Reviews: Wanawake wa Kitanga

Reviews: Wanawake wa Kitanga

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
13,959
Reaction score
30,710
1. Ni wanawake wenye dedication kwenye mapenzi na ndoa
2. Hawapendi kufanya kazi ila wapo vizuri kwa kazi za Kitandani tu
3. Wengi wanaweza kuwa na sura nzuri ila maumbo si sana.
4. Wanajua sana kupika
5. Wana ongea kwa mahaba
6. Si wachoyo ni wakarimu kwenye mambo yote
7. Wanajua kuzaa huwa hawakatai hata ukimwambia tu nizalie. Anafurahi
8. Hawapendi shule. Wengi ni darasa la 7 akijitahidi sana kidato cha 4.
9. Wanawaheshimu wanaume wao sababu ndo wanawaweka mjini
10. Wana mahaba sana na watekaji wa mioyo ya wanaume.
 
1. Ni wanawake wenye dedication kwenye mapenzi na ndoa
2. Hawapendi kufanya kazi ila wapo vizuri kwa kazi za Kitandani tu
3. Wengi wanaweza kuwa na sura nzuri ila maumbo si sana.
4. Wanajua sana kupika
5. Wana ongea kwa mahaba
6. Si wachoyo ni wakarimu kwenye mambo yote
7. Wanajua kuzaa huwa hawakatai hata ukimwambia tu nizalie. Anafurahi
8. Hawapendi shule. Wengi ni darasa la 7 akijitahidi sana kidato cha 4.
9. Wanawaheshimu wanaume wao sababu ndo wanawaweka mjini
10. Wana mahaba sana na watekaji wa mioyo ya wanaume.
Ongeza
1. Wavivu wa kulima
2. Hawaheshimu waume zao, anaweza kumtukana tusi lolote
3. Wachepukaji wazuri sana nje ha ndoa
. Umbea mwingi
 
1. Ni wanawake wenye dedication kwenye mapenzi na ndoa
2. Hawapendi kufanya kazi ila wapo vizuri kwa kazi za Kitandani tu
3. Wengi wanaweza kuwa na sura nzuri ila maumbo si sana.
4. Wanajua sana kupika
5. Wana ongea kwa mahaba
6. Si wachoyo ni wakarimu kwenye mambo yote
7. Wanajua kuzaa huwa hawakatai hata ukimwambia tu nizalie. Anafurahi
8. Hawapendi shule. Wengi ni darasa la 7 akijitahidi sana kidato cha 4.
9. Wanawaheshimu wanaume wao sababu ndo wanawaweka mjini
10. Wana mahaba sana na watekaji wa mioyo ya wanaume.
okey,
ni vizuri kuinjoy nao ukipata fursa hiyo,
maana,
maisha hayana extra time :KKonaW:
 
zamani nikajua wanawake wa tanga ni wazuri hasa upande wa hips, msambwanda, na miguu kuja kuwaona wanawake wa tanga tobaaaaaa dada zetu wazuri narudia wazuri labda wanajua ndo mapenzi na kupika maandazi vyakula vingine km ugali zero wali napo zero wamekariri upishi ni nazi na sio ubunifu

ni mdodo mwai aaaai aaai ni mdodo mametu ni mdodo aaai iii
 
1.wanapenda mziki huku wanaita Dundo(uwe wa nyimbo za migegedo, huku kumwaga razi (kuvua nguo mziki ukikolea) pia Kuna ngoma ya kucheza uchi kumkaribisha mwali (wazigua
2.Shuhuli ndio Nyumbani kwao yaa hana haja ya kualika mtu akiona anajumuika
3.Vikoba,vikoba, vikoba, hapa ndio nilipo washidwa, wanapenda yaani anakopa na haingizi kipato Chochote na pakuiwekeza hiyo hela hajui zaidi ya kubadili vijora kinacho umia ni sehemu za Siri Ata Kama ameolewa. Ata figo utauziwa.
4. Anakaa kwao au kaolewa ila wanageto Mahali.
5.ukikutana na Malaya hajivungi chochote utapewa tena mpaka uridhike, hawachukui hela ya Bure itaenda Sawa Sawa na Huduma utakayopewa.
6.kuongea mambo ya chumbani hadharani kwao hawaoni noma
7.mwanaume ni mwanaume ilimradi unapumua (kuolewa kwao ni heshima kubwa Sana.
8.kuzaa na mabwana tofauti ni kawaida yaani watakushaangaa ukiwaambia una watoto 3 wa Baba mmoja mama mmoja.
9.chumba kimoja wanakaa Familia nzima na hawajali.
Nb siyo wote.
 
Back
Top Bottom