Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
una evidence ??Wanawake wengi aged wanapenda kufirw*** ,
una evidence ??Wanawake wengi aged wanapenda kufirw*** ,
Yap mkuu tena bila Shakauna evidence ??
Pole, wameshakuibia mwanasesere wako. Hao ndio majimama fedha maaingomaza.
Siyo kweli wengine tuna vibarua vyetu na tunajipatia ridhiki zetu halali ila usumbufu wa mabinti wadogo wa kutuma nauli na asije bila sababu inatufanya tutafute pumziko kwa wamamaMaisha ya mtelezo
Mi mama mitamuuuuu....Habarini ndugu zangu.
Leo nimeamua kuja na hoja kama title yenyewe inavyoonesha.
Nimekuwa nikiishi na vijana wengi sana ambao umri wao hauzid miaka 28.
Lakini cha kushangaza kuna wamama ambao umri wao ni above 34 na wamekuwa wakiwaganda sana vijana wadogo kama hao.
Hakika wamekuwa wakiona fashion kutoka na vijana na isitoshe wamama wanalipia guests ili kulala nao tena wengi wao ni wanafunzi.
Je, mnadhani ni kitu gani kinawasukuma hawa wamama kufanya hivyo maana ishakuwa kero sasa na isitoshe wamama wenyewe watu wa kupombeka tu.
Na nyie vijana why mnakuwa walain kiasi hicho?
You have to change.
We sio binti tena......kuanzia 30 zilipendwaYaani nina miaka 34 mnaniiita mmama? Hampo serious nyie watu
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Hata wangekuwa wao wasingevumilia kutapeliwa nauli na wasije. Halafu hapo hapo kuna wengine wanaweza kuja au kuonana bila mashartiKwhy mabinti ndo chanzo
Bado mbichi kabisa.Sasa tukuite Nan maana siyo binti Tena.
We sio binti tena......kuanzia 30 zilipendwa
Tubinti ni hutu twa 18 hadi 28 hapo tunakoomba nauli na ya kutolea
Duuh hadi vumbi unalijuaPeleka Moto...mpelekee Moto..
Anapaka mavumbi Ila sekunde tano TU pwaaa pwaa...
Majimama ndo habari ya mjiniWe jamaa aisee
Unatakiwa umtie kama Mara mbili alafu unapiga kimya, unatafuta manzi mwingine maisha yanaendelea.😂😂Umerud Tena.
Yule hatujafanikiwa kukutanA aisee
Kama ulikuwepo vileNa uonekane mbichi kweli hata mtu ukimwambia una 30 anakataa