Kwanini wale watengeneza propaganda, hawamwandami Mrema aachie uongozi wa TLP, badala yake wanamng'ang'ania Mbowe tu?

Baada ya kushuhudia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha TLP, Mheshimiwa Mrema akijichukulia "dogodogo" na akifunga ndoa majuzi, ambayo ilileta msisimko mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, nilijiuliza maswali kadhaa, kutokana na hali niliyomwona nayo, ya kushindwa kunyanyuka kwenye kiti na kuweka saini kwenye Cheti cha ndoa, huku mikono ikimtetemeka!

Pamoja na kuonyesha "kuchoka" huko kwa Mzee Mrema, lakini bado ma-propragandists wa Sisiem, hawaoni umuhimu wa kumshinikiza Mzee wetu, ang'atuke kwenye kuiongoza TLP na kuwaachia vijana Ili waongoze.

Kwa kuwa ninavyofahamu Mimi, Mzee Mrema amekigeuza chama cha TLP kama mali yake binafsi na hakuna wa kumng'oa kwenye uenyekiti wa hicho.chama, ambacho amekuwa akikishikilia tokea miaka ile ya mwishoni ya 90, baada ya kutoka kwenye chama cha NCCR Mageuzi.

Hata hivyo nawashuhudia hao ma-propragandists wa Sisiem, wakiendelea "kumkomalia" Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, eti ndiyo ang'atuke kwa kukaa muda mrefu kwenye kiti hicho cha uenyekiti!

Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?
Mkuu kwa sasa chadema na TLP vyote vina mtazamo mmoja, tokea mwenyekiti Mbowe atinge Ikulu baada kutoka jela kabla hajaiona familia yake kwa miezi 8 aliyokaa jela tuna hofu sana dili limekamilika “done deal”

Aliulizwa lissu hili suali kwanni mkuu karudia kwa ikulu?

Hakuwa na jibu lenye afya alisema aulizwe mbowe mwenye
 
Baada ya kushuhudia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha TLP, Mheshimiwa Mrema akijichukulia "dogodogo" na akifunga ndoa majuzi, ambayo ilileta msisimko mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, nilijiuliza maswali kadhaa, kutokana na hali niliyomwona nayo, ya kushindwa kunyanyuka kwenye kiti na kuweka saini kwenye Cheti cha ndoa, huku mikono ikimtetemeka!

Pamoja na kuonyesha "kuchoka" huko kwa Mzee Mrema, lakini bado ma-propragandists wa Sisiem, hawaoni umuhimu wa kumshinikiza Mzee wetu, ang'atuke kwenye kuiongoza TLP na kuwaachia vijana Ili waongoze.

Kwa kuwa ninavyofahamu Mimi, Mzee Mrema amekigeuza chama cha TLP kama mali yake binafsi na hakuna wa kumng'oa kwenye uenyekiti wa hicho.chama, ambacho amekuwa akikishikilia tokea miaka ile ya mwishoni ya 90, baada ya kutoka kwenye chama cha NCCR Mageuzi.

Hata hivyo nawashuhudia hao ma-propragandists wa Sisiem, wakiendelea "kumkomalia" Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, eti ndiyo ang'atuke kwa kukaa muda mrefu kwenye kiti hicho cha uenyekiti!

Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?
🤣🤣🤣mrema yuko anamalizia uzee wake na dyudyu huko
 
Ni kama vile chadema wanavyong'ang'ana na mashambulizi dhidi ya zitto kabwe na act yake kila siku utafikiri hakuna vyama vingine.
 
Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?
  • Sababu ni hii, Mwenyekiti wa CHADEMA ana 'Presidential Character' na 'leadership qualities'
Pia Wahenga walishawahi kusema
  • Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.
 
Kama akina Sofia Simba walivyofukuzwa, fomu ya mgombea Urais 2020 ikachapishwa moja tu na sasa tunaambiwa mpaka miaka 9 ipite ndio tutapata Rais mwingine. Tupende, tusipende.

Ndiyo Tanzania hiyo.
Lini wanaruhusu mgombea uenyekiti kupingwa?
Zitto si ndo Hadi akafukuzwa?
 
