kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,180
- 1,599
Acha unyonge utapakatwaSio wote mkuu, kuna kina sie tunahitaji wa kuwaoa, ila mamanzi wengi wanaanza uliza
Unafanya kazi gani???
Mshahara wako shi ngapi???
Umejenga???
Sasa anakuta mwamba una ka-subwoofer, kitanda,taulo na ndala za kuogea ,anachora , anataka mtu mwenye Benz au V8.
Eee Mungu walainishe mioyo hawa wadada wakubaliane na hali zetu...