Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Wadau nawasabahi. Awamu ni vipindi vya Utawala wa Rais wa Nchi kwa Tanzania ni Miaka 5.
Wahenga walisema kila Kitabu na zama zake na mimi nasema kila AWAMU na CHUKIZO lake.Leo nataka nitaje MACHUKIZO ya Awamu ya 5 na Awamu ya 6
MACHUKIZO ya Awamu ya 5 ni mengi sana kupita AWAMU zote zilizopita mpaka hii tuliopo na kila MWANANCHI anazijua zikiwemo za
Uvunjaji wa Katiba kwa Makusudi
Wabunge fake 19
Kuzuia Mikutano ya Vyama
UTEKAJI
KUBAMBIKIZIA KESI
KIPIGA RISASI
PLEA BARGAING
UCHAFUZI WA CHAGUZI Kutokuajiri na Kutokuongeza Mishahara na Pensheni n.k Hayo yote yalikuwa MACHUKIZO kwa WANANCHI
Awamu ya 6 MACHUKIZO yake mpaka sasa ni BEI za VYAKULA KUPANDA Ajira
UFISADI MKUBWA wa Fedha za UMMA na WEZI kutokukamatwa kwani Fedha ambazo WAMEIBA zingeweza kutumika KUAJIRI na kushusha Mfumuko wa BEI ya VYAKULA
Tunaiomba SERIKALI ya Awamu ya 6 ya RAIS SAMIA ishungulikie Mambo ambayo ni MACHUKUZO kwa WANANCHI kwani Uwezo wa KUWAKAMATA na KUWASHTAKI Wezi wa Fedha za UMMA inao.
Wahenga walisema kila Kitabu na zama zake na mimi nasema kila AWAMU na CHUKIZO lake.Leo nataka nitaje MACHUKIZO ya Awamu ya 5 na Awamu ya 6
MACHUKIZO ya Awamu ya 5 ni mengi sana kupita AWAMU zote zilizopita mpaka hii tuliopo na kila MWANANCHI anazijua zikiwemo za
Uvunjaji wa Katiba kwa Makusudi
Wabunge fake 19
Kuzuia Mikutano ya Vyama
UTEKAJI
KUBAMBIKIZIA KESI
KIPIGA RISASI
PLEA BARGAING
UCHAFUZI WA CHAGUZI Kutokuajiri na Kutokuongeza Mishahara na Pensheni n.k Hayo yote yalikuwa MACHUKIZO kwa WANANCHI
Awamu ya 6 MACHUKIZO yake mpaka sasa ni BEI za VYAKULA KUPANDA Ajira
UFISADI MKUBWA wa Fedha za UMMA na WEZI kutokukamatwa kwani Fedha ambazo WAMEIBA zingeweza kutumika KUAJIRI na kushusha Mfumuko wa BEI ya VYAKULA
Tunaiomba SERIKALI ya Awamu ya 6 ya RAIS SAMIA ishungulikie Mambo ambayo ni MACHUKUZO kwa WANANCHI kwani Uwezo wa KUWAKAMATA na KUWASHTAKI Wezi wa Fedha za UMMA inao.