gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 14,176
- 17,614
Hiyo 'jaah' ni nini?Jaah Baba mlamwenda bibi mlamnoge. Hatari sana
Hiyo 'jaah' ni nini?Jaah Baba mlamwenda bibi mlamnoge. Hatari sana
Wadoe(wadoezi) ni wageni uzaramuni,walipewa eneo la kujenga na kuishi,wengi wao wanyamweziWazaramo ni Waluguru waliochangamka.... Wazaramo wameanza kukutana na wageni kabla ya Waluguru.
Hata hivyo Waluguru, Wazaramo, wakwele, wadoe, wakutu, wazigua, wakaguru, nk wote ni Koo moja iliyokua na kutawanyika makundi kabla ya kuunda makabila.
Shina ni moja!
Jaah Baba mlamwenda bibi mlamnoge. Hatari sana
Mkuu hapo Mororogoro maeneo gani yasiyo kuwa na mafriko,naweza pata kiwanja kwa 2Mjaah wagogo au wakaguru?
jaah njoo huku matombo ndizi tu tunapata pesa shule ya nini?
jaah nguruwe tunafugia kilosa
Viwanda vya molases k1, k2 na mtibwa vinafanya gongo iuzwe bei rahisi kuliko soda
jaah shamba la bhange lipo lukobe mwezi ujao tunavuna shule ya nini? Pesa itakuja tu
msimu wa mvua umeisha sasa ni mavuno na kuchoma tofali jaah karibu tubuyu uje uone SGR
Wasomi watatoka mjini huku bush elimu ya nini?
dah watani zangu waluguru
Pole kwa experience ya kupata ajali ya basi.
Chanzo cha ajali kilikuwa nini?
Mkuu hapo Mororogoro maeneo gani yasiyo kuwa na mafuriiko,naweza pata kiwanja kwa 2M
Haha eti jaaaaah!jaah wagogo au wakaguru?
jaah njoo huku matombo ndizi tu tunapata pesa shule ya nini?
jaah nguruwe tunafugia kilosa
Viwanda vya molases k1, k2 na mtibwa vinafanya gongo iuzwe bei rahisi kuliko soda
jaah shamba la bhange lipo lukobe mwezi ujao tunavuna shule ya nini? Pesa itakuja tu
msimu wa mvua umeisha sasa ni mavuno na kuchoma tofali jaah karibu tubuyu uje uone SGR
Wasomi watatoka mjini huku bush elimu ya nini?
dah watani zangu waluguru
Tembea uone acha kujifungia lumumba 😅Hiyo 'jaah' ni nini?
😂😂😂😂 Wazeeee wa “jaah“umenikumbusha mbali sanjaah wagogo au wakaguru?
jaah njoo huku matombo ndizi tu tunapata pesa shule ya nini?
jaah nguruwe tunafugia kilosa
Viwanda vya molases k1, k2 na mtibwa vinafanya gongo iuzwe bei rahisi kuliko soda
jaah shamba la bhange lipo lukobe mwezi ujao tunavuna shule ya nini? Pesa itakuja tu
msimu wa mvua umeisha sasa ni mavuno na kuchoma tofali jaah karibu tubuyu uje uone SGR
Wasomi watatoka mjini huku bush elimu ya nini?
dah watani zangu waluguru
Umeuwa sana Mzee umeongea kweli tupu na maeneo hayo ni yakini ! Siku kiboko 🦛 kajichanganya nilikuwa natoka handeni via turiani nadhani ilikuwa 2021 watu wakamla vibaya Yani niliikuta hii stori Moro town nikirudi bongo Nita dwell sana Moro !nilishawahi kukaa na kutembelea baadhi ya sehemu nyingi mjini na vijijini
pale magubike, gairo napakubali kwa viazi vile vyekundu na karanga
mdaula, zomonzi, kizuka, pale mikese nshawahi kupata ajari ya basi siwezi kusahau
mzumbe, udizungwa, kidatu kote na wadau hadi veta mikumi
pale mjini kihonda - kilimanjaro, godesi, kwa komba, mbuyuni mazimbu, siku moja boko alizingua sana akaja daraja la treni pale darkcity ndio akapigwa risasi watu wakala sana nyama siku hiyo
usiende kizembe uchamwinoni labda siku hizi wawe wastarabu
widazcamp, madizini, bigwa, kola hill pale makaburini matukio ni mengi sana
8-8, mzambarauni, msamvu, komoa hadi kule idara ya maji, 7-7 sokoni
we acha tu umenikumbusha mbali sema na miaka sijaenda
Tembea uone acha kujifungia lumumba 😅
Ni namna yao ya kushangaa, kama wanyakyusa wanavyosema Mweh, au wakusini wanavyosema baah.
Wanapenda sana vigodoro
Boma road umekulia hapo au ulikaa tuu kidogo?mwamko tu wa elimu upo chini hasa kwa wazawa hata zile shule zilizokuwa zinatamba kitambo kwa sasa hamna kitu
st fransis, forest hill, kigurunyembe, junior seminary, kizuka sc sidhani kama bado zinafanya vizuri
umenikumbusha na boma road
kumbe, nilikuwa najua kauli za mishangao zikiwa za kabila moja haziwezi kuwa la kabila lingine.Waluguru pia wana hiyo mwee na wanyakyusa pia wanasema Tsee ila mnyakyusa akisema tsee ujue kakudharau. Nimeishi sana mbeya rungwe na busokelo.
Boma road umekulia hapo au ulikaa tuu kidogo?
Acha kuwafuatilia basi au we ni msukuma??Kacheze ngoma na kula nguluka that is what you can afford.
Aisee..Wadoe(wadoezi) ni wageni uzaramuni,walipewa eneo la kujenga na kuishi,wengi wao wanyamwezi