Kwanini wanaume wengi hawajui kiingereza?

Kwanini wanaume wengi hawajui kiingereza?

Kwa sababu wanaume automatically wanazaliwa na confidence so hawaitaji back up ya kitu kufanya wawe na confidence mbele ya watu lakini wanawake ni kinyume chake kwa Tanganyika lugha ya kingereza ni moja ya kitu kinachomfanya mtu kuwa kwenye class au kupata attention mbele za watu so wakinadada wanaitumia lugha hiyo kama backup au confidence booster
 
Nilishakuwaga na dem 2014 kila nikimtumia sms kwa kingereza hajibu kumbe haelewi bwana...kuja kumuuliza akaniblock
 
Nimesoma nao wengi sana wanaoongea kingereza vizuri lakini ikija kitaluma ni zero kabisa, unakuta muongeaji mzuri ila kuandika hajui na Mara nyingi nimarafiki na SAP na CARRY
 
Kama hawajui kiingereza hicho unacho kitukuza
basi ufahamu kuwa wanaume wako njema kwenye lugha za asili
kama kuongea kimakonde, kimanyema, kichaga, kikurya, kisukuma, kimtang'ata,
kimang'ati, kimanyema , kikwere, etc
Mkuu, mie nikisha tumbuiza bia mbili tu UNG'ENG'E unateleza kama Muinglishi.
 
Endelea kujua kingereza, hao wanaume wasiojua kiingereza wanatafuta pesa ili wakuajiri kuongea kingereza tu
 
Ili uongee kingereza Fasaha Inabidi uwe umelegealegea yaani nyolonyolo lainiii! Hii hali ngumu sana kwa wanaume tuliozoea kukaza sauti zetu,ila kwa kutongozea tu Inatosha!
 
wanaume wa kitanzania hawapendi kuongea ongea kiingereza kama wadada wafanyavyo tena ukitaka ugomvi na mwanaume wa kibongo au mshikaji tuu mwongeleshe kiingereza atakumaindi balaaa, pia wengine ikifika swala la kiingereza anakuacha ujiongeleshe, kubwa zaidi na la kitaalamu ni kuwa practice makes near perfect men are not in practice as women do frequently, kiingereza kitamu ni chakuongea ukijidai na mapozi fulani hilo wadada wanalipatia mikogo mingi sauti nyororo than dry words we men do,
 
Kama umesoma mpaka chuo na sio mbishi utakubaliana na maneno yangu kwamba wanaume/wavulana wengi tuko shallow english tofauti na wanawake, hili nimeliona tulivyokuwa secondary kupitia debates, pia chuo kwenye presentations, wanawake wengi wako smart kwenye Lugha hii hawana makosa mengi ya grammar kama sisi wanaume. JADILI.....
jadili kwani tuko sekondari. kama ngeli inakupiga chenga mkuu ni wewe mie niko vizuri mpaka slang!
 
Umefanya utafiti kupitia shule uliyosoma pekee..hopeless
 
Wadada wanapenda kuangalia English movie wadada wengi level ya chuo wana exposure sana kuliko wanaume, hii thread umenikumbusha kidume kilizuiliwa kuendelea na presentation kisa kiingereza kibaya.
 
Wacha maneno weka music wanaume sio walopo walopo tungekua hatuwaelewi hao wanawake wanaoongea kingereza labda.
 
Back
Top Bottom