Ni wewe tu ndo umeliona hili....Mbona kichwa cha habar kingine na yaliyomo ndan mengine
Ndo ujue vchwa vyangu viko vzrNi wewe tu ndo umeliona hili....
Mkuu narud kwny bafu yangSasa mkuu na ya baharini yakikuchosha jee?
* kwa nn wanaume hawatulii na wake zao*Unakuta mwanaume ameoa mke ni mzuri wa sura shepu na sifa nyingi ..Lakini bado macho haya pazia .... Ni kwanini asilimia kubwa ya wanaume hawapendi kutulia indeed na wake zao?? tusaidiane wadau
bila shaka kama lips na midomo yako iko hivyo basi hapana shaka sura yako ni zaidi ya niifikilavyo kwa maana hiyo kama ungekatisha mbele yangu nisingekuacha upite hivi hivi bali ningekualika pale nyota 5 tupate lunch.Ndivyo walivyoumbwa kutulia hawawez,
Kinachowasukuma ni tamaa lakin mapenzi ya kweli yapo kwa mke.
Nikweli unavyosema ila ukiona wanaume hawatulii unanishangaza maana hata wanawake hawatulii kama wanawake wangetulia hata wanaume wangetulia maana wote huingiliana mwanaume hawez kua malaya kama hakuna mwanamke malaya ...Unakuta mwanaume ameoa mke ni mzuri wa sura shepu na sifa nyingi ..Lakini bado macho haya pazia .... Ni kwanini asilimia kubwa ya wanaume hawapendi kutulia indeed na wake zao?? tusaidiane wadau
AsantehMis Lemich jana kuna madam amepost uzi unaofanana na wako nikatoa mchango wangu pale kwa kirefu. Ila ninachoamini mm yawezekana umrtoa uzi hapa ila kuna tukio la kweli kama si mumeo kavuruga basi mume wa ndg au rafiki yako. Ukweli hua tunalalamika kutafuta kuhurumiwa ila hatusemagi kiini cha tatizo. Tunalalamikia tu matokeo ya tatizo mtu kachepuka. Kuna kilichomfanya achepuke ikiwa si hulka yake mwanaume.
Iwe ni ww rafiki au ndg yako,tafuta kujua chanzo halisi cha tatizo ujue pasina shaka tatizo ni lipi liko wapi? Jadilini kama ni la kujadilika au kama liko upande wa maanamke lifanyiwe kazi vzr otherwise kuna sikubutakuja uzi mwingine hapa mmeachana kabisa!!!
Sifa ya mwanamke ni kuwa na akili njema na kauli nzuri mengine mbwembwe tu..... na wanawake wengi time weka nyuma Hayo na kutanguliza mwonekano wetu wa nje.. ndiyo maana unakuta anachepuka na demu wakawaida huku ana mke mzuri ndani mzuri wa nje...Swali langu la msing naona limekimbiwa ...
Je sifa bora ya mwanamke ni shepu tu? Kwamba uitwe mwanamke na badae upate cheo chenye thaman cha kuitwa mrs flani ama mama flani ni lazima uwe na shepu
Nawaelewa mkuu hampitwi nyie, yaan mungu awalinde tu mana hatuna namna.bila shaka kama lips na midomo yako iko hivyo basi hapana shaka sura yako ni zaidi ya niifikilavyo kwa maana hiyo kama ungekatisha mbele yangu nisingekuacha upite hivi hivi bali ningekualika pale nyota 5 tupate lunch.
Niwazinzi tu hao na hawajitambuiUnakuta mwanaume ameoa mke ni mzuri wa sura shepu na sifa nyingi ..Lakini bado macho haya pazia .... Ni kwanini asilimia kubwa ya wanaume hawapendi kutulia indeed na wake zao?? tusaidiane wadau
Povu.Shika adabu yako
No man is a saint,kama wako hujagundua doesn't mean hacheat au hujawah kuchea so chunga mdomo wako