Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,389
- 79,597
Ni kweli, ngoja tu nikubaliTubinti ni hutu twa 18 hadi 28 hapo tunakoomba nauli na ya kutolea
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Ni kweli, ngoja tu nikubaliTubinti ni hutu twa 18 hadi 28 hapo tunakoomba nauli na ya kutolea
Na we unaombaga na ya kutolea kwan?
Ndo utaratibuNa we unaombaga na ya kutolea kwan?
Ukifikia ujimama hutatafuta wa 'kusimamia kucha'.. ??Tamaa za hela na kutaka kulelewa ndo vinawaponza hao vijana.
Hawataki kuhangaika kufanya kazi wanatafuta slope kwa hao majimama
Hahahaha daaaaGari bovu huvutwa na nzima
Kumbe jua linaelekea kuzama mamiiiYaani nina miaka 34 mnaniiita mmama? Hampo serious nyie watu
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Kesho birthday yangu natimiza 41... Happy birthday to me in advance. Yaani bado mbichiiiii...nazeeka na utamu wangu.Kumbe jua linaelekea kuzama mamiii
Anyway ngoja nikusubiri ufike 40 ndio utakua mtamu zaidi, tutaonana 2027
Ulivyoniambia upo kwenye 40 umenichanganya kabisa hata kazi sijui kama zitafanyika leo....Kesho birthday yangu natimiza 41... Happy birthday to me in advance. Yaani bado mbichiiiii...nazeeka na utamu wangu.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Wa kazi ganiUkifikia ujimama hutatafuta wa 'kusimamia kucha'.. ??
Si asimamie kucha...!Wa kazi gani
Rika zetu mmetuchosha sasa mtu unamtongoza leo tu mda huohuo anakuwa yatima , kule kwa mijimama hataki hata vocha yako yani ww ni kukaza kiuno tu na vihela vyetu vinatunzika safi kabisa.
jamani jamani tupe pwaa pwaa turudie tena ila ninyony duPeleka Moto...mpelekee Moto..
Anapaka mavumbi Ila sekunde tano TU pwaaa pwaa...
......jamani jamani tupe pwaa pwaa turudie tena ila ninyony du