NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,738
Mpaka Sasa ndani ya uongozi wa Simba haifahamiki Nani wa kulaumiwa katika suala la usajili.
Head of scouting au wazee wa ten percent? Walioiba chezaji la CAF(Fabrice Ngoma) pale airport.
Nimeitazama Simba sc kuanzia gemu ya Mtibwa mpaka coastal union hakika hakuna mpira Bali ni vurugu tu.
Baada ya mashabiki wa Simba sc kuhoji aliibuka msemaji wa Simba sc (Ahmedy Ally) na kusema kuwa wao wanahitaji makombe tu na Wala siyo mpira mzuri.
Hiyo kauli ndiyo maana wachezaji wanacheza ili mradi wapate goli Lakini hakuna falsafa za kucheza mpira mzuri.
Nadhani hiyo kauli itafutika baada ya kucheza na timu Bora Africa Al ahly, bila ya kupapasa macho macho kwa Sasa Yanga sc Ina kikosi Bora Tena Bora haswa.
Huu ni muda sahii kwa mashabiki wa simba sc wakiongozwa na popoma mwandamizi kuisifu na kuilaki Yanga sc bila kujali wanasuabikia timu gani.
Head of scouting au wazee wa ten percent? Walioiba chezaji la CAF(Fabrice Ngoma) pale airport.
Nimeitazama Simba sc kuanzia gemu ya Mtibwa mpaka coastal union hakika hakuna mpira Bali ni vurugu tu.
Baada ya mashabiki wa Simba sc kuhoji aliibuka msemaji wa Simba sc (Ahmedy Ally) na kusema kuwa wao wanahitaji makombe tu na Wala siyo mpira mzuri.
Hiyo kauli ndiyo maana wachezaji wanacheza ili mradi wapate goli Lakini hakuna falsafa za kucheza mpira mzuri.
Nadhani hiyo kauli itafutika baada ya kucheza na timu Bora Africa Al ahly, bila ya kupapasa macho macho kwa Sasa Yanga sc Ina kikosi Bora Tena Bora haswa.
Huu ni muda sahii kwa mashabiki wa simba sc wakiongozwa na popoma mwandamizi kuisifu na kuilaki Yanga sc bila kujali wanasuabikia timu gani.