Kwanini wanaume wengi hawapendi kutumia Kinga?

Kwanini wanaume wengi hawapendi kutumia Kinga?

Kumekuwa Na wimbi kubwa sana la wanaume kutopenda kutumia kinga (condom) na mwanamke husipouliza basi yeye twende kazi. Sijui ni kwanini hichi kitu kinatokea.
Na nyie c MNA kondom zenu (za kike) kwann mcivae!! Ucitake kusingizia wanaume...tuu...afu umejuaje kuwa wanaume wengi hawapendi kuvaa kondom....
 
KWANI UMEWAONYESHA KIPOCHI MANYOA WANAUME WANGAPI AMBAO HAWATAKI KONDOM.?
 
KWANI UMEWAONYESHA KIPOCHI MANYOA WANAUME WANGAPI AMBAO HAWATAKI KONDOM.?
 
Kumekuwa Na wimbi kubwa sana la wanaume kutopenda kutumia kinga (condom) na mwanamke husipouliza basi yeye twende kazi. Sijui ni kwanini hichi kitu kinatokea.
Tatizo kule kubana hakupo plus Kondomu Ndo kabisa Nitatumia Masaa matatu sijamaliza mpaka naona tu huruma nashuka,, utamu haupo
 
Ssa hapo unakua ndani ya ndoa Na maadili ya ndoa husichepuke na husipochepuka hakna umuhimu wa kutumia kinga sabbu mnaamniana Na n njia ya kuongeza dunia
Takwimu zinasema wanandoa ndio wanaongoza kwa kusambaza magonjwa ya zinaa kama ukimwi wewe unasemaje kwa mtizamo wako?
 
Soma nilichokiandika mwanzoni alafu ndo upimishe na maneno yko km nipo makini au raha,pitia cmnt yng y kwanza alafu ringanish n jibu lako alafu chukua hatua
Ulisema inakuwaje mpaka mtu unafanya bila condom na mtu from no where...nikauliza ni kwanini ufanye na mtu from no where ukajibu inatokea bila kutarajia nami nikasema utakufa bila kutarajia...nimekosea wapi?
 
Tafadhari usitumie misaafu katika zinaa zako, Mungu hakusema tukafanye umalaya bali utulie na mke/mme wako na kati yenu ndo msitumie kinga! Kutumia kondomu kwa kuogopa ukimwi au mimba ni sawa na kula nyama ilyofungwa kwenye gazeti lililo juu ya sahani yenye sumu je utapona? Hii ndiyo sababu mojawapo wanawake wingi wanaathirika kuliko wanaume. Pia kati ya wanaotumia kinga ni wachache wanajua mashariti yake barabara . Kutumia kinga inahitaji marifa kitu wanachoshindwa wengi kutokana na Kuelemewa na mihemuko. Kwa hili ukimwi utatumaliza. Wanaume tahiriweni! Kwa aliye tahiriwa sio rahisi kuenezewa ngoma kutokana na ngozi ya juu ya uume kuwa imara unashauliwa kuoga mara tu baada ya tendo kuondoa vimerea vinavyo baki juu ya ngozi ili kuepusaha uambukizi usiotarajiwa hatakama umetumia kinga. Hili Kwa mwanamke haliwezekani. Pia hatakama unatumia kinga epuka kufanya mapenzi mara tu baada ya kunyoa nywele za sirini
Kwani vinyweleo vinakuwa wazi hivi hupitisha virusi kutoka kwa mpenzi wako kupitia jasho la ikulu na maji ya ukeni. Nyoa kabla ya siku mbili za kukutana. Mwisho jitunze uone mengi?
 
Back
Top Bottom