... leo 08/03 ni siku yao na shughuli inafanyika pale Mlimani City - Dar es Salaam. Nenda pale ukahoji utapata majibu mujarabu kuliko hapa JF.Habarin ndugu zangu.
Leo nimeamua kuja na hoja Kama title yenyewe inavyoonesha.
Nimekuwa nikiishi na vijana wengi Sana ambao umri wao hauzid miaka 28.
Lakini cha kushangaza Kuna wamama ambao umri wao ni above 34 na wamekuwa wakiwaganda Sana vijana wadogo Kama hao.
Hakika wamekuwa wakiona fashion kutoka na vijana na isitoshe wamama wanalipia guests ili kulala nao Tena wengi wao ni wanafunzi.
Je,mnadhan ni kitu gan kinawasukuma hawa wamama kufanya hivyo maana ishakuwa kero Sasa na isitoshe wamama wenyewe watu wa kupombeka tu.
Na nyie vijana why mnakuwa walain kiasi hicho?
You have to change.
We kuwa tu mtanashati kila siku pia jifanye upo serious uone kama hujanasiwa na jimamaHuu ni uongo. Mbona mi sina hayo majimama?
Hii hapabila picha hizi ni tetesi tuu
Bora utafute bwana kabisa alete posa uwekwe ndani uwe unakaangiza tuRubbish
Wapi tulikaa vijana tukakubaliana kuwa tunateswa mpaka uongelee nafsi zetu.
Jimama linanitoa pesa za kuishi mjini then unaleta ujinga unataka nife njaa
Bwana na Jimama wana uhusiano gani unafosi kuwa na Point Au huyo bwana nutamgonga Kama navyomgonja jimama kama itakuwa hivyo njoo.Bora utafute bwana kabisa alete posa uwekwe ndani uwe unakaangiza tu
una uzoefu na majimama?Bwana na Jimama wana uhusiano gani unafosi kuwa na Point Au huyo bwana nutamgonga Kama navyomgonja jimama kama itakuwa hivyo njoo.