Kwanini wanawake hawawapendi ndugu wa mume?

Kwanini wanawake hawawapendi ndugu wa mume?

najiuliza sana pale bustanini eden,eva aliposhawishiwa ale lile tunda kwanini alianza kula yeye na kulibugia na kulifaidi ndipo akaenda kumshawishi na adam ale??kwanini asingeondoka nalo kwenda kula pamoja na "mmewe" adam au hata aanze kummegea kwanza adam??pale ndipo alipotengeneza asili ya mwanamke kujifikiria yeye kwanza ndipo wafuate wengine!pengine tunalalama tu kumbe ni asili wala si akili au utashi wa mwanamke kuwa hivyo!!Mungu akubariki ukawe mfano
Mkuu sio ubinafsi wengi ni kujiendekeza tu nakwambia from experience, wengi wakiolewa hupenda kupanda watu vichwani nakutaka kuziendesha akili za mume Mpaka na wana familia wengine.
 
Nimeipenda hii mada ila Mimi kama kunyanyaswa basi niliteswa sana na kwa kuwa sikuwa na msaada mwingine nilikomaa hivyohivyo ukizingatia nilikuwa nasoma na kwa hasira nilisoma sana ili siku nami nitoe msaada usio na malipizo kwa wanae au ndugu zangu. Yaani alikuwa anachukia hata matokeo ya ufaulu wangu na mungu alivyo wa ajabu nilitusua hadi chuo kikuu na ajira nikapata ontime leo anaona hata aibu.
 
Mkuu sio ubinafsi wengi ni kujiendekeza tu nakwambia from experience, wengi wakiolewa hupenda kupanda watu vichwani nakutaka kuziendesha akili za mume Mpaka na wana familia wengine.
Diva ni suala la ubinafsi zaidi, kujali kinachomuhusu yeye zaidi, ndugu wa kiume mmoja tu anaweza kuelezwa anaharibu bajeti ya familia lakini wa upande wake wanaweza kuwa hata watatu lakini isielezwe wanaharibu bajeti ya familia!!Ni asili kwa mwanamke kujifikiria yeye zaidi, hata sehemu za kupaki magari mwanamke anaweza kuta space ya kupaki gari mbili akaweka la kwake katikati...atawaza kuhusu yeye kupata parking baaaasi na asifikirie kuhusu mtu mwingine akija atakosa nafasi!!!!Si akili yake wala utashi wake au tabia yake....ni asili....kama unajisikia kulaumu yeyote kuhusu hilo...Mlaumu Mungu aliyewaumba hivyo......kama utaweza kumlaumu Muumba!
 
Yaaan hii kitu ipo sanaaa mm niliachanaa na mchumbaa anguu kisaa kachukia mm kumsomesha Mdogo wangu shule ya private eti niachee aende serikalin alikofaulu niweke pesaa nimlipie mahal na tuanze maishaa hapo aligusaa pabayaa sanaaa maana nampenda Mdogo wangu kuliko ninavyojipendaa mm kutokana na historia yake ya kukosa malez ya baba ambayo sisi tuliyapata na kufurahiaa yy alizaliwa akiwa na miaka 2 mzee akafarik
 
Namuomba mungu ikitokea nikatofautiana na ndugu wa mme wangu basi anisamehe ilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa huyu mwanamke ambae atakuwa ameniletea mme duniani a.k.a ma mkwe nisitofautiane nae maana ni mwanamke pekee duniani atakaekuwa amenizalia mme. Mungu nisaidie.
 
Kwa utafiti mwingi nilioufanya japo sina data za kupresent hapa lakini kuna aka katabia cha wanawake wengi walioolewa kutowapenda ndugu wa mwanaume hasa linapokuja suala la kuwasaidia kifedha na ata kimawazo hua wanaonyesha waziwaz kuchukizwa endapo mwanaume ataamua kuwasaidia..ila ikitokea ndugu zake ndo wanaitaji msaada iyo siku utapigiwa kelele na ata papuchi hutopewa kamwe je tatizo ni nini wadau maana wengi wao wapo ivyo...
UNAJUA MLETA MADA KUNA KITU HAPA HUWA KINAJARIBU KUFICHWA ILA UKWELI NI KWAMBA MAFANIKIO YA MWANAUME NDIO CHANZO KIKUBWA BAADHI YA WANAWAKE KUTOKUPENDA NDUGU ZAKO NI MAFANIKIO.

KUNA WANAWAKE AMBAO HUPENDA KUTUMIA MAFANIKIO YA MAFANIKIO YA MWANAUME WAKE KUJIJENGA YEYE NA KWAO KIMANDELEO HIVOO KUMPELEKEA KUTOKUPENDA NDUGU ZAKO MAANA ANAWAONA NI VIKWAZO .

