Baada ya Kikao na muafaka kutotimia hii ndiyo Kauli ya mwisho aliyoitoa Mayele kwa Uongozi wa Yanga SC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,257
110,846
"Asanteni kwa Upendo wenu mkubwa Kwangu na kiukweli bila Yanga SC nisingefikia haya Mafanikio niliyonayo sasa. Kiukweli tunacheza Mpira kwa ajili ya Pesa na Maisha hivyo nawaombeni nikacheze huko Kwingine na niipate hiyo Pesa ila nikishindwa huko nawaahidi nitarejea Kucheza Yanga SC ninayoipenda na Kuheshimu sana" amessma Mchezaji Fiston Kalala Mayele na GENTAMIYCINE nimetaarifiwa hii na Maandalizi Mmoja wa Yanga SC ( namhifadhi ) aliyekuwa Kikaoni nae tokea Juzi ( Jumapili )
 
Huyu si wa kumtukana ni wakumuonea huruma,yaani sometimes hajui hata alicho kiongea dk 5 zilizopita.Hili tatizo alilokuwa nalo ndio siku hizi wanaliita "tatizo la afya ya akili ".

Mwanangu mtafute mtu wa Saikolojia akusaidie.
Mkuu, swali la kiZushi,.
Mayele ndo atafte mtu wa saikolojia , au POPOMA ndo atafute?
 
Huyu si wa kumtukana ni wakumuonea huruma,yaani sometimes hajui hata alicho kiongea dk 5 zilizopita.Hili tatizo alilokuwa nalo ndio siku hizi wanaliita "tatizo la afya ya akili ".

Mwanangu mtafute mtu wa Saikolojia akusaidie.
Kuna baadhi ya viumbe hai wamejikuta wapo tu hapa duniani. Wamefikaje, hata wenyewe tu unaweza ukakuta hawajui.
 
Admin pia ni wa kulaumiwa katika hili. Haiwezekani mtu mmoja anajaza seva bila maana yoyote na ma Admin wanaruhusu tu thread zisizo na mashiko zikipandishwa. Wanaondoa maana halisi ya jf na kauli mbiu yake.
 
"Asanteni kwa Upendo wenu mkubwa Kwangu na kiukweli bila Yanga SC nisingefikia haya Mafanikio niliyonayo sasa. Kiukweli tunacheza Mpira kwa ajili ya Pesa na Maisha hivyo nawaombeni nikacheze huko Kwingine na niipate hiyo Pesa ila nikishindwa huko nawaahidi nitarejea Kucheza Yanga SC ninayoipenda na Kuheshimu sana" amessma Mchezaji Fiston Kalala Mayele na GENTAMIYCINE nimetaarifiwa hii na Maandalizi Mmoja wa Yanga SC ( namhifadhi ) aliyekuwa Kikaoni nae tokea Juzi ( Jumapili )
hakuna neno tutapata mshambuliaji mwingine

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Sijapenda,

Mfikishie Huy maandalIzi Habari ziwafikie wahusika : wananchi tupo tayari kembeza bakuli Mayele abaki .

Viongoz uchwara cjui wanataka kutuona kila siku tunaomboleza kama utopolo
 
Admin pia ni wa kulaumiwa katika hili. Haiwezekani mtu mmoja anajaza seva bila maana yoyote na ma Admin wanaruhusu tu thread zisizo na mashiko zikipandishwa. Wanaondoa maana halisi ya jf na kauli mbiu yake.
Ni sahihi, wanamuendekeza kwani kwa siku jamaa anaandika hata nyuzi 60 ambazo hazina mbele wala nyuma. Moderator wa content anatakiwa ajiangalie kwa hili kwa kweli. Hii sio sawa.
 
Mayele ni kama Feisal tu hata akiondoka falsafa mpya ya Yanga kucheza Kwa kumiliki mpira, kujilinda na spirit ya kupambana hadi kufa itaibeba timu. Musonda ni hatari mno pia. Yanga Iko kwenye peak hata Mimi nikiingia nafunga ilimradi tu Aucho na Mudathir wawemo ndani!

Aende tu hatumdai kitu watakuja wengine watakiwasha vile vile Kaze si Bado yupo?
 
Back
Top Bottom