Kwanini wanaume wengi hawajui kiingereza?

Kwanini wanaume wengi hawajui kiingereza?

Uje na uzi mwingine uliza kwanini wanaume wanaweza sana hesabu kushinda wanawake
 
Kama umesoma mpaka chuo na sio mbishi utakubaliana na maneno yangu kwamba wanaume/wavulana wengi tuko shallow english tofauti na wanawake, hili nimeliona tulivyokuwa secondary kupitia debates, pia chuo kwenye presentations, wanawake wengi wako smart kwenye Lugha hii hawana makosa mengi ya grammar kama sisi wanaume. JADILI.....
Ngoja mzee wa fonti feji aje atolee ufafanuzi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kama umesoma mpaka chuo na sio mbishi utakubaliana na maneno yangu kwamba wanaume/wavulana wengi tuko shallow english tofauti na wanawake, hili nimeliona tulivyokuwa secondary kupitia debates, pia chuo kwenye presentations, wanawake wengi wako smart kwenye Lugha hii hawana makosa mengi ya grammar kama sisi wanaume. JADILI.....
Wako bize na kazi
 
Kasome languages kati ya men and women in these cources "sociolinguistics" and Discourse Analysis on "Language and Gender" by Robin Lackoff
 
Upuuzi upuuuzi mtu anaongelea kingereza kama ni kitu muhimu kwenye maisha nasisitiza ni mabaki ya ukoloni kingereza kutumimiwa kama kipimo cha uelewa au elimu ya mtu ni bado ni upuuzi wa hali ya juu lugha ambayo ukienda uingereza ambayo kwao ni lugha mama inazungumzuwa na na waliosoma.na wasiosoma na vichaa kila unamjua sisi wamekuja kututawala tuone ligha yao ndio kila kitu mataifa mengi yamesimamia lugha zao china,france,germany,na kadhalika lakin had leo kuna mtanzania anaona kuongea kingereza ana nyezo kubwa sana maishani mpuuzi ukijisimamia na kujitegemea hakuna atakae kuwa na shida ya kujua kingereza..mchezaji Mess hajui kingereza hakuna anamuuliza ila mchezaji wa tanzania akienda ulaya akiwa haongei kingereza mtaanza kumcheka ma kuhoji kwa nini hajui..!
Wanaokitukuza ambao ni wap**zi nawe umo?,utambulisho wa jina la avatar yako kwa kiingereza ni kwamba unawatukuza wazungu...Iga mfano wa n'yadikwa avatar ya ki lugha
 
Kama umesoma mpaka chuo na sio mbishi utakubaliana na maneno yangu kwamba wanaume/wavulana wengi tuko shallow english tofauti na wanawake, hili nimeliona tulivyokuwa secondary kupitia debates, pia chuo kwenye presentations, wanawake wengi wako smart kwenye Lugha hii hawana makosa mengi ya grammar kama sisi wanaume. JADILI.....
 
Kama umesoma mpaka chuo na sio mbishi utakubaliana na maneno yangu kwamba wanaume/wavulana wengi tuko shallow english tofauti na wanawake, hili nimeliona tulivyokuwa secondary kupitia debates, pia chuo kwenye presentations, wanawake wengi wako smart kwenye Lugha hii hawana makosa mengi ya grammar kama sisi wanaume. JADILI.....
Jinsia yako tafadhali
 
Kama umesoma mpaka chuo na sio mbishi utakubaliana na maneno yangu kwamba wanaume/wavulana wengi tuko shallow english tofauti na wanawake, hili nimeliona tulivyokuwa secondary kupitia debates, pia chuo kwenye presentations, wanawake wengi wako smart kwenye Lugha hii hawana makosa mengi ya grammar kama sisi wanaume. JADILI.....
Sema kwamba wako vizuri katika speaking, ila kwa uandishi naweza kukupinga hapo
 
Kama umesoma mpaka chuo na sio mbishi utakubaliana na maneno yangu kwamba wanaume/wavulana wengi tuko shallow english tofauti na wanawake, hili nimeliona tulivyokuwa secondary kupitia debates, pia chuo kwenye presentations, wanawake wengi wako smart kwenye Lugha hii hawana makosa mengi ya grammar kama sisi wanaume. JADILI.....
The ans is very simple . English ni lugha tu kama lugha nyingine. Utafiti unasema wakati wanaume wanapoongea maneno elfu tano kwa siku wanawake wanaongea elfu ishirini. Kujua lugha kunahusisha kuongea mara kwa mara. So jibu umepata.
 
Screenshot_2017-05-19-07-58-57-1.png
 
Ni kweli kabisa mmoja si alisema tz is stable nations
 
Watafiti hebu njooni pande hii. Niliwahi soma mahali ya kuwa hayo ni maumbile kuwa Wasichana/wanawake wepesi zaidi kujifunza lugha kuliko wanaume( exceptions jazikosi of course) . Tunautaka usawa yes lakini tukubali maumbile yanatofautiana katika mambo fulani. Aidha nilisoma pia mahali Wakati wanaume huongea maneno elfu mbili (2000) kwa siku wakati wanawake wanaongea maneno elfu saba ( 7000) kwa siku zidi ya mara tatu (3). Hapo unategemea nini nani atajua kwa haraka? Aidha Mungu/ Sayansi imempa mwanamke zana anayoihitaji zaidi kimaumbile yake. Jamani msiniulize source as sikumbuki!
Upo sahihi kabisa,kwa sisi tuliosoma linguistic tuliona kwamba katika ubongo kuna sehemu zinazojishughulisha na lugha. Sehemu hizo zinaitwa right and left hemisphere.Kwa wanawake sehemu zote zinajishughulisha na masuala ya lugha hasa kuamiri(aquisition) na kuimudu(competence).Kwa upande wa wanaume ni kipande kimoja tu kinachojishughulisha na lugha ambapo matokeo yake ndo hayo kama ulivyosema. Kwa msingi huo ndo maana jinsia ya kike huwa rahisi sana kujua lugha haraka kuliko jinsia ya kiume. Jaribu kuchunguza hata watoto wadogo wenye umri sawa wa kiume na wa kike nani utangulia kuongea.
 
kama anaongea englisha mwanzo mwisho bila kiswahili. au kujifanya unatafuta maneno ya kiswahili anachapia englisha basi aonekana anajua englisha?
 
Back
Top Bottom