Bora unisadie kuwasema,ila nilicho gundua wengi ni watoto,we angalia maswali yao yalivyoHumu JF utasikia baba mzima ana watoto na familia yake anauliza pumba mpaka unaboreka, eti hausi geli wangu ananitega, marta namtamani mamamkwe mara nini sijui...
Those are personal issues, sidhani kama JF tunatakiwa tuzijue, na wala hatuna muda wa kupoteza kujibu au kushauri kwenye thread za namna hiyo.
Labda kwa wale walio na muda mwingi wa kupoteza watakuwa na michango yao kwenye thread za namna hiyo