Shida sio waluguru wala kabila fulani, bali shida kuu ni kung"ang'ania UTAMADUNI WA MWAFRIKA.
Elimu (shule), dini, utawala - demokrasia n.k, ni utamaduni mpya.
Kuna maeneo mpaka sasa wazee ndio huamua mwenyekiti wa kijiji, mbunge, mtendaji wa kijiji. Yaani kabla ya mtu kutabgaza nia ya ubunge huenda kwanza kuomba ridhaa kwa aaraza la 'wazee'
Kwa jamii iliyochukua muda mrefu pasipo kufungamana na jamii nyingine mambo hayo ya magharibi hayakubaliki vyema. Huko uchawi ndio habari ya siku
Maeneo ya vijijini - pembezoni, maeneo hayakukaliwa na wazungu -utanaduni WA wazungu haukuota mizizi na kustawi, mambo hayo ni mapya na mzigo.