Kwanini wanaume wengi hawajui kiingereza?

Kwanini wanaume wengi hawajui kiingereza?

Show Off wanawake tunapenda Show off

ila mimi sijui kingereza Jamani
You seems your very very sistaduu kwakweli, so your cheating me I know lazima tyu u know english, please cheat me or sorry teach me
 
Wi donti no ingilishi kozi wi no kiswahili amu ai orait?
 
Watafiti hebu njooni pande hii. Niliwahi soma mahali ya kuwa hayo ni maumbile kuwa Wasichana/wanawake wepesi zaidi kujifunza lugha kuliko wanaume( exceptions jazikosi of course) . Tunautaka usawa yes lakini tukubali maumbile yanatofautiana katika mambo fulani. Aidha nilisoma pia mahali Wakati wanaume huongea maneno elfu mbili (2000) kwa siku wakati wanawake wanaongea maneno elfu saba ( 7000) kwa siku zidi ya mara tatu (3). Hapo unategemea nini nani atajua kwa haraka? Aidha Mungu/ Sayansi imempa mwanamke zana anayoihitaji zaidi kimaumbile yake. Jamani msiniulize source as sikumbuki!
 
Kama umesoma mpaka chuo na sio mbishi utakubaliana na maneno yangu kwamba wanaume/wavulana wengi tuko shallow english tofauti na wanawake, hili nimeliona tulivyokuwa secondary kupitia debates, pia chuo kwenye presentations, wanawake wengi wako smart kwenye Lugha hii hawana makosa mengi ya grammar kama sisi wanaume. JADILI.....
Kiswahili daima, wanaume wanatetea utamaduni wao
 
Its all about nature. About how we were differently configured. Different softwares were installed in us
 
Lugha yoyote inazoeleka kwa kutumika. Wanawake wanaongea sana, ndio maana wanakuwa wepesi kujifunza.
Ila ni mimi naona wanawake wengi darsani hawakuniweza kwa English
 
Mkuu sio kweli Labda ungesema kwa Kigezo Cha Pronunciation hapo Mabinti huwa wapo Vizuri sana huongea kiingereza Kizuri kuliko ukisikia Matamshi ya Wanaume pindi wanapozungumza English
 
Wanajua kiingereza au maneno ya kiingereza.... tofautisha kufahamu baadhi ya maneno ya kiingereza na kuyatumia na kujua kuongea kiingereza. Hapa wenyewe wanasema fluent english speakers...
Na hao madem ndio wa kwanza kuandika broken english....
[HASHTAG]#bethefirsttoreply[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom