Kwanini walevi hawang’atwi na mbwa?

Kwanini walevi hawang’atwi na mbwa?

Umenikumbusha Mshikaji mmoja enzi ZED ndo habari ya mjini,alizinywa akawa hio Niko napira karibu na kwake nakuta amekaa kama mbwa anabwekeana na mbwa wa mtaani hapo
wanasema mbwa hawezi mng’ata mbwa mwenzie🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hakuna tabia ambayo Mbwa anaidharau kama Ulevi, ndio maana mbwa akiwaona walevi huwa wanaishia kuwacheka tu
 
Ningekujibu, sema mdomoni Kuna chupa.......
7bb88c799d53702a2c96264221f8baef.jpg
 
L
Kuna uhusiano gan kati ya mlevi na mbwa

Huwez kuta mlevi anakimbizwa na mbwa badala yake humuona kama mpuuzi fulani kama alikuwa anabweka basi atasitisha

Walevi tupeni siri
Labda yule mbwa wa kwenu ambae ukipiga chafya mkia wake unapita chini ya miguu inaambaa na tumbo kutokezea chini ya kidevu chake
 

Labda Tuwaulize Mbwa.....Kwa Maana Tunakuwaga Tumelewa Wao Mbwa Ndio Wanakuaga Na Akili Timamu....
 
Na sisi wavutaji wanyama wanatuheshimu na tunaheshimiana nao kitaa!
 
Nikimaliza haya mabapa ntakuja kuwajibu maana nataka nifanye utafiti kwanza ila wakining'ata ntawalaani wote humu ndani.
 
L

Labda yule mbwa wa kwenu ambae ukipiga chafya mkia wake unapita chini ya miguu inaambaa na tumbo kutokezea chini ya kidevu chake

L

Labda yule mbwa wa kwenu ambae ukipiga chafya mkia wake unapita chini ya miguu inaambaa na tumbo kutokezea chini ya kidevu chake
huyo mbwa si ile mbegu ya yule mbwa wako au umesahau
 
Nakumbuka miaka ya nyuma kulikuwa na vodka vladimir na zed za viroba yaan za kwene vikaratasi. Mda huo unapga vladmir zako vizuri afu viwili vya mwisho unapga vized ati kufuta harufu maana vilikuwa na harufu flan ya tunda la nanasi.
Wajomba cku hiyo nimepga vizur mda wa saa tano natoka banda la video niende home kwenye kona mbwa ndio hawa wakimfukuza mwenzao na ni kona sharp yaan kukwepa mbwa wa kwanza wa pili huyu hapa miguuni kwangu watatu nae akanipga mtama wa maana mim huyo chn nakumwangukia mbwa wa nne. Yaan after hapo kila kiumbe kilibuni njia yake coz wote tulishtuka na kigiza kile cha ucku niliea nyumban na kiatu kimoja kingne hadi wa leo cjui kilienda wapi. Asubuh niliporud kuangalia yale mazingira chini pamechimbika hadi njia utadhani ni watu walikuwa wanapachimba hadi watu walikuwa wakifika hapo wanakwepa kupita wakidhan ni wachawi wamefanya mambo yao pale. Tangu cku hiyo nilipanda daraja kwa lazima ni mwendo wa pombe ya chupa ili mda naenda nyumbani nabeba kama silaha, badae nikanunua gari.
 
Back
Top Bottom