Kwanini wanaume wengi hawataki kuoa?

Kwanini wanaume wengi hawataki kuoa?

Kiukweli,
Vijana muoe,
Narudia Tena, vijana muoe.

Ndoa Ina Raha yake Bhana

Mke wangu MAMA G nakuombea sana MUNGU akupe maisha marefu.

Japo nachepuka Sana,
ila UKWELI wee ndo nnaekupenda Sana MKE wangu.

Na HAKIKA, SIJUTII kabisa KUKUOA
Mkuu hivi unazani Kwa maisha ya mtanzania wa kawaida ili kumudu maisha inabd awe anakipato Cha shngap Kwa siku? Wengine tunaona kiuchumi bado hatupo sawa
 
Kuna jamaa yangu yeye kauli yake huwa "maziwa napata, sasa nifuge ng'ombe wa nini"
, ni kama masihara ika kuna kaukweli ndani. Dada zetu hawana mipango, wao wanatoa tu mzigo, akiitwa getho anakaa wiki 2, jamaa anaichabangaaa, binti anaondoka kaishasafisha nyumba, kafua na kila kitu, sasa hapowajuba ngumu kuoa.
 
Kuna jamaa yangu yeye kauli yake huwa "maziwa napata, sasa nifuge ng'ombe wa nini"
, ni kama masihara ika kuna kaukweli ndani. Dada zetu hawana mipango, wao wanatoa tu mzigo, akiitwa getho anakaa wiki 2, jamaa anaichabangaaa, binti anaondoka kaishasafisha nyumba, kafua na kila kitu, sasa hapowajuba ngumu kuoa.
Huo ni ukweli kabisa maziwa tunapata sasa kufugana ya nini tena
 
Siku hizi unaoa ili upate nini?

Kama ni mbususu zipo za kumwaga.

Kama ni mtoto unaweza kumpata hata bila kuoa.

Mapenzi menyewe yamegeuka na kuwa biashara.

Na ukijichanganya ukaoa hawa wasomi uchwara hawa wanaharakati ndo umekwisha kabisa.

Ni lazima kupiga mahesabu sana aisee vinginevyo ndoa siku hizi ni liability kubwa inayoweza kugharimu maisha yako....
View attachment 2181078
Amorniza ana vituko sana 😂😂😂😂🤣🤣🤣
"Konde bwoy comi namba one, so much money in the bank Man...
 
Back
Top Bottom