miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,155
Kumekuwa Na wimbi kubwa sana la wanaume kutopenda kutumia kinga (condom) na mwanamke husipouliza basi yeye twende kazi. Sijui ni kwanini hichi kitu kinatokea.
Si kweli wanawake ndo wagum kutumia condom anakumbuka condom mshamaliza ndo anajifanya kuliaKumekuwa Na wimbi kubwa sana la wanaume kutopenda kutumia kinga (condom) na mwanamke husipouliza basi yeye twende kazi. Sijui ni kwanini hichi kitu kinatokea.
Kumekuwa Na wimbi kubwa sana la wanaume kutopenda kutumia kinga (condom) na mwanamke husipouliza basi yeye twende kazi. Sijui ni kwanini hichi kitu kinatokea.
Hapana, wanaume mna shida sana kwenye hilo swala. Unajua pale unapomchezea anapoteza kabsa mawazo ssa kwnn ww kama unakumbuka husivae.???Si kweli wanawake ndo wagum kutumia condom anakumbuka condom mshamaliza ndo anajifanya kulia
Ajabu idadi kubwa ya waathirika na VVU ni wanawakeKumekuwa Na wimbi kubwa sana la wanaume kutopenda kutumia kinga (condom) na mwanamke husipouliza basi yeye twende kazi. Sijui ni kwanini hichi kitu kinatokea.
Na kwanini ukutane na mtu from no where?Uwo utafiti wa wapi mamy umeufanya?dunia ya shv ilivyojaa magonjwa mengi ni nani anayekubali kwenda na mwenzake dry?labda km ni mpnz wako wa siku nyingi mnaaminian hapo sawa,ila tu mtu ukutane nae frm n whr mzoean siku mbili tatu na yy akubari kwenda dry mmh ukikutan na mtu km huyo mwekee umakin kidogo,lbd hana uwakika na afya yake,au kasha kata tamaa,au hajapata elimu ya kujali afya yake
Kwahiyo hao wanaume hawapotezi mawazo?. Kama hujijali hakuna atakaekujali.Hapana, wanaume mna shida sana kwenye hilo swala. Unajua pale unapomchezea anapoteza kabsa mawazo ssa kwnn ww kama unakumbuka husivae.???
Sio kweli, wanawake ndio hampendi kuvaliwa salama, mwanaume akivaa unasema hakupedi.Hapana, wanaume mna shida sana kwenye hilo swala. Unajua pale unapomchezea anapoteza kabsa mawazo ssa kwnn ww kama unakumbuka husivae.???
Kumekuwa Na wimbi kubwa sana la wanaume kutopenda kutumia kinga (condom) na mwanamke husipouliza basi yeye twende kazi. Sijui ni kwanini hichi kitu kinatokea.
kwanini upoteze mawazo?,Hapana, wanaume mna shida sana kwenye hilo swala. Unajua pale unapomchezea anapoteza kabsa mawazo ssa kwnn ww kama unakumbuka husivae.???