MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,092
- 7,235
mwabeja sana ngosha...![]()
![]()
![]()
umemaliza kila kitu sina chakuongezea
mwabeja sana ngosha...![]()
![]()
![]()
umemaliza kila kitu sina chakuongezea
We ndo umeuwa bendi kabisa!!
Endelea kupata ubuyu wenye pilipili nakuja kulipa.





Akili zetu zitatanuka tu pale ambapo tutaacha kukichukulia Kiingereza kama kipimo cha kujiweza kiakili na kiujuzi, bila kujua kwamba kutokujua Kiingereza hakuna uhusiano wa moja kwa moja na intelligence ya mtu. Ingekuwa Kiingereza ni dili kihivyo, basi Wachina, Wakorea, Wajerumani na Warusi wangekuwa ndio ma-mbumbumbu wa mwisho kabisa, kwa sababu hawakiongei kwa ufasaha na hawana mpango wa kuhangaika nacho.Kama umesoma mpaka chuo na sio mbishi utakubaliana na maneno yangu kwamba wanaume/wavulana wengi tuko shallow english tofauti na wanawake, hili nimeliona tulivyokuwa secondary kupitia debates, pia chuo kwenye presentations, wanawake wengi wako smart kwenye Lugha hii hawana makosa mengi ya grammar kama sisi wanaume. JADILI.....
Wanaume wa wapi?Kama umesoma mpaka chuo na sio mbishi utakubaliana na maneno yangu kwamba wanaume/wavulana wengi tuko shallow english tofauti na wanawake, hili nimeliona tulivyokuwa secondary kupitia debates, pia chuo kwenye presentations, wanawake wengi wako smart kwenye Lugha hii hawana makosa mengi ya grammar kama sisi wanaume. JADILI.....
Nilijua sitokosa a wise words from you a wise woman! baada ya kuona umechangiaWanaume hao hao ndo wanaongoza kujiajiri na kuajiriwa mapema kuliko wanawake ambao wanajua kiingereza
HeheheNilijua sitokosa a wise words from you a wise woman! baada ya kuona umechangia


Sakayo juzi juzi tumeshuhudia Masha, Wenje, Mwalimu na Safari wakitema ung'eng'e wa uhakika lakini walipelekwa wasioweza kusema sentence kumi za kiingereza, so dunia haiko fair kama watu wengi wanavyodhaniHehehe
Your welcome....
Usitegemee kuona maisha yenye haki Sawa kwa wote... Huwa tunaongea tu kinafki lakini ukweli tunao kwenye mioyo yetuSakayo juzi juzi tumeshuhudia Masha, Wenje, Mwalimu na Safari wakitema ung'eng'e wa uhakika lakini walipelekwa wasioweza kusema sentence kumi za kiingereza, so dunia haiko fair kama watu wengi wanavyodhani