miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,155
- Thread starter
- #21
Aaaah huyo anasemwa hapendwi ni wa wap? Labda n kahaba anayesambaza ngomaSio kweli, wanawake ndio hampendi kuvaliwa salama, mwanaume akivaa unasema hakupedi.
Aaaah huyo anasemwa hapendwi ni wa wap? Labda n kahaba anayesambaza ngomaSio kweli, wanawake ndio hampendi kuvaliwa salama, mwanaume akivaa unasema hakupedi.
Vitabu vitakatifu vimetafsiriwa kwa hali ya maisha ya zamani sio haya maisha ya ssa yenye magonjwa ya kila ainaHata vitabu vitakatifu vinasema msitumie kinga
Unaweza ukadhani uko sahihi kwa mtazamo wako! unaweza kutueleza ni idadi ya wanaume ambao umeshalala nao ambao hawakutumia kinga?Kumekuwa Na wimbi kubwa sana la wanaume kutopenda kutumia kinga (condom) na mwanamke husipouliza basi yeye twende kazi. Sijui ni kwanini hichi kitu kinatokea.
Napenda haswa kwa mpnz ambaye simuaminiKwanini wewe haupendi kula Pipi na Ganda lake??
Kama vimetafsiriwa kwa maisha ya kale mbona mkioana mnafanya bila kinga au uaminifu unakuwa 100%Vitabu vitakatifu vimetafsiriwa kwa hali ya maisha ya zamani sio haya maisha ya ssa yenye magonjwa ya kila aina
Hata kuna wanawake ukisema mtumie kinga Analia eti humuamini ila ni muhim hata nyinyi kutembea na kondumu mfukoni au kwenye pochi zenu in case jamaaa anasema amekosa unamtoleaKumekuwa Na wimbi kubwa sana la wanaume kutopenda kutumia kinga (condom) na mwanamke husipouliza basi yeye twende kazi. Sijui ni kwanini hichi kitu kinatokea.
Hahahaa hivi wanaliaga kumbe?Si kweli wanawake ndo wagum kutumia condom anakumbuka condom mshamaliza ndo anajifanya kulia
Lakini usisahau, inakisiwa wanandoa wengi ndio wameadhirika ktk wale walioadhirika.Asante kwa kujali Afya yako na Mwenza wako
1. Kwa kuwa siku hizi kuna Condom za Kike na za Kiume ni busara wewe uwe una vaa in advance b4 show.
2. Ukimwambiea Janamume vaa Condom akakataa na wewe ukakubali kuliwa bila gloves basi utilie shaka ubongo wako.
3. Ukitaka utamu zaidi tafuta mmoja funga ndoa, pima, ishi kwa uaminifu then kula kitu dry ni taaaamu saaaana
Ssa hapo unakua ndani ya ndoa Na maadili ya ndoa husichepuke na husipochepuka hakna umuhimu wa kutumia kinga sabbu mnaamniana Na n njia ya kuongeza duniaKama vimetafsiriwa kwa maisha ya kale mbona mkioana mnafanya bila kinga au uaminifu unakuwa 100%
Hio ndo habar maana hamna namna kbsaHata kuna wanawake ukisema mtumie kinga Analia eti humuamini ila ni muhim hata nyinyi kutembea na kondumu mfukoni au kwenye pochi zenu in case jamaaa anasema amekosa unamtolea
sahihi kabisa idadi kubwa wenye VVU ni wanawake hii ni kutokana na ratio ya mwanaume mmoja kuwa na wanawake wa 5Ajabu idadi kubwa ya waathirika na VVU ni wanawake
MhhhMm ni `me' nilishawah kutumia kondom kwa mpenz wangu alilalamika sana kwamba anaumia na nilichelewa kwel kutoa wazungu wa niga, baada ya hapo kila nikikutana na Manzii hatak condom.