Kwanini wanaume hawatulii na wake zao?

Kwanini wanaume hawatulii na wake zao?

kila shimo lina utamu wake tofau
Ameejaliwa kupata mwenye sura na shepu tena sii hivyo na tabia nzuri...Lakini bado kutosheka ... Nini tatizo
ti,,akishamvua huyu anabaki kumuwaza ambae ni bado,,,na asikwambie mtu..papuchi mpya ni tamu kuliko uliyo izoea
 
Wanaume hawatulii kwasababu na wanawake hawatulii. Wanaume wangetulia kama wanawake nao wangetulia.
 
JIBU lako lipo hapa "Wanawake hupenda vitu vingi sana kutoka kwa mwanaume mmoja, lakini wanaume hupenda kitu kimoja kutoka kwa wanawake wengi"
 
Kiburudisho nje wa ndani Kwa ajili ya kujenga familia, heshima, nk.
 
Wanawake hawaishi visingizio vya uongo.utsikia naumwa tumbo,kichwa kinaumwa,mwili umechoka,sijikiii,nk kumbe. Wao wanakumbana na mambo mengi sana km vile kazi nyingi za nyumbani,wanakuwa na vidumu nje ya ndoa,wanakuwa na matatizo mengi.ndio maana wanaume wengi wanagegeda nje .na pia
Hata mwanamme umpe wanawake mia achague mmoja mzuri wao basi atachagua lkn atajuta kwa nini amewaancha wale 99 wengine roho itamuuma sana.ndio maumbile ya wanaume kupenda ,wanawake huwa hawapendi Bali wao hupendwa.
 
Kabla haujamwoa huyo mke alikuwa anakufanyia kiiiila kituuuuuu
Anakukatikia kama feni mbovu
Anajipara asubuhi kwa asubuhi
Anamaneno laini kama koni za azam

Haya ndo yaliomchetua mume wako mpaka akakuweka ndani

Leo umemuoa, analeta ungese!
Oh hayo ya feni mbovu ya zamani Pastor/ Shehe kasema ni dhambi
Oh me nimechoka bwanaa
Oh me nalea bwanaa
Oh oh oh kibaaaaooo!

Mume akipata wa kumwambia ah ah ah! Anahamisha akili dyudyu na mapenzi kwa aha aha ah! Hata kama hakwambii!

Ndoa takes lots of investments jamaaa mbona mna invest kwenye biashara hamtaki kuinvest kwenye ndoaa?!

Naskia kiu ngoja niende kwa mangi nikanywe JIBAPA MIEE
 
Back
Top Bottom