Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,805
- 11,399
Kuna kiongozi wao pale Utopolo rafiki yangu naona kasusa kisa kumuuliza habari za timu yake hahaha
Mashabiki wa Utopolo wasipoangalia wataongoza kwa presha nchini. Itabidi sasa hivi mtu mwenye presha akienda hospitali aulizwe kama ni mwanautopolo au la.
Mashabiki wa Utopolo wasipoangalia wataongoza kwa presha nchini. Itabidi sasa hivi mtu mwenye presha akienda hospitali aulizwe kama ni mwanautopolo au la.