Kuna NGO ambazo nazifahamu na sio vyama vya siasa.

1. Chadema 2. TLP 3. UDP.
vile vinavyoibukaga kama utitiri wakati wa UCHAFUZI vyenyewe huvutaji unajifanya huvijui wakati hivyo ndio matawi ya FISIEM.
 
Baada ya kushuhudia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha TLP, Mheshimiwa Mrema akijichukulia "dogodogo" na akifunga ndoa majuzi, ambayo ilileta msisimko mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, nilijiuliza maswali kadhaa, kutokana na hali niliyomwona nayo, ya kushindwa kunyanyuka kwenye kiti na kuweka saini kwenye Cheti cha ndoa, huku mikono ikimtetemeka!

Pamoja na kuonyesha "kuchoka" huko kwa Mzee Mrema, lakini bado ma-propragandists wa Sisiem, hawaoni umuhimu wa kumshinikiza Mzee wetu, ang'atuke kwenye kuiongoza TLP na kuwaachia vijana Ili waongoze.

Kwa kuwa ninavyofahamu Mimi, Mzee Mrema amekigeuza chama cha TLP kama mali yake binafsi na hakuna wa kumng'oa kwenye uenyekiti wa hicho.chama, ambacho amekuwa akikishikilia tokea miaka ile ya mwishoni ya 90, baada ya kutoka kwenye chama cha NCCR Mageuzi.

Hata hivyo nawashuhudia hao ma-propragandists wa Sisiem, wakiendelea "kumkomalia" Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, eti ndiyo ang'atuke kwa kukaa muda mrefu kwenye kiti hicho cha uenyekiti!

Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?
Vyama vingi ndg vilianza 1992.
 
Baada ya kushuhudia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha TLP, Mheshimiwa Mrema akijichukulia "dogodogo" na akifunga ndoa majuzi, ambayo ilileta msisimko mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, nilijiuliza maswali kadhaa, kutokana na hali niliyomwona nayo, ya kushindwa kunyanyuka kwenye kiti na kuweka saini kwenye Cheti cha ndoa, huku mikono ikimtetemeka!

Pamoja na kuonyesha "kuchoka" huko kwa Mzee Mrema, lakini bado ma-propragandists wa Sisiem, hawaoni umuhimu wa kumshinikiza Mzee wetu, ang'atuke kwenye kuiongoza TLP na kuwaachia vijana Ili waongoze.

Kwa kuwa ninavyofahamu Mimi, Mzee Mrema amekigeuza chama cha TLP kama mali yake binafsi na hakuna wa kumng'oa kwenye uenyekiti wa hicho.chama, ambacho amekuwa akikishikilia tokea miaka ile ya mwishoni ya 90, baada ya kutoka kwenye chama cha NCCR Mageuzi.

Hata hivyo nawashuhudia hao ma-propragandists wa Sisiem, wakiendelea "kumkomalia" Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, eti ndiyo ang'atuke kwa kukaa muda mrefu kwenye kiti hicho cha uenyekiti!

Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?