SIO HIVO TUU KUNA MWANAMKE MWINGINE YUPO TAYALI AKUGOMBANISHE NA WEWE NA UKOO WAKO ILI UKOO WAKE UNUFAIKE NA MATUNDA YA MWANAUME WAKO WE JUST IMAGINE MKE WAKO ANAKWAMBIA MAMA AKOO MCHAWI ANATULOGA
 
Diva ni suala la ubinafsi zaidi, kujali kinachomuhusu yeye zaidi, ndugu wa kiume mmoja tu anaweza kuelezwa anaharibu bajeti ya familia lakini wa upande wake wanaweza kuwa hata watatu lakini isielezwe wanaharibu bajeti ya familia!!Ni asili kwa mwanamke kujifikiria yeye zaidi, hata sehemu za kupaki magari mwanamke anaweza kuta space ya kupaki gari mbili akaweka la kwake katikati...atawaza kuhusu yeye kupata parking baaaasi na asifikirie kuhusu mtu mwingine akija atakosa nafasi!!!!Si akili yake wala utashi wake au tabia yake....ni asili....kama unajisikia kulaumu yeyote kuhusu hilo...Mlaumu Mungu aliyewaumba hivyo......kama utaweza kumlaumu Muumba!
Mi napata ukakasi kukubaliana na wewe kua eti ni asili yao na wakulaumia kwa ili ni mungu aliewaumba ivyo na sio wao.....basi kama ni ivyo wangekua wote ila mbona wengine wako nomal hawana tabia kama iyo, acha kumcngizia mungu bhana mc Tilly chizenga hiyo ni hurka ya mty mwenyewe
 
Mi napata ukakasi kukubaliana na wewe kua eti ni asili yao na wakulaumia kwa ili ni mungu aliewaumba ivyo na sio wao.....basi kama ni ivyo wangekua wote ila mbona wengine wako nomal hawana tabia kama iyo, acha kumcngizia mungu bhana mc Tilly chizenga hiyo ni hurka ya mty mwenyewe

wewe umeangalia katika kesi hii tu ya ndugu,mimi nimekutolea mpaka mfano wa parking na kule mwanzo tukio la bustanini eden!nakupa assignment chunguza ktk nyanja na maeneo mbalimbali,nakuongezea mfano mwingine..hata jeshini au vitani unavyoona wanaume ni wengi jeshini usidhani ni kwa vile ya ushupavu wao bali pia utayari wa kufa kwa ajili ya wengine ni kitu adimu kwa akinamama...ipo siku utakubaliana nami ni kujipotezea muda kuhangaika na hilo jambo la asili......dawa ni kwenda tu sambamba na hali halisi..ukijisikia kulaumu Blame God if you can
 
Namuomba mungu ikitokea nikatofautiana na ndugu wa mme wangu basi anisamehe ilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa huyu mwanamke ambae atakuwa ameniletea mme duniani a.k.a ma mkwe nisitofautiane nae maana ni mwanamke pekee duniani atakaekuwa amenizalia mme. Mungu nisaidie.
Well said kama unachoongea ndivyo utakavyokuwa
 
Namuomba mungu ikitokea nikatofautiana na ndugu wa mme wangu basi anisamehe ilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa huyu mwanamke ambae atakuwa ameniletea mme duniani a.k.a ma mkwe nisitofautiane nae maana ni mwanamke pekee duniani atakaekuwa amenizalia mme. Mungu nisaidie.
Ameen, inshallah Mungu atakupa mume mwema!
 
Yaaan hii kitu ipo sanaaa mm niliachanaa na mchumbaa anguu kisaa kachukia mm kumsomesha Mdogo wangu shule ya private eti niachee aende serikalin alikofaulu niweke pesaa nimlipie mahal na tuanze maishaa hapo aligusaa pabayaa sanaaa maana nampenda Mdogo wangu kuliko ninavyojipendaa mm kutokana na historia yake ya kukosa malez ya baba ambayo sisi tuliyapata na kufurahiaa yy alizaliwa akiwa na miaka 2 mzee akafarik
Ulifanya vyema.
 
Hili swala limekithiri sana kwa ke ila hata baadhi ya me wako ivo ingawa ni wachache sana. Pia sio kwamba upande wa mme hawana mttz yapo mengi ila inatokana mara nyingi na ke aliyeolewa.. Mi huwa sielewi kwann uwe mchoyo kwa ndg wa mumeo?? Kwann uwaongelee mabaya ili kaka yao hawachukie hujui kuwa umewakuta wameungana ujui wamekuaje mpk kufika hapo.. Mama aliyekuzalia mmeo unamdaharau unamnyanyasa kweli???? Hii imepitiliza naamini ukiolewa cha kufanya ni kuionganisha familia iwe kitu kimoja na si kuitawanya...
Uwiii mi nlikua na ma mkwe wangu nlitambukishwa enzi izo ila hatukubahatika kuona na kijana wake yaani yule mama mpk leo ananijulia khali kwa jinsi nlivyoishi nao vzr. Maisha mzunguko usimfanyie mtu ubaya kuna leo na kesho.
 
Kwa kweli hilo ni changamoto kubwa sana, wanawake wapumbavu ndo wamekuwa wakifanya wote tuonekane wabaya kwa ndugu wa mume. Yaani hata Uwe mwema hatuonekani tena sababu ya hawa wachache. Hebu tubadilike kwa kweli, yote ni mambo ya kupita tuu wandugu
 
Hapo siyo kweli. Tabia ya choyo na chuki iko katika nafsi ya mtu. Huwezi shangaa mwanaume hapendi ndugu wa mke au mke hapendi ndugu wa mume. Kama kuanzia katika familia kuna tabaka basi hata katika familia za watoto wenu watakuwa na matabaka vivyo hivyo
Ndugu wa mume wanazidi kufatilia maisha ya kaka zao Over
 
Back
Top Bottom