Kwanini wanaume wanauliza maswali yakijinga?

Humu JF utasikia baba mzima ana watoto na familia yake anauliza pumba mpaka unaboreka, eti hausi geli wangu ananitega, marta namtamani mamamkwe mara nini sijui...
Those are personal issues, sidhani kama JF tunatakiwa tuzijue, na wala hatuna muda wa kupoteza kujibu au kushauri kwenye thread za namna hiyo.
Labda kwa wale walio na muda mwingi wa kupoteza watakuwa na michango yao kwenye thread za namna hiyo
Bora unisadie kuwasema,ila nilicho gundua wengi ni watoto,we angalia maswali yao yalivyo
 
Humu JF utasikia baba mzima ana watoto na familia yake anauliza pumba mpaka unaboreka, eti hausi geli wangu ananitega, marta namtamani mamamkwe mara nini sijui...
Those are personal issues, sidhani kama JF tunatakiwa tuzijue, na wala hatuna muda wa kupoteza kujibu au kushauri kwenye thread za namna hiyo.
Labda kwa wale walio na muda mwingi wa kupoteza watakuwa na michango yao kwenye thread za namna hiyo

Natangaza rasmi kuanzisha utaratubu wa kukutongoza walau mara moja kwa wiki ili uondoe mkosi.
Manake tunakoelekea sitshangaa siku ukitutukana "live" hapa jukwaani. Na kwa ajili ya kuliokoa jukwaa letu na kulinda heshima yetu nitafanya kazi bila kuchoka,nina uzoefu wa kutongoza mabinti wa kule kijijini kwetu hadi mwaka mzima ndo unakubaliwa, sasa kwa wewe ambaye unaonekana nshomile kidogo sitapata shida.:clap2:
 
WATU WENGINE BWANA...:laugh: :laugh: KUJIFANYA WATAKATIFU.......
 
Humu JF utasikia baba mzima ana watoto na familia yake anauliza pumba mpaka unaboreka, eti hausi geli wangu ananitega, marta namtamani mamamkwe mara nini sijui...
Those are personal issues, sidhani kama JF tunatakiwa tuzijue, na wala hatuna muda wa kupoteza kujibu au kushauri kwenye thread za namna hiyo.
Labda kwa wale walio na muda mwingi wa kupoteza watakuwa na michango yao kwenye thread za namna hiyo

Mwalimu aliwahi kuniambia "Kuuliza si ujinga". Hivyo ukiona ni swali la kijinga ujue hujalielewa (sasa kama hujaelewe basi wewe ndio wawa mjinga)" mwisho wa kunukuu!!!!!!!!
 
Unaweza kuwa right kwa unachokisema, lakini ni vema uelewe huku kuna watu wa kila aina, wengine wanapenda kuandika tu bora waonekane wamepost something au kuanzisha new thread. Nitakukumbusha tu kwamba kama unaishi kwenye nyumba ya vioo usiwe wa kwanza kurusha mawe maana walio nje wakianza utafia humo. Juzi tu ulianzisha thread ya kwamba umekaa iki hujatongozwa na unaona kama una nuksi, sisi wengine pia tunaona yale ni mambo ambayo ni personal, kwa ufupi hakuna cha kujadili kama umezoea kutongozwa sisi wengine haituhusu. so understand kuna watu wa aina hiyo, inabidi tu tuvumiliane ili jf iendelee kuwepo. sorry kama nimekukwaza sister.
Nimeshukuru sana amepata majibu kutoka kwa jinsia yake.... Kama wewe unaona thread haikufurahishi ipotezee kwani lazima ujibu au uisome... Kama uliznzisha yako haikupata wachangiaji rudi chimbo, fikiria kitu kipya.... Hasira zako kwako, unapokuja kwenye social network jua kuna wachangiaji wa kila aina.... Pole sana na kutokutongozwa kwa kipindi kirefu!!!!!:coffee:
 
Humu JF utasikia baba mzima ana watoto na familia yake anauliza pumba mpaka unaboreka, eti hausi geli wangu ananitega, marta namtamani mamamkwe mara nini sijui...
Those are personal issues, sidhani kama JF tunatakiwa tuzijue, na wala hatuna muda wa kupoteza kujibu au kushauri kwenye thread za namna hiyo.
Labda kwa wale walio na muda mwingi wa kupoteza watakuwa na michango yao kwenye thread za namna hiyo

JE UNASUMBULIWA NA UKAMEEEEEEEEEE MBONA MKALI KM PILIPILI KICHAAA.

UKIONA HAPAKUHUSU SI UPOTEZEE UTAFUTE SEHEMU UNAYONOGEWA WEWE MAMA VIPI AKA!:twitch:
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom