Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,884
- 54,130
CCM imejaa vibaka watupu.Ajabu ni kuwa wale ambao wanatoa ushauri wa Mbowe aachie ngazi ni maccm watupu!
CCM imejaa vibaka watupu.Ajabu ni kuwa wale ambao wanatoa ushauri wa Mbowe aachie ngazi ni maccm watupu!
Mkuu kwa sasa chadema na TLP vyote vina mtazamo mmoja, tokea mwenyekiti Mbowe atinge Ikulu baada kutoka jela kabla hajaiona familia yake kwa miezi 8 aliyokaa jela tuna hofu sana dili limekamilika “done deal”Baada ya kushuhudia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha TLP, Mheshimiwa Mrema akijichukulia "dogodogo" na akifunga ndoa majuzi, ambayo ilileta msisimko mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, nilijiuliza maswali kadhaa, kutokana na hali niliyomwona nayo, ya kushindwa kunyanyuka kwenye kiti na kuweka saini kwenye Cheti cha ndoa, huku mikono ikimtetemeka!
Pamoja na kuonyesha "kuchoka" huko kwa Mzee Mrema, lakini bado ma-propragandists wa Sisiem, hawaoni umuhimu wa kumshinikiza Mzee wetu, ang'atuke kwenye kuiongoza TLP na kuwaachia vijana Ili waongoze.
Kwa kuwa ninavyofahamu Mimi, Mzee Mrema amekigeuza chama cha TLP kama mali yake binafsi na hakuna wa kumng'oa kwenye uenyekiti wa hicho.chama, ambacho amekuwa akikishikilia tokea miaka ile ya mwishoni ya 90, baada ya kutoka kwenye chama cha NCCR Mageuzi.
Hata hivyo nawashuhudia hao ma-propragandists wa Sisiem, wakiendelea "kumkomalia" Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, eti ndiyo ang'atuke kwa kukaa muda mrefu kwenye kiti hicho cha uenyekiti!
Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?
TLP na UDP ndio ya kufananisha na Chadema chama kinachotoa dira ya nchi ?Kuna NGO ambazo nazifahamu na sio vyama vya siasa.
1. Chadema 2. TLP 3. UDP.
Ni kwa kuwa wanaona mrema Hana athari yoyote kwao.Pamoja na kuonyesha "kuchoka" huko kwa Mzee Mrema, lakini bado ma-propragandists wa Sisiem, hawaoni umuhimu wa kumshinikiza Mzee wetu, ang'atuke kwenye kuiongoza TLP na kuwaachia vijana Ili waongoze.
Ungenisaidia kujua chanzo na sababu ya zito kufukuzwa ungekua ungenisaidia san kujua hii mambo, elezea kinagaubaga alifukuzwaje in facts and evidence!!Lini wanaruhusu mgombea uenyekiti kupingwa?
Zitto si ndo Hadi akafukuzwa?
🤣🤣🤣mrema yuko anamalizia uzee wake na dyudyu hukoBaada ya kushuhudia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha TLP, Mheshimiwa Mrema akijichukulia "dogodogo" na akifunga ndoa majuzi, ambayo ilileta msisimko mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, nilijiuliza maswali kadhaa, kutokana na hali niliyomwona nayo, ya kushindwa kunyanyuka kwenye kiti na kuweka saini kwenye Cheti cha ndoa, huku mikono ikimtetemeka!
Pamoja na kuonyesha "kuchoka" huko kwa Mzee Mrema, lakini bado ma-propragandists wa Sisiem, hawaoni umuhimu wa kumshinikiza Mzee wetu, ang'atuke kwenye kuiongoza TLP na kuwaachia vijana Ili waongoze.
Kwa kuwa ninavyofahamu Mimi, Mzee Mrema amekigeuza chama cha TLP kama mali yake binafsi na hakuna wa kumng'oa kwenye uenyekiti wa hicho.chama, ambacho amekuwa akikishikilia tokea miaka ile ya mwishoni ya 90, baada ya kutoka kwenye chama cha NCCR Mageuzi.
Hata hivyo nawashuhudia hao ma-propragandists wa Sisiem, wakiendelea "kumkomalia" Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, eti ndiyo ang'atuke kwa kukaa muda mrefu kwenye kiti hicho cha uenyekiti!
Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?
Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?
Lini wanaruhusu mgombea uenyekiti kupingwa?
Zitto si ndo Hadi akafukuzwa?
vile vinavyoibukaga kama utitiri wakati wa UCHAFUZI vyenyewe huvutaji unajifanya huvijui wakati hivyo ndio matawi ya FISIEM.Kuna NGO ambazo nazifahamu na sio vyama vya siasa.
1. Chadema 2. TLP 3. UDP.
Vyama vingi ndg vilianza 1992.Baada ya kushuhudia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha TLP, Mheshimiwa Mrema akijichukulia "dogodogo" na akifunga ndoa majuzi, ambayo ilileta msisimko mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, nilijiuliza maswali kadhaa, kutokana na hali niliyomwona nayo, ya kushindwa kunyanyuka kwenye kiti na kuweka saini kwenye Cheti cha ndoa, huku mikono ikimtetemeka!
Pamoja na kuonyesha "kuchoka" huko kwa Mzee Mrema, lakini bado ma-propragandists wa Sisiem, hawaoni umuhimu wa kumshinikiza Mzee wetu, ang'atuke kwenye kuiongoza TLP na kuwaachia vijana Ili waongoze.
Kwa kuwa ninavyofahamu Mimi, Mzee Mrema amekigeuza chama cha TLP kama mali yake binafsi na hakuna wa kumng'oa kwenye uenyekiti wa hicho.chama, ambacho amekuwa akikishikilia tokea miaka ile ya mwishoni ya 90, baada ya kutoka kwenye chama cha NCCR Mageuzi.
Hata hivyo nawashuhudia hao ma-propragandists wa Sisiem, wakiendelea "kumkomalia" Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, eti ndiyo ang'atuke kwa kukaa muda mrefu kwenye kiti hicho cha uenyekiti!
Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?
Baada ya kushuhudia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha TLP, Mheshimiwa Mrema akijichukulia "dogodogo" na akifunga ndoa majuzi, ambayo ilileta msisimko mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, nilijiuliza maswali kadhaa, kutokana na hali niliyomwona nayo, ya kushindwa kunyanyuka kwenye kiti na kuweka saini kwenye Cheti cha ndoa, huku mikono ikimtetemeka!
Pamoja na kuonyesha "kuchoka" huko kwa Mzee Mrema, lakini bado ma-propragandists wa Sisiem, hawaoni umuhimu wa kumshinikiza Mzee wetu, ang'atuke kwenye kuiongoza TLP na kuwaachia vijana Ili waongoze.
Kwa kuwa ninavyofahamu Mimi, Mzee Mrema amekigeuza chama cha TLP kama mali yake binafsi na hakuna wa kumng'oa kwenye uenyekiti wa hicho.chama, ambacho amekuwa akikishikilia tokea miaka ile ya mwishoni ya 90, baada ya kutoka kwenye chama cha NCCR Mageuzi.
Hata hivyo nawashuhudia hao ma-propragandists wa Sisiem, wakiendelea "kumkomalia" Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, eti ndiyo ang'atuke kwa kukaa muda mrefu kwenye kiti hicho cha uenyekiti!
Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?
