OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,960
- 25,312
Oa ivyo ivyo ..imeandikwa utakula kwa jasho 😀😀😀Wanaume tuliofikia umri wa kuoa kuanzia miaka 20 mpaka 35 tupo mtaani tuna pita kwenye tanuri la moto la kutokuwa na kazi ya uhakika na kutotimiza milo mitatu halafu ukimbilie kuoa hapo itakuwa unakimbilia kifo mkuu na wao wanataka wanaume wenye pesa.