Unasema kweli lakini mali mpya haziishi .... Huwa kuna kitu kinatafutwa hasa .? hapo tu ndo natamani kujua
Mara nyingi mwanamke Mzuri wa umbo na sura, injini (papuchi) zao huchoka haraka sana kama hakujitunza kutokana na kwamba kila mtu amtaka. Hivyo hukosa utamu stahiki kutokana na kuigawagawa na kuiharibu. Mathalani huwa inazidi ku extend.
Na uzuri unaosababisha mwanaume asikuache hata kama umeolewa na mwanaume anaweza kuwa radhi hata kurudisha mahari akumiliki utakuta injini nzuri inayoendana na size yake (dushe lake) na sio sura yako wala Shepu yako.
kama mwanaume kakuoa kwa sababu ya sura na shepu anaogopa tu maneno ya watu huko nje k.v kaoa mbaya huyo. Ila nje ya maneno ya watu. mwanaume kuridhika na mtu mmoja ujue ;
1. papuchi saizi na dushe zenye kuendana. NB japo zinaweza size kuwa sawa ila huyu ni chepechepe yule kavu. Na vipi kama wako anapenda chepe wakati yako kavu.
2. Ujuzi na mautundu mengine kitandani yanatofautiana baina ya mtu na mtu na hapa lengo ni kukidhi haja ya mwenzako, unaweza kumridhisha mwenzako hata bila kufanya ili asijisikie humjali . Na hii ukiisimamia vizuri inaweza kufuta hata hiyo sababu ya kwanza.
3. Unaweza kuwa na sifa zote na huguswi na sababu yoyote hapo juu ila shida ikawa KIBURI na CARE kupungua.
Mara nyingi utasikia wanaume wakilalamika "naona ameanza kujisahau ngoja nimtafutie wa pili"
hapa wanawake hujisahau sana kimajukumu. Na anapokuwa Amewekwa ndani basi haya mengine yote anaweka kando,
Kumbe alikuwa anayafanya ili apate nafasi tu, na akiipata anayaacha yaliyompa nafasi na hapo ndipo wanapokosea, acheni maigizo huua nguvu ya mapenzi.
NB. Yapo mengine mengi, niwape wengine nafasi wachangie