Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,391
- 59,148
ASio wote mkuu, kuna kina sie tunahitaji wa kuwaoa, ila mamanzi wengi wanaanza uliza
Unafanya kazi gani???
Mshahara wako shi ngapi???
Umejenga???
Sasa anakuta mwamba una ka-subwoofer, kitanda,taulo na ndala za kuogea ,anachora , anataka mtu mwenye Benz au V8.
Eee Mungu walainishe mioyo hawa wadada wakubaliane na hali zetu...
AmenSio wote mkuu, kuna kina sie tunahitaji wa kuwaoa, ila mamanzi wengi wanaanza uliza
Unafanya kazi gani???
Mshahara wako shi ngapi???
Umejenga???
Sasa anakuta mwamba una ka-subwoofer, kitanda,taulo na ndala za kuogea ,anachora , anataka mtu mwenye Benz au V8.
Eee Mungu walainishe mioyo hawa wadada wakubaliane na hali zetu...