Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,705
Sawa mkuuUnafaa sana kuwa poet Mkuu.
Sawa mkuuUnafaa sana kuwa poet Mkuu.
Hiyo roho mbaya...mmoja alinijibu eti kaiukuta imejisave tu kwenye simu... nikamjibu ifute sasa
sasa kwa nini udanganye?Hiyo roho mbaya...
Haaa wanasema eti Mkiambiwa ukweli hamkubari...sasa kwa nini udanganye?
me napenda ukweli bai tu hawajui sababu mi kunidanganya ni kaziHaaa wanasema eti Mkiambiwa ukweli hamkubari...
Inabidi mjue tunaptia meng mpaka kupata namba zenu jamani
Hahaaha nipe namba nijaribu kukudanganya nione kama ni kazi maana hutoniuliza nimeitoa wapime napenda ukweli bai tu hawajui sababu mi kunidanganya ni kazi
upuuzi huo hutoag no kwa watu unatoa kwa punda aukama dada maji mara 1 atakuelewa lakini ukikutana na mtu anaejielewa utakua umeanzisha uhasama kwa kuwa muongo
1. nilikupa wapi na sitoagi namba yangu kwa watu?
2. Namtaka kumfahamu aliyekupa namba yangu bila ruhusa yangu
3. Si kweli, umenisajilia wapi na lini.
4. Tulisoma wote wapi na namba ukaipata wapi maana sijakupa binafsi
Nipm Na Mimi hiyo sprayMkuu maneno matamu unayo lakini?
Itafute hiyo spray ni bei chee sana 15 elfu tu!
Shukrani zimuendee dada nanilii maana ndiye aliyenishawishi ninunue kwa mara ya kwanza!
Je akiulza km kwel ww ni wakala ulinisajilia line yangu mwaka gani? Na kama umewahi kuwa class mate wake ilikuwa shule gani na mwaka gan au mwl mkuu wa ile shule alikuw anaitwa nan? Na kama umepewa namba na rafiki zake je unawajua kwa majina yao? Yani nyie ndo mnawakosa madada kiurahisi kabixa, pole sana ndg njoo tukufunze bado xn naona hujui rubuni mwanamkethread, ni nzuri;
hapo majibu yanaweza yakawa hivi.
1.nang'ang'ana namba alinipa mwenyewe.
2.nimepewa na rafiki zake
3.mimi ndiye wakala niliyemsajilia nalazimisha hivyo
4.mm nilishawahi kuwa classmate wake few years ago.