Kwanini walevi hawang’atwi na mbwa?

Kwanini walevi hawang’atwi na mbwa?

Yaani, wachawi Huwa hawanaga time na wavuta bange na waleviii


Mimi ni mlevii hivyo sisi walevii Huwa tuna confidence mbwa Huwa anaweza sense mapigo ya moyo ya mtu mwoga ☺️😊
kwahiyo unawashauri vipi wezi wanaoenda kuiba eneo lenye mbwa
waende wakiwa walevi kuongeza confidence au vipi🤣🤣🤣🤣
 
mkuu hapa nimepga bapa kadhaa nipo farm nalinda mazao yangu ila ningekuw mweupe nisngetoboa mana hapa nilipo kunamastor mengi mala jin kamzngua mtu ila nikiwa hivi hakuna jambo nahofia, na pemben kunakijimsitu nasikia saut za bundi tu.. ila sina time nazo.. nb hofu ndo hufanya tpate mauzauza ukiondoa hofu no wani keni stopu yu. nadhani umenelewa
 
Sio mbwa tu hata risasi inakwepwa. Ule mwendo wa mlevi wanapishana na risas hyo 1. Hata mchawi hawezi akamkuta mlevi amelala njiani akamfanyia chochote lakin mzima akikutana na wachawi kesho yake haongei au hataamka mbili hiyo. Funga kazi ni mlevi na kitoweo sanasana nyama au samak, yeye ataanguka lakin kitoweo hawez kuachia na kitafka home kizima
 
mkuu hapa nimepga bapa kadhaa nipo farm nalinda mazao yangu ila ningekuw mweupe nisngetoboa mana hapa nilipo kunamastor mengi mala jin kamzngua mtu ila nikiwa hivi hakuna jambo nahofia, na pemben kunakijimsitu nasikia saut za bundi tu.. ila sina time nazo.. nb hofu ndo hufanya tpate mauzauza ukiondoa hofu no wani keni stopu yu. nadhani umenelewa
Bush Party Mkuu usinisahau ukiuza Mazao,tuje tunywe Ulanzi na Mnazi
 
mkuu hapa nimepga bapa kadhaa nipo farm nalinda mazao yangu ila ningekuw mweupe nisngetoboa mana hapa nilipo kunamastor mengi mala jin kamzngua mtu ila nikiwa hivi hakuna jambo nahofia, na pemben kunakijimsitu nasikia saut za bundi tu.. ila sina time nazo.. nb hofu ndo hufanya tpate mauzauza ukiondoa hofu no wani keni stopu yu. nadhani umenelewa
nimekuelewa mzee wa tungi
 
Bush Party Mkuu usinisahau ukiuza Mazao,tuje tunywe Ulanzi na Mnazi
usiwaze mkuu sema ndo vile wakulima hatuna chetu nchi hii. mbegu bei juu mbolea mwaka huu ndo usiseme lakn mda wa mavuno bei za kikuda sana, lakn sio kinyonge kalibu mkuu tumalizie bapa hapa!
 
Umenikumbusha Mshikaji mmoja enzi ZED ndo habari ya mjini,alizinywa akawa hio Niko napira karibu na kwake nakuta amekaa kama mbwa anabwekeana na mbwa wa mtaani hapo
 
Siri ni hofu na wasiwasi...

Mlevi hana hofu wala wasiwasi pindi akiwa tungi.

Mbwa na carnivora walio wengi wanasoma saikoloji na tabia ya mtu pindi anakutana nae mbwa atapambana [kukuacha ama kukusumbua/uma] wewe kutokana na reaction yako.

Kupitia saikoloji mbwa akikuona tu anajua huyu hana shida, huyu anawenge sana atakua mwizi.

Na akishundwa kabisa kukusoma yaani hueleweki anatumia mbinu ya kuku tease kidogo, sasa reaction yako ndio itakayokuponza ama kukuponya.

Wale mbwa wa asili ukikutananae hata usiwe na wasiwasi hata abweke vipi kama unapita usisite wewe pita kati kati yao hawakufanyi kitu.

Ila hawa wa kisasa hawatabiliki kwani wameboreshwa tabia zao[instincts] kupitia breeding na GMO.
R.p.c olomi , kipindii akiwa Rpc Kwake kulikua na JIBWA kubwaa Kali sana ila nilikua nikipeleka askari lindoni jamaa mmoja nimwite afande P alikua ana uwezo mkubwa wa ku copu na mbwa.

Mbwa Wana tabia ya kujua mtu MUOGA

KUANZIA MAPIGO YA MOYO

NIPO NA WASHIKAJI TUNAPIGA TUNGI HAPAA
 
mbwa au simba wote hawavamii mtu imara au asie na hofu

Ukiwa nyingi na upo kwa miguu unakua hunahofu na kinachkua mbeleyako
 
Kawaida ya mlevi akishalewa tu anatamani kila kitu kiwe chini yake na yeye ndo awe na mamlaka na hua haogopi kitu, ispokua anaogopa kumwaga pombe ambapo atakosa kulewa
 
Confidence.
Aliye lewa huwa hana hofu so kinachotokea mbwa atamsoma haraka na kumu ignore mlevi apite zake tu!

Kuna nyumba moja nilihamia mwenye nyumba alikuwa mfuga mbwa. Alikuwa na majibwa kama 8 hivi makubwa.
Siku za mwanzo mwanzo kabla sijazoeleka pale, sikuwa na jeuli ya kupita getini make ndo ilikuwa maskani yao usiku kucha!
So nilikuwa nikifika getini lazima niombe msaada huku mijibwa inanivimbia na kukoroma.

Kipindi hicho nilikuwa mtu wa gambe sometimes narudi night kali niko chakali. Asubuhi najiuliza hivi pale getini nilivukaje bila msaada na ile mijibwa inalala pale?!

Ikibidi nifanye utafiti nijue huwa nawapumbaza vp wale mbwa...?
Nikaja kujuwa kumbe wale mbwa hucheza na saikolojia yangu kwamba kama sijalewa huwa nawahofia sana ndo maana wananikoromea.
So baada ya hapo walinizoea nikaishi nao kibingwa tu.
 
Back
Top Bottom