kufa utapata mwingine aijali hiyo familia lakini dogo hawezi pata kaka mwingine amsomeshe
Wengi wako hivyoHata mwanao hatopata baba mwingine wa kumsomesha.
Kwasbb tu ulikuwa unanyanyaswa basi usichukulie wanawake wte wako hvyo.
Nampa pole mkeoWengi wako hivyo
Una bahatitrue,ila mimi kwetu na mume wangu nyumba yetu iko kama hospital leo kaja huyu mara yule,na nadhani kinachonisaidia
ni kua nafanya kazi natoka home by 0630 hrs narudi 1630hrs nikirudi busy na studies za watoto kupika mpaka nikimaliza ni 2030hrs kusimamia kids wa Sali mpaka wakilala 2100hrs hoi sina mda kabisa wao tunakutana kwenye chakula au siku niko off ndio tutapiga story ndefu lakini weekdays sina mda kabisaaaaaaaaaaa,nadhani hiyo pia ina changia....
Watu wote waseme aminamwanamke mpumbavu,mbinafsi na mchoyo ndo atachukia ndugu za mume
na mwanaume mpumbavu atachukia ndugu za mke
Naona ningekua na wazimu naona manake ningekua mbea hatari..lol lakini mchezo wote nataka ila kuwakaripia na kuwasemea wafanyakazi mbovu sipendi tena tutagombana,wakije wake na yao sio kuni haribia,na wanajua kwa bibi yule tuna kwenda ila sijui mfanya kazi sijui kala sana sijui useme yeye ale dagaa wao wale kuku hapo hatuelewani..Una bahati
Ingekuwa unashinda home................
Halafu upate hawafanyi kazi tv waharibifu ungefurahi (regardless ni ndugu wa mume au wa kwako)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ameennn!!Watu wote waseme amina
Halafu chakula ni mavi tu wacha waleeee mpaka wajinyee
Ila tu marufuku kutupa chakula....
Na kazi washiriki
Adabu itawale
Sheria za nyumba zifuatwe
Na umbea marufuku
ndo wanatakiwa tuishi na hvyoo yaanitrue,ila mimi kwetu na mume wangu nyumba yetu iko kama hospital leo kaja huyu mara yule,na nadhani kinachonisaidia
ni kua nafanya kazi natoka home by 0630 hrs narudi 1630hrs nikirudi busy na studies za watoto kupika mpaka nikimaliza ni 2030hrs kusimamia kids wa Sali mpaka wakilala 2100hrs hoi sina mda kabisa wao tunakutana kwenye chakula au siku niko off ndio tutapiga story ndefu lakini weekdays sina mda kabisaaaaaaaaaaa,nadhani hiyo pia ina changia....
Ulitaka maisha ya kaka yao yafatiliwe na ndugu wa mke??? Mbona wewe unafatilia ya kaka zako kwa maslahi ya wazaz wako na wadogo zako?? Acheni ubinafsi. FyuuuuNdugu wa mume wanazidi kufatilia maisha ya kaka zao Over
Haswaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ameennn!!
umbea mwisho kwenye gari ya kutoka kijijini kwenu kuja kwangu...
ukifika kwangu heshima ni taadhima
heshima lazima iwepo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Haswaaaaa
Halafu wajue kuishi na mtu
Jamani kawaida ukienda nyumbani kwa mtu isome nyumba.....jitume kazi....... heshima iwepo...kama wana madhaufu yai waachie wenyewe wahangaike nao....
Sio mtu anafika kwa ndugu (haijalishi wa mume au mke) full unbea na majungu...yeye ndui anakuwa ripota wa matukio anayapeleka live kijijini....
Mvivu mchafu kuamrisha wasaidizi...kuharibu ratiba....kushinda kwenye tv asubuhi hadi jioni mpaka kochi linapata moto....kiburi jeuri matusi dharau...na kujipambanishq na maza hausi
Mweh mweh
Laana hzo na kutokujielewa msosi sio wakumnyima mtoto au watu wazima, hafu wamama wengi wa hivo wanao huwa vilazer kila sehemu sio darasani wala maishani. Hizi roho mbaya bila kufikiria kesho huwa cost wengi.Nikisoma coment zako haoa nakaribia kutokwa na machozi, sisi tulikuwa tunawekwa pending, watoto wananda kuchukua chips wanazama vyumbani wanapiga zao zegeeee, alafu tulikuwa na ndugu wa mke, wanaitwa chumbani kwa dada yao wanashikishwa mtonyo, sisi tunasubiria rehema za Mungu.
Hapo mtaekewa plate moja makoko ya wali, mnapiga tonge mbilimbili mnajiramba mnasepa. Haki ya Mungu yule mama watoto wake wote wameramba zero form 4, ndugu zake mji umewashinda wamerudi kwao, maisha yamekuwa tight mbaya. No future at all.
Nampa pole mumeoWengi wako hivyo
Utakuwa mke bora sana. Mungu akujalie kipenziiiiiNamuomba mungu ikitokea nikatofautiana na ndugu wa mme wangu basi anisamehe ilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa huyu mwanamke ambae atakuwa ameniletea mme duniani a.k.a ma mkwe nisitofautiane nae maana ni mwanamke pekee duniani atakaekuwa amenizalia mme. Mungu nisaidie.