Party | Acronym | Founded | Bunge | ZHoR | |
---|---|---|---|---|---|
Party of the Revolution Swahili: Chama cha Mapinduzi | CCM | 1977 | 364 / 384 | 84 / 88 | |
Party for Democracy and Progress Swahili: Chama cha Demokrasia na Maendeleo | CHADEMA | 1992 | 20 / 384 | 0 / 88 | |
Civic United Front Swahili: Chama cha Wananchi | CUF | 1992 | 3 / 384 | 0 / 88 | |
Alliance for Change and Transparency Swahili: Umoja wa Mabadiliko na Uwazi | ACT | 2014 | 4 / 384 | 0 / 88 | |
Tanzania Democratic Alliance | TADEA | 1990 | 0 / 384 | 1 / 88 | |
Alliance for Democratic Change Swahili: Umoja wa Mabadiliko ya Demokrasia | ADC | 2012 | 0 / 384 | 1 / 88 | |
Alliance for Tanzania Farmers Party Swahili: Chama cha Wakulima | AFP | 2009 | 0 / 384 | 1 / 88 | |
Union for Multiparty Democracy | UMD | 1993 | 0 / 384 | 0 / 88 | |
National Convention for Construction and Reform – Mageuzi Swahili: Chama cha Mageuzi na Ujenzi wa Taifa | NCCR-M | 1992 | 0 / 384 | 0 / 88 | |
United People's Democratic Party | UPDP | 1993 | 0 / 384 | 0 / 88 | |
National Reconstruction Alliance | NRA | 1993 | 0 / 384 | 0 / 88 | |
Democratic Party Swahili: Chama cha Kidemokrasia | DP | 2002 | 0 / 384 | 0 / 88 | |
United Democratic Party | UDP | 1994 | 0 / 384 | 0 / 88 | |
Justice and Development Party Swahili: Chama cha Haki na Ustawi | CHAUSTA | 1998 | 0 / 384 | 0 / 88 | |
Progressive Party of Tanzania – Maendeleo | PPT-Maendeleo | 2003 | 0 / 384 | 0 / 88 | |
People's Voice Swahili: Sauti ya Umma | SAU | 2005 | 0 / 384 | 0 / 88 | |
Social Party Swahili: Chama cha Kijamii | CCK | 2012 | 0 / 384 | 0 / 88 | |
People's Liberation Party Swahili: Chama cha Ukombozi wa Umma | CHAUMMA | 2013 | 0 / 384 | 0 / 88 |
Kwahiyo sheria ya Tanzania inatambua NGO kama chama cha siasa ama ni akili za ugoro tu??Kuna NGO ambazo nazifahamu na sio vyama vya siasa.
1. Chadema 2. TLP 3. UDP.
Mrema ni mwanachama mtiifu wa Ccm na chama chake ni tawi la Ccm.Baada ya kushuhudia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha TLP, Mheshimiwa Mrema akijichukulia "dogodogo" na akifunga ndoa majuzi, ambayo ilileta msisimko mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, nilijiuliza maswali kadhaa, kutokana na hali niliyomwona nayo, ya kushindwa kunyanyuka kwenye kiti na kuweka saini kwenye Cheti cha ndoa, huku mikono ikimtetemeka!
Pamoja na kuonyesha "kuchoka" huko kwa Mzee Mrema, lakini bado ma-propragandists wa Sisiem, hawaoni umuhimu wa kumshinikiza Mzee wetu, ang'atuke kwenye kuiongoza TLP na kuwaachia vijana Ili waongoze.
Kwa kuwa ninavyofahamu Mimi, Mzee Mrema amekigeuza chama cha TLP kama mali yake binafsi na hakuna wa kumng'oa kwenye uenyekiti wa hicho.chama, ambacho amekuwa akikishikilia tokea miaka ile ya mwishoni ya 90, baada ya kutoka kwenye chama cha NCCR Mageuzi.
Hata hivyo nawashuhudia hao ma-propragandists wa Sisiem, wakiendelea "kumkomalia" Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, eti ndiyo ang'atuke kwa kukaa muda mrefu kwenye kiti hicho cha uenyekiti!
Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?
Sasa si ndio raha ya CCM? Iweje wapinge tena?Mwambie mbowe aendelee kukumbatia chadema kama walivyofanya hao halafu ushuhudie anguko la chadema
Akifanya yeye ni mmiliki wa chadema basi chadema hakitakuwa na tofauti na hivyo vyama ulivyovitolea mfano
Wana Chadema tunampa wenyewe kiti hicho.Mwambie mbowe aendelee kukumbatia chadema kama walivyofanya hao halafu ushuhudie anguko la chadema
Akifanya yeye ni mmiliki wa chadema basi chadema hakitakuwa na tofauti na hivyo vyama ulivyovitolea mfano
Mwambe si aligombea na Mbowe? Kisha akaenda CCMLini wanaruhusu mgombea uenyekiti kupingwa?
Zitto si ndo Hadi akafukuzwa?
Kwani mrema wamemwambia aachie ngazi?Kwahiyo Hadi Mbowe "achoke kama Mrema"
Ashindwe hata kusimama ndo watu watakuwa na haki ya kumwambia aachie ngazi?
Seriously?..