Kwanini walevi hawang’atwi na mbwa?

Kwanini walevi hawang’atwi na mbwa?

Yaani, wachawi Huwa hawanaga time na wavuta bange na waleviii


Mimi ni mlevii hivyo sisi walevii Huwa tuna confidence mbwa Huwa anaweza sense mapigo ya moyo ya mtu mwoga ☺️😊
Hili ndo jawabu sahihi na tosha:Nanukuu:Mimi ni mlevii hivyo sisi walevii Huwa tuna confidence mbwa Huwa anaweza sense mapigo ya moyo ya mtu mwoga
 
Kuna uhusiano gan kati ya mlevi na mbwa

Huwez kuta mlevi anakimbizwa na mbwa badala yake humuona kama mpuuzi fulani kama alikuwa anabweka basi atasitisha

Walevi tupeni siri
Siri ni hofu na wasiwasi...

Mlevi hana hofu wala wasiwasi pindi akiwa tungi.

Mbwa na carnivora walio wengi wanasoma saikoloji na tabia ya mtu pindi anakutana nae mbwa atapambana [kukuacha ama kukusumbua/uma] wewe kutokana na reaction yako.

Kupitia saikoloji mbwa akikuona tu anajua huyu hana shida, huyu anawenge sana atakua mwizi.

Na akishundwa kabisa kukusoma yaani hueleweki anatumia mbinu ya kuku tease kidogo, sasa reaction yako ndio itakayokuponza ama kukuponya.

Wale mbwa wa asili ukikutananae hata usiwe na wasiwasi hata abweke vipi kama unapita usisite wewe pita kati kati yao hawakufanyi kitu.

Ila hawa wa kisasa hawatabiliki kwani wameboreshwa tabia zao[instincts] kupitia breeding na GMO.
 
Nataka niwaambie, HAKUNA TAJIRI ANAYELEWA.
Ww sehem unapoenda kulewa huwez kukutana na matajiri.

Matajiri wanalewa sana tu.
Tena wengne had private parties wanahudhuria kwa sana.
Kule hakuna camera wala nn.

Matajiri kadha wa kadha wanakula gambe na ni vijana na wanalewa. Sema hawawez kuweka hii life yao kwenye jamii.

Au kwenye vibar local local kama walevi mbwa.
 
Ni ule muyumbo yumbo wa Mwili na ku nesanesa basi Mbwa anapenda na kufurahia sana kwa kutikisa mkia wake na ki bweko Cha....-...uuuuuuuuhuuuuu...iiiii
akielekeza kichwa chake angani
 
Siri ni hofu na wasiwasi...

Mlevi hana hofu wala wasiwasi pindi akiwa tungi.

Mbwa na carnivora walio wengi wanasoma saikoloji na tabia ya mtu pindi anakutana nae mbwa atapambana [kukuacha ama kukusumbua/uma] wewe kutokana na reaction yako.

Kupitia saikoloji mbwa akikuona tu anajua huyu hana shida, huyu anawenge sana atakua mwizi.

Na akishundwa kabisa kukusoma yaani hueleweki anatumia mbinu ya kuku tease kidogo, sasa reaction yako ndio itakayokuponza ama kukuponya.

Wale mbwa wa asili ukikutananae hata usiwe na wasiwasi hata abweke vipi kama unapita usisite wewe pita kati kati yao hawakufanyi kitu.

Ila hawa wa kisasa hawatabiliki kwani wameboreshwa tabia zao[instincts] kupitia breeding na GMO.
Asante kwa majibu mazuri
 
Ni ule muyumbo yumbo wa Mwili na ku nesanesa basi Mbwa anapenda na kufurahia sana kwa kutikisa mkia wake na ki bweko Cha....-...uuuuuuuuhuuuuu...iiiii
akielekeza kichwa chake angani
Utagongwa shauri yako hujakutana na mbwa umekutana na kijibwa siku ukikutana na mbwa utaliwa tako
 
Hakuna mchawi ananasa nyumba ya mlebi, hakuna mlevi ANADAIWA na tra,
Hakuna mlevi anatomba paspo kulipa
 
Back
Top Bottom