Kwanini wananchi hawana imani na awamu ya 6, kila kitu wanahisi wanapigwa?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,200
103,735
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Kauli za mama mbovu, et mnakula hadi manavimbiwa ,Kuleni kulingana na urefu wa kamba
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Binafsi mimi bado namshukuru Mungu kuingilia kati.

Nitakuwa namkufuru Mungu nikianza ulalamishi sasa hivi, dhamira ya mama inaonekana kwa macho wala huitaji propaganda kujuwa ana utu.
 
Picha linaanza..wale waliotumbuliwa kipindi cha magu kwa kuonekana hawafai na hawana weredi..wote wamerudishwa mzigoni..pia yule mtoto wa kubwa ambaye alisifika sana kwa dili na kuuza nchi yupo mzigoni.

Serikali kutwa kutembeza bakuli..wakuambiwa wasitembeze bakuli wanakuNdugai.

Kingine porojo nyingi sana..kila kukicha hasa upande wa wizara ya mwezi wa kwanza.

Hali ya maisha haishikiki hali si swali..ila serikali inakuja na propaganda na vichaka vya kujificha ambavyo ni kovidi na vita vya urusi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Mara nyingi TEUZI ndio huwapa watu Tumaini au Huwavunja moyo

Mfano Teuzi za Mkapa ziliwapa watu TUMAINI lakini basdae akaja kuangushwa na watu aliowaamini kabisa akina Prof Mbilinyi, Dr Kitine na hata RA.

Kwahiyo ukiteua kwa kuamini urafiki lazima utafeli na hii kanuni inafanya kazi kote duniani.

Mfano Lowassa na Kikwete

Magufuli na Kitwanga

Uhuru na Ruto

Nyerere na Kambona

Nk...nk!
 
Picha linaanza..wale waliotumbuliwa kipindi cha magu kwa kuonekana hawafai na hawana weredi..wote wamerudishwa mzigoni..pia yule mtoto wa kubwa ambaye alisifika sana kwa dili na kuuza nchi yupo mzigoni.

Serikali kutwa kutembeza bakuli..wakuambiwa wasitembeze bakuli wanakuNdugai.

Kingine porojo nyingi sana..kila kukicha hasa upande wa wizara ya mwezi wa kwanza.

Hali ya maisha haishikiki hali si swali..ila serikali inakuja na propaganda na vichaka vya kujificha ambavyo ni kovidi na vita vya urusi.

#MaendeleoHayanaChama
Achana na propaganda ndugu. Magufuli hakuwa SI unit ya nchi kuhusu nani anafaa au hafai. Walioshika nafasi hizo ni watanzania na wana haki hiyo. Mengineyo ni porojo tu.
 
sasa kwanini anaogopa katiba mpya , ambayo ndio itakayoweka msingi wa haki na utawala bora ?
Wanasiasa kuweni WAWAZI.

Wekeni WAZI mnachotaka Ni KITI CHA URAIS.

Samia akiwaachia hicho hata hiyo Katiba Mpya mnayopigia kelele hamtaitaka tena.

Na hata kama ikipatikana hiyo Katiba Mpya na mwisho wa siku ISIWE SULUHISHO la Nyie kupata Madaraka bado MTAPIGA KELELE Mnooooo kuwa hamtendewi HAKI.

Na ndio maana nyi SIKU ZOTE hamjawahi KUSHIDWA UCHAGUZI.

CHAGUZI zote huwa MNAIBIWA yaani.
 
Kabisa naungana na wewe
Binafsi mimi bado namshukuru Mungu kuingilia kati

Nitakuwa namkufuru Mungu nikianza ulalamishi sasa hivi, dhamira ya mama inaonekana kwa macho wala huitaji propaganda kujuwa ana utu.
 
Back
Top Bottom