Kwanini wanaume siku hizi hawaoi haraka?

uchumi umekuwa mgumu lol,watu hawataki majukumu ya kuanzisha familia....:glasses-nerdy:
 
kwangu nina maoni tofauti. wanaume wa sasa wanaoa mapema (wengi before 33) kuliko miaka ya 80s. Miaka ya 80s ilikuwa ni kawaida kukuta bwana harusi uso una makunyanzi wakati bibi harusi ni kigoli karibu katika kila harusi nilizo attend those years. Ukiuliza ni kwa nini unaolewa na mzee unaambiwa vijana si waoaji, kumbe ni mambo ya hali ngumu ya uchumi. Siku hizi ni tofauti watu wanaoa age mates hasa mijini. Vijijini siwezi ku comment kwani sijuhi.
 
Kutojiamini. Utasikia mtu anasema anajipanga, au bado hayupo tayari eti kwasababu maisha magumu na visingizio vyengine ikiwemo kujilinganisha umri na wengine waliochelewa, wakati huo huo mtu huyo ana wanawake watatu au zaidi mbali ya wale wakuokotea. Na wazazi wamekosa muamko kama ilivyokuwa kwa wazee wa zamani. Eti siku hizi hadi tutiane mimba ndiyo tuoane. Kwa wengine eti hadi wasomane tabia.
Kiasi watu wachelewe kuoa
 
kwangu nina maoni tofauti. wanaume wa sasa wanaoa mapema (wengi before 33) kuliko miaka ya 80s. Miaka ya 80s ilikuwa ni kawaida kukuta bwana harusi uso una makunyanzi wakati bibi harusi ni kigoli karibu katika kila harusi nilizo attend those years. Ukiuliza ni kwa nini unaolewa na mzee unaambiwa vijana si waoaji, kumbe ni mambo ya hali ngumu ya uchumi. Siku hizi ni tofauti watu wanaoa age mates hasa mijini. Vijijini siwezi ku comment kwani sijuhi.

Before 33yrs ni mapema??
Kweli tupo dunia tofauti . . .
:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Sasa wewe ulitaka wanaume waoe na 22? 33 poa kabisa ukistaafu mwanao tayari ana maisha yake, ukizingatia these days watu wanazaa watoto wawili, wakizidi sana watatu. And before 33 I mean from 26 to 33 to me is fine and the wife could be the same age or maximum 3 years younger.

Before 33yrs ni mapema??
Kweli tupo dunia tofauti . . .
:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
socialogists watusaidie kutunza marriege trends and years zao. kivyangu nadhani ugumu wa uchumi, kuvunjika kwa arranged marrieages na elimu vinachangia sana kuchelewa kuoa kwa wengi wetu. mara nyingi mtu anasoma mpaka yuko about 24-26 ndo anamaliza degree ya kwanza. hapo anaanza tafuta ajira (ili ajipange). akiwa ajirani inabidi anyanyue kidog capacity yake kifedha. that may take another 3 - 5 years. kama ana bahati anaweza unganisha na second degree. hapo muda wa ndoa unazidi kusukumwa mbele. mpaka kuwa tayari keshafika somewhere 33 - 36. hapo mtu anatazama ndoa.

kuna ukweli kuhusiana na kujua tabia za mwenzi. enzi zile za arranged marriages, somehow tabia za waoanaji zilikuwa zinajulikana mapema. siku hizi wanandoa wanajuana wenyewe kivyao vyao. hii inaleta nafasi ya kuwepo kwa mashaka mengi toka pande zote (pande za ndoa ni zaidi ya waoanaji). so kufikia mahali ambapo pande zote zimeridhika inaweza chelewesha umri wa watu kuoana, au mwanaume kuoa. tukumbuke pia kuwa there is always this fear of unknown kila mtu akaribiapo kubadili mwelekeo wa maisha yake aliyoyazoea. hili nalo linaweza changia kuchelewa kuoa.
 
Pia huduma ambayo ilitakiwa ipatikane ndani ya ndoa tu (yaani tendo la ndoa)inapatika bila ya ndoa tena na watoto juu.Kama hii wangeikosa kabisa,wangeoa mapema na kujipanga pamoja na wake zao kwenye maswala ya uchumi,so chanzo mi naona si uchumi.Mbona hata wasio na uchumi bora wanaoa lakini kwa kuchelewa?
 
wanakimbia majukumu haooooooo!.....coz hawajui jinc ya kumtunza mke....na zaid wanapenda kuonja different chicks...bt i wanna let ol men know dat;"THE MEANING OF A SCAR RING OF A MAN'S PENIS (kwa waliotahiriwa) IS THAT THE WOMAN WHO WILL EXPERIENCE THAT RING SHOULD HAVE HIS RING ON HER FINGER ie.SHOULD BE HIS WYF"....
 
hawajui nn watakacho kwenye maisha, pili wadada wanawagaia tu mautamu na wanawake hawana misimamo hata mwanaume akimwambia mwanamke nataka mtoto basi mdada atabeba mimba na kumzalia
 
kuna kakangu ana umri kubwa tu akiulizwa kwann hajaoa mpk sasa anasema inamuwia vigumukufanya uamuzi huo kwani anapofanya kazi wengi wa wanawake wanaofanya upuuzi ni wake za watu sasa haoni sababu ni kwanini waliolewa.
 
sijui habari ya harusi,maana watu hawana uhakika na wanaowaoa na wanaoolewa nao kama watadumu nao kwahiyo wanachukuana too kama kimarekani kwa mkataba wakichokana anahamia kwa mwingine.Kula mlo mmoja siku hizi sio dili saaaaaana,badilisha banaaa au vipiiiiiiiiiiiii!!!!??
 
Huo mlo mmoja ni zao la wewe na mwenzi wako kutokuwa wabunifu kwenye maakuli,nyie ni wale ambao kwa kuwa una "dinning table" basi kila siku lazima mlo ufayikie hapo kila siku,mbaya zaidi hata mapishi yanayoletwa hapo ni yale yale siku zote,kwa nini msichokane????????????
sijui habari ya harusi,maana watu hawana uhakika na wanaowaoa na wanaoolewa nao kama watadumu nao kwahiyo wanachukuana too kama kimarekani kwa mkataba wakichokana anahamia kwa mwingine.Kula mlo mmoja siku hizi sio dili saaaaaana,badilisha banaaa au vipiiiiiiiiiiiii!!!!??
 
Mimi sijui, japo ni miongoni mwa wasiooa lakini sina majibu........ngoja niendelee kusoma majibu ya wenzangu. Swali langu ni upi umri sahihi wa kuoa? Je kuchelewa kuoa ni pale mwanaume anapofikisha miaka mingapi?

kiukweli jamaa angu hakuna muda maalumu wa kuoa/kuolewa,wewe jiandae tu,maana Mungu ndiye ajuaye vizuri siri hii.
 
Sababu inaweza kuwa
1.Hawawaoni wa kuwaoa
2. Waoga.
3. Hawajajipanga kimaisha.
4.zinginezo...
 
Thamani ya ndoa imeshuka. Siku hizi watu wanapeana kila kitu kama wanandoa, wanabikiriana na kufanya tendo la ndoa karibia kila siku, wanalala pamoja wanaamka pamoja, wanaitana mke/mume, yaani wanapeana kila ladha ya ndoa na hapo ni wapenzi tu!! Sasa maana ya ndoa iko wapi? Kitu kingine ni kusoma jamani, siku hizi watu wanasoma sana tena kwa kuunganisha tofauti na zamani.
 
Back
Top Bottom