Kwanini wanaume wengi hawapendi kutumia Kinga?

Kwanini wanaume wengi hawapendi kutumia Kinga?

Sawa mkuu....
1. Kama Unapenda Ngona Tena Kavu kavu Basi Tambua Una Nyota Ya UKIMWI.

2. Wewe Endelea Tu Kupima Pima Ipo Siku Isiyo Na Jina Hicho Unachokitafuta Utaambiwa Unacho.

Usisahau Kuleta Mrejesho.
 
U.T.I toto la kiume?[emoji87] [emoji87]
Hio ni kisonono, kaswende n.k
U.T.I ni kwa wadada bwana[emoji125] [emoji125]
 
Heeee kwani UTI huwez pata dume unapata vizuri km hujui nenda kapime now ndo utajua km ni madem tu au lah mkuu
U.T.I toto la kiume?[emoji87] [emoji87]
Hio ni kisonono, kaswende n.k
U.T.I ni kwa wadada bwana[emoji125] [emoji125]
 
We akiri itakavyokutuma fanya hivo hivo mwisho wa siku utapata matokeo sahihi ya kile ulichokuwa unakifanya
 
-kutumia kondomu ni sawa na kuweka sukari kwenye rambo, halafu unaanza kulamba kwa nje

-achana na kondomu mkuu

-usiogope ukimwi maana hata usipoupata utakufa tu.
 
Endelea kupuyanga hadi upate unachokitaka
Hadi siku ukipata hicho unachokitafuta huko kwenye papuchi utaacha kwenda kupima.

Endelea tu kuwavuruga huwa hawaishi na papuchi hazina shombo. Utakuja kuelewa tu nini maana ya maneno "KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI"
 
Back
Top Bottom