bahati30
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,625
- 883
Mkuu umesahau na KIGOGO ambacho kinaeleke kuja kupiku lugha zoteKwa kutumia kanuni ya vise versa is true, then,
Kama wanaume hawajui kiingereza hicho unacho kitukuza
basi ufahamu kuwa wanaume hao (ambao ndio vichwa vya wafamilia) wako njema vibaya mno kwenye lugha za asili.
kama kuongea kimakonde, kimanyema, kichaga, kikurya, kiyao, kisafwa, kinyakyusa, kibena, kikinga, kihehe, kijirta, kijaluo,kiha,kisukuma, kimtang'ata,
kimang'ati, kimanyema , kikwere, etc
