Kwanini wanaume hawatulii na wake zao?

Kwanini wanaume hawatulii na wake zao?

The difference btn a man and a woman is
"Wanawake wa napenda vitu Vinci kutoka kwa mwanaume mmoja but mwanaume wa napenda kitu kimoja kutoka kwa wanawake wengi"
 
kadada tatizo ni kwamba hilo dume linatabia za mbwa.
Nashangaa ni kwanini mnayalea lea majitu kama haya.
Shika adabu yako
No man is a saint,kama wako hujagundua doesn't mean hacheat au hujawah kuchea so chunga mdomo wako
 
Unakuta mwanaume ameoa mke ni mzuri wa sura shepu na sifa nyingi ..Lakini bado macho haya pazia .... Ni kwanini asilimia kubwa ya wanaume hawapendi kutulia indeed na wake zao?? tusaidiane wadau
Hili swala ni mtambuka. liko pande zote mbili. ni ukweli usiopingika kuwa kuna baadhi ya wanaume walioa wanachepuka lakini pia wako wanawake waliolewa wanachepuka. Mambo ya mahusiano mara nyingi huwa hayana majibu ya jumla kwa maana kila case inakuwa tofauti sana. Wanaotulia wana sababu za kutulia na wanaotoka nje ya ndoa wana sababu za kutoka nje ya ndoa. lakini kwa asilimia wanaume wengi huwa wanatoka kulinganisha na wanawake kwasababu wanaume huwa wanavutika kwa maumbile ya nje kulinganisha na wanawake.
 
Kwenye child psychology wanasema vijana wa kiume wengi wanaopenda kuzurura mtaani utakuta mazingira ya nyumbani kwao hayajatulia, nyumba inapokuwa shaghala baghala vijana wengi wanaamua kufanya nyumbani ni sehemu ya kulala tu, muda mwingi wanautumia na vijana wenzao mtaani. Hii ninaona inareflect wa wanaume pia.
 
kati ya 1000, wanawake 600, wanaume 400,
sasa hao 200 mungu amewaweka ili iweje?
 
Unakuta mwanaume ameoa mke ni mzuri wa sura shepu na sifa nyingi ..Lakini bado macho haya pazia .... Ni kwanini asilimia kubwa ya wanaume hawapendi kutulia indeed na wake zao?? tusaidiane wadau
Mbona kichwa cha habar kingine na yaliyomo ndan mengine
 
Hata kwa wanyama ipo hivyo. Mbwa jike linatulia nyumbani, lakini mbwa dume halitulii nyumbani, ni nature
 
Umesema sifa za nje za ndani wazijua?????????kuna mambo mengi sana usieyajua kuhusu ndoa umri wako ukifika hutauliza tena hilo swali
 
Back
Top Bottom