Kwanini wanaume hawatulii na wake zao?

Kwanini wanaume hawatulii na wake zao?

Unasema kweli lakini mali mpya haziishi .... Huwa kuna kitu kinatafutwa hasa .? hapo tu ndo natamani kujua

Ni hivi sisi wanaume tumeumbwa na hisia.Unakuwa na mwanamke na sifa zote lakini bado unatoka.Jibu ni kwamba,kwanza lazima hufahamu kwamba nyie mnatofautiana kwenye VIGANJA vyenu vya mikono (natumia neno VIGANJA nadhani utanielewa ninachomaanisha,kuna watoto wadogo humu).Tunachotafuta ni kiganja ambacho kabla ya kukiona huwa tunahisi labda ni tofauti na cha wake zetu.Ukishakiona kuna mawili:Unaweza kukuta kiganja ni 'kizuri' kuliko ulicho nacho ndani (Nyumba ndogo),lakini ukikuta ni sawa na cha mwenza wako unakiangalia mara moja unajuta kwa nini ulikitafuta.Lakini lazima ufahamu viganja vyenu viko tofauti sisi ndiyo tunafahamu.Hivi ndivyo huleta hisia za wanaume wengi kutotulia.Unaweza kuona mrembo mzuri sana lakini ukawa unashangaa mbona haolewi?Wakati mwingine ni tatizo kwenye viganja!!
 
Unakuta mwanaume ameoa mke ni mzuri wa sura shepu na sifa nyingi ..Lakini bado macho haya pazia .... Ni kwanini asilimia kubwa ya wanaume hawapendi kutulia indeed na wake zao?? tusaidiane wadau
ukiona hivyo ujue mwanamke ana matatizo.. ina umiza sana kuwa na mwanamke mpumbavu hata kama ni mrembo kiasi gani.
 
Hahahhaha....hilo ndio jibu..mana sio kwa thread hizi za mausiku manenee.....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Halafu kuna namba yake ya simu somewhere kapost.hebu nenda kamfariji jirani....
Nimekimbilia kwenye ile thread ili nichukue ile namba yake nimekuta ameshaedit na kuiondoa!!..........najuta kwa nini siku ile nilisita kuichukua!![emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Maji ya bafun nayo
Yana chosha so once once
Tunaogea baharn kunadili
Kidogo hali ya hewa
 
Ati hakuna mwanaume malaya kwa kuwa wote wameumbwa kwa ajili yake.
 
Hahahhaha....hilo ndio jibu..mana sio kwa thread hizi za mausiku manenee.....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Halafu kuna namba yake ya simu somewhere kapost.hebu nenda kamfariji jirani....

Ha ha ha ha tena Zimefuatana nkajua huyu yashamkuta tayar aiseee

Kaiweka wap tena jiran hyo namba niwah mapema mapema kabla watu hawajaaa
 
Nimekimbilia kwenye ile thread ili nichukue ile namba yake nimekuta ameshaedit na kuiondoa!!..........najuta kwa nini siku ile nilisita kuichukua!![emoji24] [emoji24] [emoji24]
Pole sana nilijua tu aliniyependa zaidi ..alinishtua[emoji12][emoji12]
 
Hata uwe unameremeta kama dhahabu thamani yako utakuwa kubwa nikiwa cjakupelekea fire baada ya hapo wa kawaida sana ntabaki na we ndani kwa kuwa nimeingia mkataba,kwenye k hakuna thamani.
 
Ha ha ha ha tena Zimefuatana nkajua huyu yashamkuta tayar aiseee

Kaiweka wap tena jiran hyo namba niwah mapema mapema kabla watu hawajaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lakini pia inasababishwa na ile hali ya mwanaume kuwa na marafiki wenye kulenda starehe, kuwa vizuri kiuchumi, kujiweka mbali na mambo ya dini.
 
ndio kilema chetu....kwa hiyo usitusimange kwa hilo....[emoji19] [emoji19] ...
 
Back
Top Bottom