PartyAcronymFoundedBungeZHoR
Party of the Revolution
Swahili: Chama cha Mapinduzi
CCM​
1977​
364 / 384
84 / 88
Party for Democracy and Progress
Swahili: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
CHADEMA​
1992​
20 / 384
0 / 88
Civic United Front
Swahili: Chama cha Wananchi
CUF​
1992​
3 / 384
0 / 88
Alliance for Change and Transparency
Swahili: Umoja wa Mabadiliko na Uwazi
ACT​
2014​
4 / 384
0 / 88
Tanzania Democratic Alliance
TADEA​
1990​
0 / 384
1 / 88
Alliance for Democratic Change
Swahili: Umoja wa Mabadiliko ya Demokrasia
ADC​
2012​
0 / 384
1 / 88
Alliance for Tanzania Farmers Party
Swahili: Chama cha Wakulima
AFP​
2009​
0 / 384
1 / 88
Union for Multiparty Democracy
UMD​
1993​
0 / 384
0 / 88
National Convention for Construction and Reform – Mageuzi
Swahili: Chama cha Mageuzi na Ujenzi wa Taifa
NCCR-M​
1992​
0 / 384
0 / 88
United People's Democratic Party
UPDP​
1993​
0 / 384
0 / 88
National Reconstruction Alliance
NRA​
1993​
0 / 384
0 / 88
Democratic Party
Swahili: Chama cha Kidemokrasia
DP​
2002​
0 / 384
0 / 88
United Democratic Party
UDP​
1994​
0 / 384
0 / 88
Justice and Development Party
Swahili: Chama cha Haki na Ustawi
CHAUSTA​
1998​
0 / 384
0 / 88
Progressive Party of Tanzania – Maendeleo
PPT-Maendeleo​
2003​
0 / 384
0 / 88
People's Voice
Swahili: Sauti ya Umma
SAU​
2005​
0 / 384
0 / 88
Social Party
Swahili: Chama cha Kijamii
CCK​
2012​
0 / 384
0 / 88
People's Liberation Party
Swahili: Chama cha Ukombozi wa Umma
CHAUMMA​
2013​
0 / 384
0 / 88
 
Baada ya kushuhudia Mwenyekiti wa chama cha siasa cha TLP, Mheshimiwa Mrema akijichukulia "dogodogo" na akifunga ndoa majuzi, ambayo ilileta msisimko mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, nilijiuliza maswali kadhaa, kutokana na hali niliyomwona nayo, ya kushindwa kunyanyuka kwenye kiti na kuweka saini kwenye Cheti cha ndoa, huku mikono ikimtetemeka!

Pamoja na kuonyesha "kuchoka" huko kwa Mzee Mrema, lakini bado ma-propragandists wa Sisiem, hawaoni umuhimu wa kumshinikiza Mzee wetu, ang'atuke kwenye kuiongoza TLP na kuwaachia vijana Ili waongoze.

Kwa kuwa ninavyofahamu Mimi, Mzee Mrema amekigeuza chama cha TLP kama mali yake binafsi na hakuna wa kumng'oa kwenye uenyekiti wa hicho.chama, ambacho amekuwa akikishikilia tokea miaka ile ya mwishoni ya 90, baada ya kutoka kwenye chama cha NCCR Mageuzi.

Hata hivyo nawashuhudia hao ma-propragandists wa Sisiem, wakiendelea "kumkomalia" Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, eti ndiyo ang'atuke kwa kukaa muda mrefu kwenye kiti hicho cha uenyekiti!

Niwaulize hao ma-propandists wa Sisiem, hivi hawaoni namna wenyeviti hao wengine wa vyama vya upinzani, kama vile Augustine Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP, namna walivyovigeuza hivyo vyama, kama mali yao binafsi, badala yake kelele zao "wanazipiga" siku zote kwa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema?
Mrema ni mwanachama mtiifu wa Ccm na chama chake ni tawi la Ccm.

Hata hii issue ya harusi feki kutangazwa sana ilikuwa ni mkakati wa Ccm kuua mapokezi ya Mbowe mtaani.

Wewe hujaona sasa ni Mrema tuu Mbowe katulizwa??

Ccm ni laana.
 
Mwambie mbowe aendelee kukumbatia chadema kama walivyofanya hao halafu ushuhudie anguko la chadema
Akifanya yeye ni mmiliki wa chadema basi chadema hakitakuwa na tofauti na hivyo vyama ulivyovitolea mfano
Sasa si ndio raha ya CCM? Iweje wapinge tena?
 
Mwambie mbowe aendelee kukumbatia chadema kama walivyofanya hao halafu ushuhudie anguko la chadema
Akifanya yeye ni mmiliki wa chadema basi chadema hakitakuwa na tofauti na hivyo vyama ulivyovitolea mfano
Wana Chadema tunampa wenyewe kiti hicho.

Mpaka tutakapoona ccm mmenyooka ndio tutampokonya.

Vinginevyo atakuwa wa maisha
 
Back
Top Bottom