Kwanini wanaume wengi hawataki kuoa?

Kwanini wanaume wengi hawataki kuoa?

Kiukweli,
Vijana muoe,
Narudia Tena, vijana muoe.

Ndoa Ina Raha yake Bhana

Mke wangu MAMA G nakuombea sana MUNGU akupe maisha marefu.

Japo nachepuka Sana,
ila UKWELI wee ndo nnaekupenda Sana MKE wangu.

Na HAKIKA, SIJUTII kabisa KUKUOA
 
Wanaume tuliofikia umri wa kuoa kuanzia miaka 20 mpaka 35 tupo mtaani tuna pita kwenye tanuri la moto la kutokuwa na kazi ya uhakika na kutotimiza milo mitatu halafu ukimbilie kuoa hapo itakuwa unakimbilia kifo mkuu na wao wanataka wanaume wenye pesa.
 
Hela imeharibu sana maana ya ndoa, mademu wengi dream zao zipo kwenye mifuko ya wanaume na ndio maana wengine wanadanga mpaka kwenye ndoa, yaani mume anakuwa danga na si MWENZI wa maisha.

Hapo bado kuna wale wa 50/50 hawa ndio wanakutoa pumu ukiwaoa.

Hamna mtihani mgumu kwa mwanaume kama kupata mke mwema, huwaga naulizwa "utaoa lini " Jibu sina sababu najua vimeo ninavyokutana navyo ni full vichomi.

Huu utafiti wako unaweza kuwa kweli ktk kampuni tatu nilizofanya katika kitengo nilivyokuwa navifanyia kazi 70% hawajaoa na sidhani kama wana mpango japo wapo walio na watoto.
Ewaaaaa darasa zuri
 
Kiukweli wanaume wapo wadada msidanganyike.
Sio lazima muolewe na watanzania.
Ndio maana Mungu aliumba dunia na inapembe 4 za dunia

So wasiwatibue ...........
Kweli .....
Kama hakuna tz kuna east africa , kuna south Africa, kuna north africa , west africa, kuna america , kuna canada nchi zipo nyingi nawao wana south , east , west , north zote hizo lazima upate wako
Umeamua kuwapa mjii kama vile vitendawili vya darasa la 2 B?kweli kazi mnayo
 
Hili swala wanalichukulia masihara lakini ñdio utabiri unaenda kutimia hivyo kama Bible inavyosema katika kitabu cha isaya . Ndoa imepoteza ile maana halisi kabisa baada ya kuja kwa utandawazi ndoa ni agano kutoka kwa Mungu lakini kwa sasa wanadamu wanalichukulia kama Haina umuhimu Jambo lisilo kweli hasa wanawake.UTAWAKUTA WANADANGANYA KUWA HALUNA UMUHIMU WA KUOLEWA NAWEZA KUISHI MWENYEWE KIMBE NI AIBU KUBWA SANA NA HUWAGA WANAUMIA LAKINI NDO VILE HAWASEMI
 
Kiukweli wanaume wapo wadada msidanganyike.
Sio lazima muolewe na watanzania.
Ndio maana Mungu aliumba dunia na inapembe 4 za dunia

So wasiwatibue ...........
Kweli .....
Kama hakuna tz kuna east africa , kuna south Africa, kuna north africa , west africa, kuna america , kuna canada nchi zipo nyingi nawao wana south , east , west , north zote hizo lazima upate wako
Jipe moyo ...safari ya maisha ina mabonde na milima...mabonde na milima
 
Hili swala wanalichukulia masihara lakini ñdio utabiri unaenda kutimia hivyo kama Bible inavyosema katika kitabu cha isaya . Ndoa imepoteza ile maana halisi kabisa baada ya kuja kwa utandawazi ndoa ni agano kutoka kwa Mungu lakini kwa sasa wanadamu wanalichukulia kama Haina umuhimu Jambo lisilo kweli hasa wanawake.UTAWAKUTA WANADANGANYA KUWA HALUNA UMUHIMU WA KUOLEWA NAWEZA KUISHI MWENYEWE KIMBE NI AIBU KUBWA SANA NA HUWAGA WANAUMIA LAKINI NDO VILE HAWASEMI
Mzuka wa kuoa wengine hawana yaani hisia kabisa ukiwaza maisha yanakuendesha then bado ukweni kupeleka chochote kitu maana utakuwa ushazoa matatizo ya ukweni
 
Hili swala wanalichukulia masihara lakini ñdio utabiri unaenda kutimia hivyo kama Bible inavyosema katika kitabu cha isaya . Ndoa imepoteza ile maana halisi kabisa baada ya kuja kwa utandawazi ndoa ni agano kutoka kwa Mungu lakini kwa sasa wanadamu wanalichukulia kama Haina umuhimu Jambo lisilo kweli hasa wanawake.UTAWAKUTA WANADANGANYA KUWA HALUNA UMUHIMU WA KUOLEWA NAWEZA KUISHI MWENYEWE KIMBE NI AIBU KUBWA SANA NA HUWAGA WANAUMIA LAKINI NDO VILE HAWASEMI
Waambie hata wanaume wapo hivyo hivyoo
 
Mbona wanawake wanalalamika siku hizi kuwa hawaoni waoaji, kwani vipi wanaume siku hizi mnaogopa kuoa au ponyeto inafanya kazi uko kwenu?

Chukueni majiko bwana tupunguze idadi ya wanawake wengi ma single mitaani

Ila wanawake na Ninyi mmezidi bwana

Zile kauli zenu mnataka wanaume warefu zilishia wapi?

Yaani siku hizi imekuwa shida ukimtongoza mwanamke hapo hapo hivyo unakuwa mume
Na bado

Mpaka Neno la nabii isaya litimie :ISAYA 4

1Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.
Natafta mke wa pili leo mwaka wa tano sijampata
 
Back
Top Bottom